Hapa bado ndoa ipo au nimebakia na ndoano?

lramba

Member
Joined
May 24, 2023
Posts
51
Reaction score
57
Habari WanaJamiiForums

Mimi ni mama wa watoto wawili na ndoa ya miaka kumi hapa nilipo sijui furaha ya ndoa ni ipi.

Nina mume ambae anajiona yeye ni mkamilifu ila mimi hata nifanye nini nianakosea hajawi kuapriciate chochote nifanyacho lazima akosoe tu.

Ana tabia ya kucheat nimeamua kukaa kimya napo anaona namdharau anafanya mambo yake kwa uwazi mpaka watoto wanaona na yanawathiri najiuliza hii ni ndoa au ndoano?
 
Usihofu Babe @lramba, nipe namba zako PM na sisi tulipize. NB: Nipo Arusha
 
Miaka kumi kwenye ndoa vumilia tu mama uku Sisi vijana tutakukula mbususu na hatutakuoa maana tulishakubalia kwenye vikao vyetu kuwa hatuoi single mama ila tuwale mbususu tu mpaka waseme ili walioko kwa mabwana zao wajifunze na watulize makomwe yao uko uko kwa waume zao

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…