Nipo nakula zangu supu ya mapupu hapa upinde midude imevaa makofia meusi yasiyo na logo na mashati ya mikono mirefu yenye mauamaua inabugudhi wateja maeneo ya Bata. Shensi kabhisaππ
Kapicha plizi tuwaone watekaji wetu wanavyofananaWamevaa vikofia vyeusi kwenye maeneo ya starehe wana act kishamba shamba sana. Walugaluga wakubwa, ushamba sana.
Dah pole sana mkuu, wamekukera sanaWamevaa vikofia vyeusi kwenye maeneo ya starehe wana act kishamba shamba sana. Walugaluga wakubwa, ushamba sana.
Heshima yako dada .Acha kunywa ulanzi bhanaa,π
Usiku mwema pia mene meneee,ila kunywa pombe kupitia kiasi ni hatarii kwa afya yako, tafadhali kunywa kistaarabu.Heshima yako dada .
Tafadhali naomba Mara nyingine usiutukane ulanzi kwa vitu vya kipuuzi watu wanavyoanzisha ,nakuomba Sana .
Usiku mwema π
Tena wewe umekaa jirani yangu hapa umeenda toilet kuvuta umerudi unanuka mibange bbak zkoBiaa ya ngapi upo mkuu mpk wanakurushiaa stimuu kiasii hchooo π
Waambie nawakaribisha chimbo uku tule skankaaπView attachment 3221641
Sawa sawa,kazi ya bee inajulikana lakini πNakunywa switch bee
Kuwaa makin usikute weziii πWapumbafu hawa niko nakula supu ya mapupu nashushia na Switch yanapitapita yanasimama nyuma hata kufungua simu yako unakosa uhuru