Hapa Dodoma kuna watu washambashamba sana wanajifanya wapelelezi

Nipo nakula zangu supu hapa upinde midude imevaa makofia meusi yasiyo na logo na mashati ya mikono mirefu yenye mauamaua inabugudhi wateja maeneo ya Bata. Shensi kabhisa

Munapoteza muda kuigiza vile msivyo mmekosa cha kufanya akina matonya?!
Rainbow bonge la kiwanja, nikiwaga Dom huwa napozi pale, wabunge wanakuja kutafuta mademu pale.

Kuna pisi za kutosha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…