ππππWamevaa vikofia vyeusi kwenye maeneo ya starehe wana act kishamba shamba sana. Walugaluga wakubwa, ushamba sana.
Oya we mgogo eh waambie ndugu zako!?πWashamba haswaa! Kuna mmoja aliingia ukumbini na miatu yake oversized View attachment 3221666
Hapo Dom kila mtu ni Afisa Kipenyo till proven otherwiseWamevaa vikofia vyeusi kwenye maeneo ya starehe wana act kishamba shamba sana. Walugaluga wakubwa, ushamba sana.
Rainbow bonge la kiwanja, nikiwaga Dom huwa napozi pale, wabunge wanakuja kutafuta mademu pale.Nipo nakula zangu supu hapa upinde midude imevaa makofia meusi yasiyo na logo na mashati ya mikono mirefu yenye mauamaua inabugudhi wateja maeneo ya Bata. Shensi kabhisa
Munapoteza muda kuigiza vile msivyo mmekosa cha kufanya akina matonya?!
HahahahaHapo Dom kila mtu ni Afisa Kipenyo till proven otherwise
"mumoja",,,kumbe wa mrundi ndio maana wanakuzingua.Hawa unakamata unacharaza viboko 12 12 kila mumoja
Mimi pia nipo Burundi nishachukua uraia kipindi kile tunafukuzwa na Madelu Rais wa mawe.Kwamba natokea Bujumbura?!