Hapa Dodoma kuna watu washambashamba sana wanajifanya wapelelezi

Hapa Dodoma kuna watu washambashamba sana wanajifanya wapelelezi

Nipo nakula zangu supu ya mapupu hapa upinde midude imevaa makofia meusi yasiyo na logo na mashati ya mikono mirefu yenye mauamaua inabugudhi wateja maeneo ya Bata. Shensi kabhisa

Munapoteza muda kuigiza vile msivyo mmekosa cha kufanya akina matonya?!

Polisi kamata hawa chapa viboko hadharani
 
Biaa ya ngapi upo mkuu mpk wanakurushiaa stimuu kiasii hchooo 😄

Waambie nawakaribisha chimbo uku tule skankaa😋
FB_IMG_1711018684569.jpg
 
Back
Top Bottom