Hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya

Hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya

Njoo kwangu buza huku ujionee tunaosindikiza wenzetu!!

Huku tukijipa raha wenyewe!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
We bana kila mtu aenjoy alichonacho, nini Buza kuna siku nilikua masaki ya Chanika ndanindani huko kuna kakijiji kana nyumba kama tano tu lakini masela wapo nje kwenye viti vya magogo wamekaa wanapiga gongo yao kiroho safi tu halafu wamefurahi sana hadi nikawaonea wivu hilo life lao
 
Askofu Kakobe's kraal [emoji344][emoji344]

images%20(73).jpg
 
Tatizo la Bongo nyumba ikianza kuungua moto Fire Brigade mpaka watoke Bandarini au Airport wafike Oysterbay nyumba ishateketea.

Unapofananisha Bongo na Ulaya usifananishe majengo tu.

Angalia miundombinu pia.

Mjomba unaongelea fire ni km unaulizia makofi na mbata polisi nikisema km ulaya jua nmemaanisha nmekutana na fire imepaki na nyingn iko road mitaa hiyo hyo yan pale ukipotea njia huwez pata mtu wa kumuuliza mzee labda uende kwa walinz magetin,kwel makamu wa rais anapokaa wakina mo dewj fire ikosekane
 
Ha
Shukuru Mungu kwa kila jambo,saa nyingine Muumba anajua kuwa ungekuwa na hela saa hizi ungeshakuwa umekufa,kwahiyo ili kukunusuru ni bora uishi hivyo hivyo kiugumu...
Hayo yalimkuta ndugu yangu alipokuta mlinzi aliishi vizuri lakini ilitokea zari akafanya issue Mija akapata Kama mil80 Basi alipagawa Kila demu alimtaka Yeye ,kwa Sasa hatunae Tena alukufa kwa ngoma
 
Siku hizi wanakata kata viwanja.

Hiyo nyumba ya Bakhressa pale zamani lilikuwa shamba la mchicha la Shule ya Msingi Oysterbay.

Oysterbay siku hizi imekuwa ovyo sana wameweka mpaka gereji za magari, last time nilipofika nikashangaa barabara zilikuwa mbovu sana, pale shuleni.

Sijui kama sasa hivi wametengeneza.

Baada ya moratorium ya Mkapa ya kuuza nyumba kupita it will get even worse.

Pale sasa hivi ni minyoko tu ya lami hata hiyo shule msingi ukipita endapo kama wanafunzi wako nje unaeza jua ni private school kwa maana pako safi sana nje balozi zimezunguka tu shule
 
Mimi nikiweza kujenga geto self contained , ndani nikaweka sabufa na tv flat (40 inches), friji , mtungi wangu wa gesi, basi inatosha hiyo ndio itakuwa ulaya yangu[emoji1787]

Kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake
 
Mjomba unaongelea fire ni km unaulizia makofi na mbata polisi nikisema km ulaya jua nmemaanisha nmekutana na fire imepaki na nyingn iko road mitaa hiyo hyo yan pale ukipotea njia huwez pata mtu wa kumuuliza mzee labda uende kwa walinz magetin,kwel makamu wa rais anapokaa wakina mo dewj fire ikosekane
Mkuu.

Mimi ninavyosema hivyo nimekaa Oysterbay, na hao viongozi, na kulikuwa hakuna Fire Brigade services.

Labda kama wameleta miaka hii ya karibuni. Kwa sababu nimeondoka kitambo.
 
Mkuu.

Mimi ninavyosema hivyo nimekaa Oysterbay, na hao viongozi, na kulikuwa hakuna Fire Brigade services.

Labda kama wameleta miaka hii ya karibuni. Kwa sababu nimeondoka kitambo.

Sasa mimi ndio nakupasha mkuu nmekutana nayo tena mbili katika road mbili tofauti maeneo hayo kelele zinazosikika ni za ndege tu na magari
 
Usiumie sana ukasahau "Kuishi" endelea kufurahia maisha yako huku ukitafuta,


Usihuzunike sana coz humo ndani ya hizo nyumba hujui nao pia kuna matatizo yao wanayoyapitia,inaweza kua ni matatizo ya kiafya,kifamilia au matatizo mengine yeyote yale,

Usisubiri mpaka utimize jambo fulani ndio uwe na furaha,unaweza kutimiza jambo hilo kisha ukawa na furaha ila baadae ukaja kuona kua jambo hilo ni la kawaida tu,Siku zote omba afya njema na uzima huku ukiendelea kutafuta.
 
Back
Top Bottom