Hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya

Hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya

Watu wa manispaa au private business?

Sinza maji ya bomba yanatoka siku hizi?
Wakati nakaa sinza yalikuwa yanatoka but jioni yanakatika yanarudi saa nne usiku.

Nishaama huko bills zilikuwa kubwa. Maji bill inakuja 80k kweli?
 
Wakati nakaa sinza yalikuwa yanatoka but jioni yanakatika yanarudi saa nne usiku.

Nishaama huko bills zilikuwa kubwa. Maji bill inakuja 80k kweli?
Bora hivyo. Mimi nilikaa Sinza maji ya kununua kwenye madumu ya kupitishwa na mikokoteni.
 
Nikiwa zangu nakimbia jogging nikifika kwenye huu mjengo huwa nautazama sn..kijichi kuna watu Wana hela banaView attachment 1815319
Ningekua mimi hii nyumba ningejenga mbali kidogo na barabara maana hapo ilipo kelele za magari zitasumbua.
Sema ndio hivyo tena ukiwa huna hela unakua na mawazo mazuuuuri 🤣 🤣
 
Bongo kitendawili. Miaka ya 80's- 90's nilikaa masaki maji yalikuwa ya mgao.
Ndiyo hapo utakapojua Bongo unaweza kuwa sehemu jina kubwa, lakini huduma muhimu hakuna.

Miaka ya 90 tulikuwa tunatoka Masaki kwa Bibi tunaenda kufua nguo nyumba yake ya Mwenge.

Kwa sababu Masaki licha ya kuwa na jina kubwa, hakuna maji. Mwenge ndiko kwenye maji.
 
Masaki, Oysterbay and Msasani Peninsula in Dar es Salaam Tanzania.

If you Think Africans are poor watch this :


Source : wode maya
 
Nipo mitaa ya Osterbay kwa mbali naona mjengo wa Mo Dewji kwa mbali tena naona mjengo wa Paul Makonda kwa pembeni yangu naona mjengo wa makamu wa Rais nikapita Bongoyo road nikakutana na mjengo anaoish mtoto wa Bakhresa kwa kweli nimesikitika sana hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya kweli haya maisha hayako fear wengine tunaish tu duniani ila kuna viumbe wengine wanaenjoy life imebidi kuingia hapa simply fresh kupata hata ka kinywaji kidogo.

PESA INAUMUHIMU MKUBWA SANA KATIKA MAISHA YETU TUTAFUTE PESA JAPO AJIRA NI KIKWAZO SANA
Hard works comes first before good time
 
Tatizo la Bongo nyumba ikianza kuungua moto Fire Brigade mpaka watoke Bandarini au Airport wafike Oysterbay nyumba ishateketea.

Unapofananisha Bongo na Ulaya usifananishe majengo tu.

Angalia miundombinu pia.
Hiyo Nyumba ya Mtoto waSSB iliwahi kushika moto.... kilichotokea... faya 3 tatu zilipishana bila kuitwa.... yale maneno yao sijui hamna maji sijui nn... hakuna...... wazee wa khaki wakafunga mtaa.... kama wote....
 
Mimi nikiweza kujenga gheto self contained, ndani nikaweka sabufa na TV flat (40 inches), friji , mtungi wangu wa gesi, basi inatosha hiyo ndio itakuwa Ulaya yangu[emoji1787]
Mambo ya kusena inatosha hata nikiwa na TV ndogo ni tabia za watu wavivuuuu, sky has no limit [emoji23]
 
Back
Top Bottom