Hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya

Uko vzr mkuu mawe yapo nyumban ya kutosha inaonekana
Aah, wapi ndugu yangu.Wote watoto wa kusomeshwa na Nyerere kwani tunachekana basi?

Kama tumepishana wote tumegawana umasikini tu.

Ndiyo maana nikaamua kukimbilia kwenye ligi kuu kwa kina Elon Musk, Jeff Bezos na Bill Gates huku.

Nikikaa Bongo sichelewi kubweteka kujiona mtoto wa Oysterbay, nikija huku natia akili kumkichwa watu hawaijui hata Tanzania iko wapi katika ramani, sembuse Oysterbay ya Bongo.
 

Kaka sisi wengn madream yet ni kufika ht US tunajikuta tunaishi buza kwa mpalange au kariako tukijitahid san bhas et zanzibar[emoji3]
 
Kaka sisi wengn madream yet ni kufika ht US tunajikuta tunaishi buza kwa mpalange au kariako tukijitahid san bhas et zanzibar[emoji3]
Huyo Bakhressa aliitoa hapo hapo Bongo hata US kama kufika kafika baada ya ubilionea.

Very humble man.

Maisha popote kaka.

Tena Bongo inawezekana ndiyo kukawa na uwanja mpana wa kupiga mingo vizuri hakuna wajanja wengi, huku kuna wajanja wa kila kona ya dunia wamejazana.

Kuitoa ile kimasomaso lazima upige hesabu za ziada.
 
bongo changamoto ni nyingi sana mkuu yaani hata hizo hand to mouth hazipatikani na sisi tunaotamani US tunataka kidogo tu ambacho kibongo bongo hakipatikani
 
bongo changamoto ni nyingi sana mkuu yaani hata hizo hand to mouth hazipatikani na sisi tunaotamani US tunataka kidogo tu ambacho kibongo bongo hakipatikani
Nakuelewa mwana.Shuta shuta mwendo wa ngiri pelaso la bongo nuksi nalijua.

Yani kuna wakati mtu huchelewi kuunga mkono Azimio town mpaka Sinza kwa sababu nauli imeflet apeche alolo.

Lakini mtoto wa kiume unakomaa mpaka one day yes.
 
Hapo ni kwa mtoto wake.
 
Well said. Ingawa ni bora uishi sehemu nzuri kwa muda mfupi kuliko kuishi miaka mingi sehemu ya kichoko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…