Hapa itakuwa imetendewa haki hifadhi hii ya taifa Saadan

Funa the Wild

Senior Member
Joined
Aug 1, 2022
Posts
167
Reaction score
282
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeielekeza Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa Saadani kuandaa mpango mahususi wa kuainisha maeneo ya uwekezaji ili kuvutia wawekezaji.



Karibu utalii nami
Twenzetu Kutalii bagamoyo ndani ya tarehe 01/04/2024 kwa gharama ya Tsh 65,000/= safari yetu itaanzia Mlimani City_Dar es Salaam.

Mawasiliano, +255622174613
 

Attachments

  • IMG_20240320_110503.jpg
    147.4 KB · Views: 3
Hiyo elfu sitini na tano ita cover nini na nini kwenye hiyo safari?
GHARAMA ZITAHUSISHA.

👉Usafiri kwenda na kurudi kutokea DAR
👉Chakula (Breakfast & Lunch)
👉Vinywaji
👉Kupanda Boat
👉Kuogelea
👉Michezo ya ufukweni
👉Kupiga picha
👉Burudani
👉Kutembelea maeneo mbalimbali ndani ya fukwe za horizon
👉Na shughuli nyinginezo.

Fanya booking sasa kabla nafasi hazijaisha.
Call/WhatsApp, +255622174613
Twenzetu kutalii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…