Sisi tunaamini kwenye misimamo ya JPM ndiyo hasa misingi ya Chama Cha Hapa Kazi Tu... HKT. Kwenye hii misingi tutajenga Tanzania imara sasa na kwaajili ya vizazi vijavyo.
Uhuru wa kiuchumi ni jambo linalowezekena kama tutasimamia vizuri maliasili tulizonazo kwa manufaa ya wote.
Hatutakaa kimya pale tunapohisi rushwa, wizi na upotevu wa rasilimali za nchi unapotokea.
Sisi tunaamini kuwa katiba mpya ni hitaji la watanzania kwa lugha nyingine katiba ni muongo wa nchi unaotakiwa kubadilika kulingana na hitaji la Dunia kwa maana ya kwamba Dunia ya leo sio sawa na Dunia ya enzi za miaka ya 1977 kwa hiyo mambo mengi yamebadilika inabidi pia muongozo wa nchi ubadilike na mabadiliko hayo yaendane na hitaji la kuineemesha Tanzania kwa hiyo sisi tunaunga katiba mpya yenye kuakisi mahitaji halisi ya maisha ya kila siku ya watanzania
Hapana mkuu nakuomba sana uelewe kuwa Mzee Magufuli alikuwa muungwana sana ni binadamu aliyekuwa na Mapungufu yake lkn kiukweli Mzee huyu alijitoa kwa ajili ya Tanzania
Sisi tunaamini kuwa katiba mpya ni hitaji la watanzania kwa lugha nyingine katiba ni muongo wa nchi unaotakiwa kubadilika kulingana na hitaji la Dunia kwa maana ya kwamba Dunia ya leo sio sawa na Dunia ya enzi za miaka ya 1977 kwa hiyo mambo mengi yamebadilika inabidi pia muongozo wa nchi ubadilike na mabadiliko hayo yaendane na hitaji la kuineemesha Tanzania kwa hiyo sisi tunaunga katiba mpya yenye kuakisi mahitaji halisi ya maisha ya kila siku ya watanzania
Asante kwa ufafanuzi murua kabisa. Wengi wenye vyama na wasiokuwa na vyama wana mtazamo kama ninyi.
Hii inanirejesha kwenye mada inayojaribu kuangalia kiuhalisia ni wapi tunapopishana kiasi cha kujikuta hatuonani vyema macho kwa macho.
Tulijinasibu kukuomba rasmi kutupa ufafanuzi wako kwenye mambo ya msingi ambayo pia tunadhani huenda labda ni kwa sababu kushindwa kufahamiana vizuri tu:
Kutofautiana kimawazo katika nchi ni jambo la afya. Haiwezekani sote tukawa na mtizamo mmoja. Hata watoto mapacha hutokea wakati wakatofautiana. Kwa bahati mbaya kuna zama zimepita kwa kutofautiana tu pana watu wamekufa, wamepotezwa, wamejeruhiwa, wamedhulumiwa, na mengi ya namna hiyo...
Kwa mfano mkuu utata wa Mradi wa Bagamoyo inabidi pia wewe mwenyewe ujiulize kwa nn CHINA kila akiingia mikataba hii na nchi nyingi huishia kuzinyonyoa chukulia mfano SRI LANKA, ZAMBIA, KENYA zimeelemewa na mzigo wa sera za kiuwekezaji za Mchina huu mradi tungeuweza hata sisi trillion 23 tungeweza kuujenga hata kwa miaka 10 na ukaisha Tuna Bandari kibao ni sawa sawa na ww kuwa na TV ya sebuleni unang'ang"ana kununua TV ya chumbani matokeo yake unaongeza liabilities
Hapana mkuu nakuomba sana uelewe kuwa Mzee Magufuli alikuwa muungwana sana ni binadamu aliyekuwa na Mapungufu yake lkn kiukweli Mzee huyu alijitoa kwa ajili ya Tanzania
Kutofautiana kimawazo katika nchi ni jambo la afya. Haiwezekani sote tukawa na mtizamo mmoja. Hata watoto mapacha hutokea wakati wakatofautiana. Kwa bahati mbaya kuna zama zimepita kwa kutofautiana tu pana watu wamekufa, wamepotezwa, wamejeruhiwa, wamedhulumiwa, na mengi ya namna hiyo...
Mimi binafsi kama binadamu niliye na ndugu jamaa na marafiki ningependa tuishi kwa upendo kutofautiana kihoja ni jambo la kawaida kwenye maisha na kiukweli siungani na ninalaani matukio ya kuuwawa NA kuteswa watanzania wenzangu enzi za Magufuli hayo yalikuwa mapungufu yake ambayo yawe yalikuwa na baraka zake au hayakuwa na baraka zake yeye kama baba yetu namba moja alistahili kulaumiwa haya yalikuwa mapungufu ya JPM lkn hili haliwezi kufifisha ukweli kwamba Hayati Dkt John Pombe Magufuli baba huyu alikuwa na nia njema na Tanzania kama binadamu tumsameheni kwa makosa yake tuchukue yaliyo mema
Kwa mfano mkuu utata wa Mradi wa Bagamoyo inabidi pia wewe mwenyewe ujiulize kwa nn CHINA kila akiingia mikataba hii na nchi nyingi huishia kuzinyonyoa chukulia mfano SRI LANKA, ZAMBIA, KENYA zimeelemewa na mzigo wa sera za kiuwekezaji za Mchina huu mradi tungeuweza hata sisi trillion 23 tungeweza kuujenga hata kwa miaka 10 na ukaisha Tuna Bandari kibao ni sawa sawa na ww kuwa na TV ya sebuleni unang'ang"ana kununua TV ya chumbani matokeo yake unaongeza liabilities
Hapana mkuu nakuomba sana uelewe kuwa Mzee Magufuli alikuwa muungwana sana ni binadamu aliyekuwa na Mapungufu yake lkn kiukweli Mzee huyu alijitoa kwa ajili ya Tanzania
Hapana hatuwezi kupata taabu tunenee mema kwa manufaa ya nchi yetu ya Tanzania na wewe kama mtanzania mwenzangu nakuomba umsamehe Hayati Dkt Magufuli kwa mapungufu yake kama binadamu tuchukue mema yake yanayoweza kuivusha nchi yetu ya Tanzania hata wewe hapo ndugu yangu haujakamilika hiki chama ni Cha watu wote hakitakuwa na lengo la kumkomoa mtu hiki chama ndicho tegemeo la Watanzania
Hapana hatuwezi kupata taabu tunenee mema kwa manufaa ya nchi yetu ya Tanzania na wewe kama mtanzania mwenzangu nakuomba umsamehe Hayati Dkt Magufuli kwa mapungufu yake kama binadamu tuchukue mema yake yanayoweza kuivusha nchi yetu ya Tanzania hata wewe hapo ndugu yangu haujakamilika hiki chama ni Cha watu wote hakitakuwa na lengo la kumkomoa mtu hiki chama ndicho tegemeo la Watanzania
Kaa chini tafakari ndugu yangu utagundua kuwa Dkt Magufuli alikuwa ni binadamu mwenye nia njema na nchi hayo unayoyasema hutokea kila awamu tuunganeni kuenzi falsafa njema za kuikomboa Tanzania kutoka kwenye mikono ya kinyonyaji
Sawa kabisa mkuu. Hata mimi nitakuwa mwanachama wako.
Lakini je: -
(1) Una uzalendo na ujasiri wa kweli kutoka moyoni kama alivyokuwa JPM?
(2)Unaumizwa kutoka moyoni unapoona Tanzania inarudi kwa kasi mikononi mwa mafisi?
(3)Upo tayari kujitoa sadaka kwa maneno na matendo kwa kukemea na kulinda rasilimali za Taifa kwa manufaa ya Watanzania kama alivyokuwa JPM?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.