Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
- Thread starter
-
- #21
Asante mkuu hili kundi ss hivi limeachwa kabisa na halitakiwi kuachwa tunataka Uimarishwaji wa huduma za kijamii kama elimu, afya, na mengineyoWazo zuri, mtawapata wanyonge ambao ndio wengi.
Ni vizuri mmeanzisha chama cha kuigawa CCM. Ndio kifo cha CCM kinaanzia hapoSisi tunaamini kwenye misimamo ya JPM ndiyo hasa misingi ya Chama Cha Hapa Kazi Tu... HKT. Kwenye hii misingi tutajenga Tanzania imara sasa na kwaajili ya vizazi vijavyo.
Uhuru wa kiuchumi ni jambo linalowezekena kama tutasimamia vizuri maliasili tulizonazo kwa manufaa ya wote.
Hatutakaa kimya pale tunapohisi rushwa, wizi na upotevu wa rasilimali za nchi unapotokea.
Sisi tunaamini kuwa katiba mpya ni hitaji la watanzania kwa lugha nyingine katiba ni muongo wa nchi unaotakiwa kubadilika kulingana na hitaji la Dunia kwa maana ya kwamba Dunia ya leo sio sawa na Dunia ya enzi za miaka ya 1977 kwa hiyo mambo mengi yamebadilika inabidi pia muongozo wa nchi ubadilike na mabadiliko hayo yaendane na hitaji la kuineemesha Tanzania kwa hiyo sisi tunaunga katiba mpya yenye kuakisi mahitaji halisi ya maisha ya kila siku ya watanzaniaNini msimamo wa chama chenu tarajiwa HKT kuhusiana na katiba mpya?
Funguka mwanakwetu, wanachama waanzilishi mwaweza anza nao tokea kwenye uzi huu huu.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Rais kujipendekeza ni nini na rais kuvutia wawekezaji ni nini?Mkuu namaanisha Rais hatakiwi kujipendekeza kwa wawekezaji wenye tabia za Carl Peter's, simaanishi Watanzania
Hapana mkuu nakuomba sana uelewe kuwa Mzee Magufuli alikuwa muungwana sana ni binadamu aliyekuwa na Mapungufu yake lkn kiukweli Mzee huyu alijitoa kwa ajili ya TanzaniaMnataka muenzi faisafa ya kuteka na kupiga watu risas kukwiba pesa za wafanya biashara na kuwa ben SAA 8 wanaowapinga sio?
Sisi tunaamini kuwa katiba mpya ni hitaji la watanzania kwa lugha nyingine katiba ni muongo wa nchi unaotakiwa kubadilika kulingana na hitaji la Dunia kwa maana ya kwamba Dunia ya leo sio sawa na Dunia ya enzi za miaka ya 1977 kwa hiyo mambo mengi yamebadilika inabidi pia muongozo wa nchi ubadilike na mabadiliko hayo yaendane na hitaji la kuineemesha Tanzania kwa hiyo sisi tunaunga katiba mpya yenye kuakisi mahitaji halisi ya maisha ya kila siku ya watanzania
Kwa mfano mkuu utata wa Mradi wa Bagamoyo inabidi pia wewe mwenyewe ujiulize kwa nn CHINA kila akiingia mikataba hii na nchi nyingi huishia kuzinyonyoa chukulia mfano SRI LANKA, ZAMBIA, KENYA zimeelemewa na mzigo wa sera za kiuwekezaji za Mchina huu mradi tungeuweza hata sisi trillion 23 tungeweza kuujenga hata kwa miaka 10 na ukaisha Tuna Bandari kibao ni sawa sawa na ww kuwa na TV ya sebuleni unang'ang"ana kununua TV ya chumbani matokeo yake unaongeza liabilitiesRais kujipendekeza ni nini na rais kuvutia wawekezaji ni nini?
Na unaweza kuwa specific kwa kutaja specific cases na kuacha kujificha nyuma ya generalities?
Na unajuaje unachoita kujipendekeza si kuvutia wawekezaji?
Na mbona hujajibu hoja nyingine?
Tuonyesheni kwanza waliomshambulia lisu azoli watekaji wa mo mwana Zimbabwe nk pia mawazoHapana mkuu nakuomba sana uelewe kuwa Mzee Magufuli alikuwa muungwana sana ni binadamu aliyekuwa na Mapungufu yake lkn kiukweli Mzee huyu alijitoa kwa ajili ya Tanzania
Hahaha...mtapata taabu sana, yajayo yanafurahisha.Siku ukipata usajili tujulishe tujue uko serious na si mtu wa soga tu.
Rais anatakiwa kujali wananchi wote, si waliomchagua tu.
Kwa sababu ni rais wa wananchi wote, si waliomchagua tu.
Unaelewa hilo?
Unaelewa kwamba kama kweli unapiga vita rushwa hutakiwi kumshobokea Magufuli?
Magufuli alihalalisha rushwa akasema ni hela ya traffic kupigia brashi viatu tu.
Magufuli aliwapa mdogo wake na hawara yake nyumba za serikali kinyume na utaratibu.
Huyo ndiye mtu wa kumshobokea katika vita dhidi ya rushwa?
Mimi binafsi kama binadamu niliye na ndugu jamaa na marafiki ningependa tuishi kwa upendo kutofautiana kihoja ni jambo la kawaida kwenye maisha na kiukweli siungani na ninalaani matukio ya kuuwawa NA kuteswa watanzania wenzangu enzi za Magufuli hayo yalikuwa mapungufu yake ambayo yawe yalikuwa na baraka zake au hayakuwa na baraka zake yeye kama baba yetu namba moja alistahili kulaumiwa haya yalikuwa mapungufu ya JPM lkn hili haliwezi kufifisha ukweli kwamba Hayati Dkt John Pombe Magufuli baba huyu alikuwa na nia njema na Tanzania kama binadamu tumsameheni kwa makosa yake tuchukue yaliyo memaAsante kwa ufafanuzi murua kabisa. Wengi wenye vyama na wasiokuwa na vyama wana mtazamo kama ninyi.
Hii inanirejesha kwenye mada inayojaribu kuangalia kiuhalisia ni wapi tunapopishana kiasi cha kujikuta hatuonani vyema macho kwa macho.
Tuliji nasibu kukuomba rasmi kutupa ufafanuzi kwenye mambo ya msingi ambayo pia tunadhani huenda labda ni kwa sababu kushindwa kufahamiana tu:
Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
Kutofautiana kimawazo katika nchi ni jambo la afya. Haiwezekani sote tukawa na mtizamo mmoja. Hata watoto mapacha hutokea wakati wakatofautiana. Kwa bahati mbaya kuna zama zimepita kwa kutofautiana tu pana watu wamekufa, wamepotezwa, wamejeruhiwa, wamedhulumiwa, na mengi ya namna hiyo...www.jamiiforums.com
Ufafanuzi wako ikikupendeza tafadhali.
Mradi wa Bagamoyo hauwezekani kujulikana uzuri wake au ubaya wake mpaka mkataba uwekwe wazi.Kwa mfano mkuu utata wa Mradi wa Bagamoyo inabidi pia wewe mwenyewe ujiulize kwa nn CHINA kila akiingia mikataba hii na nchi nyingi huishia kuzinyonyoa chukulia mfano SRI LANKA, ZAMBIA, KENYA zimeelemewa na mzigo wa sera za kiuwekezaji za Mchina huu mradi tungeuweza hata sisi trillion 23 tungeweza kuujenga hata kwa miaka 10 na ukaisha Tuna Bandari kibao ni sawa sawa na ww kuwa na TV ya sebuleni unang'ang"ana kununua TV ya chumbani matokeo yake unaongeza liabilities
Umeniunganisha na nani kuniambia "mtapata tabu sana"?Hahaha...mtapata taabu sana, yajayo yanafurahisha.
Hapana mkuu nakuomba sana uelewe kuwa Mzee Magufuli alikuwa muungwana sana ni binadamu aliyekuwa na Mapungufu yake lkn kiukweli Mzee huyu alijitoa kwa ajili ya Tanzania
Hapana hatuwezi kupata taabu tunenee mema kwa manufaa ya nchi yetu ya Tanzania na wewe kama mtanzania mwenzangu nakuomba umsamehe Hayati Dkt Magufuli kwa mapungufu yake kama binadamu tuchukue mema yake yanayoweza kuivusha nchi yetu ya Tanzania hata wewe hapo ndugu yangu haujakamilika hiki chama ni Cha watu wote hakitakuwa na lengo la kumkomoa mtu hiki chama ndicho tegemeo la WatanzaniaHahaha...mtapata taabu sana, yajayo yanafurahisha.
Nitakuwa mwanachama wake.Hapana hatuwezi kupata taabu tunenee mema kwa manufaa ya nchi yetu ya Tanzania na wewe kama mtanzania mwenzangu nakuomba umsamehe Hayati Dkt Magufuli kwa mapungufu yake kama binadamu tuchukue mema yake yanayoweza kuivusha nchi yetu ya Tanzania hata wewe hapo ndugu yangu haujakamilika hiki chama ni Cha watu wote hakitakuwa na lengo la kumkomoa mtu hiki chama ndicho tegemeo la Watanzania
Kaa chini tafakari ndugu yangu utagundua kuwa Dkt Magufuli alikuwa ni binadamu mwenye nia njema na nchi hayo unayoyasema hutokea kila awamu tuunganeni kuenzi falsafa njema za kuikomboa Tanzania kutoka kwenye mikono ya kinyonyajiAlikuwa rais muovu na katili. Anzisheni hicho chama uone hata kama mtawezs kuwashinda TLP ya Mrema.