Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Ni Bora waige mbinu za wenzao wapaki mabasi kama mawili hivi kwenye goli lao wakijifanya wajuaji wakafunguka watachapika mpaka watasahau kambi yao walipoiweka🤣🤣"Matokeo haya ya Simba dhidi ya Coastal Union yanaifanya derby ya tarehe 19 kuwa ngumu sana, kama Simba wanahitaji chochote kitu msimu huu basi wanatakiwa kushinda mechi hiyo….lakini kama watakubali kupoteza basi watajikuta nyuma ya Yanga pointi 5 (kama Yanga watashinda kiporo).
Mnaweza kusema bado mapema ila mechi ya tarehe 19 imebeba hatima ya msimu mzima…..Yanga wakikuacha alama 5 siyo rahisi kuwapata tena."
—HANS RAFAEL (Mchambuzi CROWN FM)
View attachment 3115961
Nilidhani hiyo ubaya ubwela inatumika tarehe 19 kumbe ni mwisho wa msimu hapo sawa..Msitutishe na uchwambuzi wenu...
Ubaya ubwela...mtaijua vzr mwisho wa msimu..
Kweli kabisa aisee...Yanga inahitaji points 6 za simba tu kuwa bingwa, maana ndie mpinzani pekee.
Yanga ivunje benki, kila mchezaji aahidiwe bonus kubwa na tusikubali kamwe never ever Sasii au Tatu kuwa pilato.
Mechi hizi mbili za derby hazihitaji droo ni muhimu kupiga kolowizard FC kuanzia goli tatu kwenda mbele.
Dube na Mzize waanze na kisha wawapishe Musonda na Baleke, washambuliaji wote wanne wacheze hizo mechi watatafuta sifa, hatutakosa goli tatu.
Allah hawez kuwa na kaz ya kipuuz kama hiyoYanga inahitaji points 6 za simba tu kuwa bingwa, maana ndie mpinzani pekee.
Yanga ivunje benki, kila mchezaji aahidiwe bonus kubwa na tusikubali kamwe never ever Sasii au Tatu kuwa pilato.
Mechi hizi mbili za derby hazihitaji droo ni muhimu kupiga kolowizard FC kuanzia goli tatu kwenda mbele.
Dube na Mzize waanze na kisha wawapishe Musonda na Baleke, washambuliaji wote wanne wacheze hizo mechi watatafuta sifa, hatutakosa goli tatu.
Aziz Ki, Mudathir na Chama waanzie benchi ili kusoma mchezo hawa ni magicians.
Duke Abuya aanze na Aucho kuwachosha Simba hawa ni physical players.
Inajulikana Simba itapigwa kama ngoma, idadi ya Magoli ni kazi ya Allah SW.
Aanze aucho, abuya, kiiYanga inahitaji points 6 za simba tu kuwa bingwa, maana ndie mpinzani pekee.
Yanga ivunje benki, kila mchezaji aahidiwe bonus kubwa na tusikubali kamwe never ever Sasii au Tatu kuwa pilato.
Mechi hizi mbili za derby hazihitaji droo ni muhimu kupiga kolowizard FC kuanzia goli tatu kwenda mbele.
Dube na Mzize waanze na kisha wawapishe Musonda na Baleke, washambuliaji wote wanne wacheze hizo mechi watatafuta sifa, hatutakosa goli tatu.
Aziz Ki, Mudathir na Chama waanzie benchi ili kusoma mchezo hawa ni magicians.
Duke Abuya aanze na Aucho kuwachosha Simba hawa ni physical players.
Inajulikana Simba itapigwa kama ngoma, idadi ya Magoli ni kazi ya Allah SW.