Nyumba haikaliki kutakua na majini [emoji1787][emoji1787][emoji1787], ukisema mke mwanaume usishindwe kujenga amani kwako ni udhaifuHalafu unakuta wenye majengo hayo hawakai nyumbani. Jioni utamkuta baa yuko kwenye viti vya plastiki anapiga stori na bamedi, nyumbani kaacha sofa nzuri tu
Unamtia moyo sioEndelea kutafuta mkwe, mademu wakali wapo na wanazaliwa kila siku[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hata wewe una hela bana, tofauti ni moja tu wewe mvivuNikiwa zangu nakimbia jogging nikifika kwenye huu mjengo huwa nautazama sn..kijichi kuna watu Wana hela banaView attachment 1815319
Eeee atafute pesa, warembo wapo tuuUnamtia moyo sio
Vijana wanataka wanawake wazuri wakati ni wavivu hawatafuti mali [emoji23][emoji23][emoji23]Eeee atafute pesa, warembo wapo tuu
Vijana wanataka wanawake wazuri wakati ni wavivu hawatafuti mali [emoji23][emoji23][emoji23]
Ahahaha mkuu fafanua kidogo hapo "wewe Una hela,tofauti wewe mvivu" au unanijua mkuu?Hata wewe una hela bana, tofauti ni moja tu wewe mvivu
Na vile ukiwa kwny hyo selfu afu unavuta ganja aaaaaaah mbna utaona ulaya si kitu,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nikiweza kujenga gheto self contained, ndani nikaweka sabufa na TV flat (40 inches), friji , mtungi wangu wa gesi, basi inatosha hiyo ndio itakuwa Ulaya yangu[emoji1787]
Dzain kama kweli hvKuna Mzee mmoja alikuwa anafanya kazi serikalini. Alikuwa mtu mkubwa kicheo.
Akawa kapandishwa cheo kikubwa kabisa kazini kwake.
Akapewa nyumba nzuri sana Oysterbay.
Karibu kabisa na ubalozi wa Marekani.
Watoto wake wakafurahi sana. Wakaona wanaenda kuhamia Oysterbay, tena karibu kabisa na Ubalozi wa Marekani.
Lakini, yule Mzee hakuwa mtu wa kupenda makuu.
Alisema anapapenda pale alipokuwa anaishi, maana pana sehemu kubwa, tena amezoeana sana na majirani. Wanaishi vizuri.
Zaidi, hakuona sababu za kuhamahama nyumba za serikali kwani alikuwa anakaribia kustaafu.
Watoto wake wakakasirika sana.
Wakasema Baba unaacha nafasi ya kuhamia Oysterbay, tena mtaa wa Laibon ukae jirani na rais Mwinyi na ubalozi wa Marekani?
Baba yao akasema ameshaamua.
Basi muda kidogo tu, ubalozi wa Marekani ukapigwa bomu. Ile nyumba ikapasukapasuka vibaya sana kwa sababu ilikuwa karibu sana na ubalozi wa Marekani.
Kama yule Mzee angehamia pale, familia yake ingeweza kuumia vibaya sana.
Watoto wale wakamuona yule mzee kama alikuwa na uwezo wa kuona yajayo.
Unaweza kutamani kitu kizuri, ukasononeka kukikosa.
Kumbe, usalama wako unakuja unapokikosa hicho kitu.
Ukikipata unapata balaa.
In an ideal world 😎Hard works comes first before good time
Money can buy a house but not a home. Ni kosa kabisa kusema kuna watu wana furaha kwa kutumia kigezo cha gharama ya nyumba anayoishiNipo mitaa ya Osterbay kwa mbali naona mjengo wa Mo Dewji kwa mbali tena naona mjengo wa Paul Makonda kwa pembeni yangu naona mjengo wa makamu wa Rais nikapita Bongoyo road nikakutana na mjengo anaoish mtoto wa Bakhresa kwa kweli nimesikitika sana hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya kweli haya maisha hayako fear wengine tunaish tu duniani ila kuna viumbe wengine wanaenjoy life imebidi kuingia hapa simply fresh kupata hata ka kinywaji kidogo.
PESA INAUMUHIMU MKUBWA SANA KATIKA MAISHA YETU TUTAFUTE PESA JAPO AJIRA NI KIKWAZO SANA
Ganya KAZI kwa BIDII SANANipo mitaa ya Osterbay kwa mbali naona mjengo wa Mo Dewji kwa mbali tena naona mjengo wa Paul Makonda kwa pembeni yangu naona mjengo wa makamu wa Rais nikapita Bongoyo road nikakutana na mjengo anaoish mtoto wa Bakhresa kwa kweli nimesikitika sana hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya kweli haya maisha hayako fear wengine tunaish tu duniani ila kuna viumbe wengine wanaenjoy life imebidi kuingia hapa simply fresh kupata hata ka kinywaji kidogo.
PESA INAUMUHIMU MKUBWA SANA KATIKA MAISHA YETU TUTAFUTE PESA JAPO AJIRA NI KIKWAZO SANA
mwanagati zipo nyingi sn kuliko hii.Nikiwa zangu nakimbia jogging nikifika kwenye huu mjengo huwa nautazama sn..kijichi kuna watu Wana hela banaView attachment 1815319
Aisee, usije kujiuaNipo mitaa ya Osterbay kwa mbali naona mjengo wa Mo Dewji kwa mbali tena naona mjengo wa Paul Makonda kwa pembeni yangu naona mjengo wa makamu wa Rais nikapita Bongoyo road nikakutana na mjengo anaoish mtoto wa Bakhresa kwa kweli nimesikitika sana hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya kweli haya maisha hayako fear wengine tunaish tu duniani ila kuna viumbe wengine wanaenjoy life imebidi kuingia hapa simply fresh kupata hata ka kinywaji kidogo.
PESA INAUMUHIMU MKUBWA SANA KATIKA MAISHA YETU TUTAFUTE PESA JAPO AJIRA NI KIKWAZO SANA
Kuna ilenNikiwa zangu nakimbia jogging nikifika kwenye huu mjengo huwa nautazama sn..kijichi kuna watu Wana hela banaView attachment 1815319
Mitaa ya ghorofa za nssf nakumbuka ndy mitaa ambayo ROSTAM ft Nay wa mitego walifanya video YaoKuna ilen
Njia inatokea chekechea inapita kota za nssf ziile ghorofa.
Kuna watu wanapesa na nakiri kuwa sijawah ona sehemu smart dar es salaam hii kama kuule aisee.
Road safi,mataa, mijengo, utulivu... Nyumba classic..... Kuna jamaa kajenga mnara wa tank za maji km ghorofa ya kukaa watu mamamamae jau saana
Yah nilishawah kuuliza sehemu nikakuta 50 kwa 100 milioni 250.... Niliishiwa pozi.Mitaa ya ghorofa za nssf nakumbuka ndy mitaa ambayo ROSTAM ft Nay wa mitego walifanya video Yao
Ni moja Kati ya barabara Bora kabisa Dar es salaam..pale ukiwa na gari unaendesha hata speed 180/hr bila tatizo..kule ni ushuani sn mkuu,kuna jamaa mitaa ya miande anauza kiwanja milioni 200 !!!
Duh Ile sehemu ni nzuri sana.Kuna ilen
Njia inatokea chekechea inapita kota za nssf ziile ghorofa.
Kuna watu wanapesa na nakiri kuwa sijawah ona sehemu smart dar es salaam hii kama kuule aisee.
Road safi,mataa, mijengo, utulivu... Nyumba classic..... Kuna jamaa kajenga mnara wa tank za maji km ghorofa ya kukaa watu mamamamae jau saana
Kabla ya ile lami tulikuwa tunaona pa ajabu ajabuYah nilishawah kuuliza sehemu nikakuta 50 kwa 100 milioni 250.... Niliishiwa pozi.
Kule ni msala aiseee kuna bar inautwa kingazi. Nouma.
Na sipati picha zile nyumba zikianza kutumika za nssf