atakwambia for the sake of our children 😌😌Pambana na hali yako tu kama umeamua kubaki mpaka leo kwenye iyo Ndoa
Usihofu Babe @lramba, nipe namba zako PM na sisi tulipize. NB: Nipo ArushaHabar wana jamii forum mm ni mama wa watoto wawili na ndoa ya miaka kumi hapa nilipo sijui furaha ya ndoa ni ipi nina mume ambae anajiona yeye ni mkamilifu ila mm hata nifanye nini nianakosea hajawi kuapriciate chochote nifanyacho lazima akosoe tuu,ana tabia ya kucheat nimeamua kukaa kimya napo anaona namdharau anafanya mambo yake kwa uwazi mpaka watoto wanaona na yanawathiri najiuliza hii ni ndoa au ndoano?
Hii comment izingatiwe...This Beijing gender always potray themselves as innocent and saints.
Never trust 'em.
Kesi isikilizwe pande zoteTumsikilize na mumeo sasa tujue na yako maana hujaeleza
Kwani za zamani zilikuwaje?ila ndoa za sasa🙌🏾, Mungu saidia kwakweli
PoleHabari WanaJamiiForums
Mimi ni mama wa watoto wawili na ndoa ya miaka kumi hapa nilipo sijui furaha ya ndoa ni ipi.
Nina mume ambae anajiona yeye ni mkamilifu ila mimi hata nifanye nini nianakosea hajawi kuapriciate chochote nifanyacho lazima akosoe tu.
Ana tabia ya kucheat nimeamua kukaa kimya napo anaona namdharau anafanya mambo yake kwa uwazi mpaka watoto wanaona na yanawathiri najiuliza hii ni ndoa au ndoano?