Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Huyu director mi nahisi Kama upepo ndo kwanza umemuelekea anapiga hela nyingi Sana kutokana na demand aliyonayo kwenye music industry.
Yaani huyu jamaa ckuiz amekuwa wa Moto Sana when it comes to videography.Kuna muda huwa nakaa chini nawasha runinga na kuanza kuangalia muziki na bila Shaka hazitapita music videos 3 Kama sijaona hivi " Directed by Hanscana" kwenye screen.
Jamaa amevuma Tanzania nzima Yaani anang'ang'aniwa na Kila msanii Hadi amevuka border mpaka huku Kenya anafanya kazi na kina Otile Brown,Nadia Mukami na Masauti.
Kiukweli huyu mwamba amehusika kwenye music videos nyingi Sana katika ukanda huu wa Africa Mashariki.Mpinzani wake mkubwa alikuwa Kenny aliyekuwa anafanya kazi na Diamond Platinumz ila Cha ajabu Diamond alimtema na kumnyakua huyu Hanscana.
Nadhani hiki Ni kipindi chake na naamini ataenda mbali Sana mpaka nimeanza kuhisi hivi karibuni atakuja kuhusika kwenye action movies za akina Tonny Jaa, Iko Uwais,Donnie Yen na wengine wengi.
Yaani huyu jamaa ckuiz amekuwa wa Moto Sana when it comes to videography.Kuna muda huwa nakaa chini nawasha runinga na kuanza kuangalia muziki na bila Shaka hazitapita music videos 3 Kama sijaona hivi " Directed by Hanscana" kwenye screen.
Jamaa amevuma Tanzania nzima Yaani anang'ang'aniwa na Kila msanii Hadi amevuka border mpaka huku Kenya anafanya kazi na kina Otile Brown,Nadia Mukami na Masauti.
Kiukweli huyu mwamba amehusika kwenye music videos nyingi Sana katika ukanda huu wa Africa Mashariki.Mpinzani wake mkubwa alikuwa Kenny aliyekuwa anafanya kazi na Diamond Platinumz ila Cha ajabu Diamond alimtema na kumnyakua huyu Hanscana.
Nadhani hiki Ni kipindi chake na naamini ataenda mbali Sana mpaka nimeanza kuhisi hivi karibuni atakuja kuhusika kwenye action movies za akina Tonny Jaa, Iko Uwais,Donnie Yen na wengine wengi.