Hapa JF Kuna kipindi Zilivuma Nyuzi za kubebishana hapa, KULIKONI?

Hapa JF Kuna kipindi Zilivuma Nyuzi za kubebishana hapa, KULIKONI?

Nliwazoea, so ilikuwa kama burudani flani iviii, baada ya uchovu ukija pitia bebishana zao full kucheka,,

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe zinakufurahsha wengine zinawaumiza na kuona wivu wanaishia kutoa povu
Kwanza mambo mengi pia yanachangia hili jukwaa limepoaa wamebaki kina ndege john [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-T230NU using JamiiForums mobile app
 
Kuna kitu huwa najiuliza hivi Kuna ulazima watu mkibebishana muazishe mada jukwaa ili iweje na kwa faida gani labla?
Hamna kitu mwanamke yoyote anakipenda hapa dunian kama Kumuonyesha mbele za watu kua unampenda yee tu.

Bila shaka, hata wewe unapenda sana tuuu .

Semaa, ndo ivo Uigizaji unakua mwingi hata unaharib uhalisia.
 
Back
Top Bottom