the numb 1
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 1,562
- 2,902
Njoo kwangu buza huku ujionee tunaosindikiza wenzetu!!
Huku tukijipa raha wenyewe!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni zaidi ya Ulaya ukiwa na pesa
Nataman kuwa na nyumba kali.
Demu wangu asingeniacha kirahisi vile.
Shukuru Mungu kwa kila jambo,saa nyingine Muumba anajua kuwa ungekuwa na hela saa hizi ungeshakuwa umekufa,kwahiyo ili kukunusuru ni bora uishi hivyo hivyo kiugumu...
Kwa hiyo makonda amenunua ama amejenga mwenyewe?
Mjengo wa mimi hujaona hapo kushotoni kwako au kwa sababu sipendi show za mchangani ndio hunijui.
Kwa hiyo Makonda amenunua ama amejenga mwenyewe?
Siku hizi wanakata kata viwanja.Sina hakika km amejenga au alinunua ila mm nafkr itakuwa amenunua oystby kupata kiwanja duuh sidhan
Imani za kijinga,yaani Mungu akunyime ukwasi kwa vile utajiua? sasa kwanini asizuie hicho kifo, na akupe mihera kibao,Shukuru Mungu kwa kila jambo,saa nyingine Muumba anajua kuwa ungekuwa na hela saa hizi ungeshakuwa umekufa,kwahiyo ili kukunusuru ni bora uishi hivyo hivyo kiugumu...