ProMagufuli
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 253
- 270
Kwani muhtasari unaandikwaje.?Ni jambo jema sana. lakin nani ana approve existence ya hiko chama? ni serikal hii hii ya ccm au nyingine?
Kunakuwa na uwasilishaji uliobora..
Haya mambo tukijadiliana kwa kina tunaweza kuelewana ni nini kifanyike.
Seriousness inahitajika.
Mama anaonekana anataka uhuru kwa hiyo hawezi kuweka ugumu.