Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
- Thread starter
-
- #41
karibu sana hatuwezi kuacha haya mawazo ya kujivunia kuwa na Tanzania bora yakapita hivi hivi tu hapana tunataka Tanzania yenye kujiamini na yenye kulinda rasilimali zake kwa nguvu zooteNitakuwa mwanachama wake.
sana kabisa mimi alipokufa Magufuli nilimaliza wiki nzima sitoki nje nilisafiri kwenda chato kumuaaga na kumzika kwa hiyo basi mm maisha yangu yote nitajitolea kutetea mema ya Tanzania kwa kuenzi ndoto falsafa na maono ya JPMSawa kabisa mkuu. Hata mimi nitakuwa mwanachama wako.
Lakini je: -
(1) Una uzalendo na ujasiri wa kweli kutoka moyoni kama alivyokuwa JPM?
(2)Unaumizwa kutoka moyoni unapoona Tanzania inarudi kwa kasi mikononi mwa mafisi?
(3)Upo tayari kujitoa sadaka kwa maneno na matendo kwa kukemea na kulinda rasilimali za Taifa kwa manufaa ya Watanzania kama alivyokuwa JPM?
Mimi kama Mtanzania nalaani matukio yote yenye nia ovu yaliyofanyika enzi za Magufuli lkn tuchukueni mazuri tuyafanyie kazi HKT Itajitoa kwa wivu mkubwa Sana kutetea Rasilimali za nchi ya TanzaniaTuonyesheni kwanza waliomshambulia lisu azoli watekaji wa mo mwana Zimbabwe nk pia mawazo
Kaa chini tafakari ndugu yangu utagundua kuwa Dkt Magufuli alikuwa ni binadamu mwenye nia njema na nchi hayo unayoyasema hutokea kila awamu tuunganeni kuenzi falsafa njema za kuikomboa Tanzania kutoka kwenye mikono ya kinyonyaji
Usingeacha kuumia maana ulikuwa kwenye kundi lake la watu wasiojulikana.sana kabisa mimi alipokufa Magufuli nilimaliza wiki nzima sitoki nje nilisafiri kwenda chato kumuaaga na kumzika kwa hiyo basi mm maisha yangu yote nitajitolea kutetea mema ya Tanzania kwa kuenzi ndoto falsafa na maono ya JPM
Faraja namba moja ni uhuru wetu wa kutoa maoni na mama ameshafanya hivi,labda ninyi mnatafuta faraja ya kuendelea kuwateka watu na kuwasabayaLengo la HKT ni kurudisha faraja kwa Watanzania juu ya ulinzi wa Rasilimali zao “Hayati Dk John Magufuli alikuwa mzalendo wa kweli, alikuwa na maono, alijitoa kwa nguvu zote, alikuwa na uthubutu sana, mtu wa vitendo na muumini wa matokeo na kuchukua hatua za papo kwa papo,
Ukiwa ndani ya CCM hauwezi kuikosoa na kuisahihisha kwa sababu never outshine your master lkn ni rahisi sana kupush ajenda nje ya CCM kuna mwafizikia Newton aliwahi kusema nguvu ya ndani haileti mwelekeo bali ni nguvu ya nje mm nimezaliwa kusimamia ukweli lkn sio kujipendekeza ili nipate madaraka kwangu mm furaha yangu ni kuona matokeoMradi wa Bagamoyo hauwezekani kujulikana uzuri wake au ubaya wake mpaka mkataba uwekwe wazi.
Mpaka sasa, kama mradi unaendelea bila kuwekwa wazi, hilo si jambo zuri
Hata hivyo, kuanzisha chama kipya sioni kutasaidia nini nq kutabadilishq kipi katika mfumo uliopo.
Mimi nikishaandikq umuhimubwa kuwekq mikataba wazi tqngu mwaka 2011.
Soma hapa.
A campaign for greater transparency: Tanzania government contracts
Should government contracts be open to the public eye? Kiranga, Vijana FM's guest blogger, discusses this need.www.vijana.fm
Hapana sisi hatuna ajenda ya kuwateka mama inabidi amateur nguvu ya nje ya watu wanaopush constructively kwa hiyo ondoa wasiwasFaraja namba moja ni uhuru wetu wa kutoa maoni na mama ameshafanya hivi,labda ninyi mnatafuta faraja ya kuendelea kuwateka watu na kuwasabaya
Sawa.Ukiwa ndani ya CCM hauwezi kuikosoa na kuisahihisha kwa sababu never outshine your master lkn ni rahisi sana kupush ajenda nje ya CCM kuna mwafizikia Newton aliwahi kusema nguvu ya ndani haileti mwelekeo bali ni nguvu ya nje mm nimezaliwa kusimamia ukweli lkn sio kujipendekeza ili nipate madaraka kwangu mm furaha yangu ni kuona matokeo
Mimi binafsi kama binadamu niliye na ndugu jamaa na marafiki ningependa tuishi kwa upendo kutofautiana kihoja ni jambo la kawaida kwenye maisha na kiukweli siungani na ninalaani matukio ya kuuwawa NA kuteswa watanzania wenzangu enzi za Magufuli hayo yalikuwa mapungufu yake ambayo yawe yalikuwa na baraka zake au hayakuwa na baraka zake yeye kama baba yetu namba moja alistahili kulaumiwa haya yalikuwa mapungufu ya JPM lkn hili haliwezi kufifisha ukweli kwamba Hayati Dkt John Pombe Magufuli baba huyu alikuwa na nia njema na Tanzania kama binadamu tumsameheni kwa makosa yake tuchukue yaliyo mema
Hatutaki tena kurudi utumwani mwashetani hata wewe nakushauli acha kuabudu lishetani *Magufuli ni dude ambalo tutalijutia maisha yetu yoteMimi kama Mtanzania nalaani matukio yote yenye nia ovu yaliyofanyika enzi za Magufuli lkn tuchukueni mazuri tuyafanyie kazi HKT Itajitoa kwa wivu mkubwa Sana kutetea Rasilimali za nchi ya Tanzania
Wewe ni mwanachama wetu mzuri sana wa HKT jiridhishe vizuri kabisa ukiwa umetulia na hoja zako tutaelewana vizuriNasema hivi, hatujawahi kupata rais muovu wa aina yake, na aliendekeza siasa chafu sana, huku akiua na kuwaacha wakosoaji wake na vilema vya maisha. Usitake hata kutukumbusha ukatili aliyotufanyia yule mtu muovu. Kaunganeni nyie mliofaidika wakati wa ukatili wake.
Hayati Dr Magufuli alikuwa na maono ya kuibadilisha Tanzania hakuwa katili hakuwa muonevu alisimama njiani kutetea wanyonge waliodhurumiwa na kuonewaHatutaki tena kurudi utumwani mwashetani hata wewe nakushauli acha kuabudu lishetani *Magufuli ni dude ambalo tutalijutia maisha yetu yote
Yamekuwa hayo tena!yaani kwa taarifa yako wananchi wengi /wapinzani walikuwa wanaomba jiwe atoke tu, hata kitawale kiumbe chochote tu kile, tutakiunga mkono, ila siyo jiwe, kumbe MUNGU NAYE FUNDI!!Mama hata atawale tu hadi hapo tutakapo pata katiba mpya haina shida kabisa, madamu KINYAMKELA HAKIPO ROHO KWATU!!sasa mama ni upendo tu hata kama hajafanya la maana sana lakini hatufokewi, na tuna amani.Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.
Ccm itaendelea kupeta
ah wapi. kwa kizazi hiki cha wabongo.. kizazi hiki ambacho wakitishiwa na polis kidogo wanarudi ndani?Humu watakutukaneni sana, register hiko chama then ingieni field huko muune mitaa itavyowashangaza watu...R.I.P JPM!
Ni kweli kwa yeyote aliyekuwa kwenye Taasisi ya Urais enzi za Magufuli na alitenda jinai nadhani mamlaka za dola zikijirisha sheria ichukue mkondo wake lkn si kwa kuwaonea watu, kuhusu katiba mpya hili linatakiwa kuwa mjadala mpana utaoleta majawabu ya kudumu ya Hali za watanzania katika sehemu zao za mashambani, mashuleni, mahospitalini, mimi yeyote anayeinenea mema Tanzania ni rafiki yangu na tutashirikiana nayeNinakushukuru tena kwa kauli za kitu uzima hizi ulizozitoa:
1. "Magufuli hayo yalikuwa mapungufu yake ambayo yawe yalikuwa na baraka zake au hayakuwa na baraka zake yeye kama baba yetu namba moja alistahili kulaumiwa."
2. "haya yalikuwa mapungufu ya JPM lkn hili haliwezi kufifisha ukweli kwamba Hayati Dkt John Pombe Magufuli baba huyu alikuwa na nia njema na Tanzania."
3. "kama binadamu tumsameheni kwa makosa yake tuchukue yaliyo mema."
Ninakubaliana nawe 100%.
Amini ninakwambia makelele mengine unayoyasikia ni kushindwa kufahamiana tu. Kwa hakika kuanzia leo ninao mtazamo tofauti kabisa kukuhusu wewe na kumhusu hayati Magufuli. Jambo la kheri kabisa, au vipi?
Tukubaliane:
1. Kumsamehe hayati Magufuli.
2. Kuwawajibisha waliomfanya yeye kubeba lawama hizi.
3. Tushirikiane sote kuujenga umoja wetu ikiwamo kudai katiba mpya kwa amani na kwa pamoja
Au unaona je mpaka hapo?
Ni kweli kwa yeyote aliyekuwa kwenye Taasisi ya Urais enzi za Magufuli na alitenda jinai nadhani mamlaka za dola zikijirisha sheria ichukue mkondo wake lkn si kwa kuwaonea watu, kuhusu katiba mpya hili linatakiwa kuwa mjadala mpana utaoleta majawabu ya kudumu ya Hali za watanzania katika sehemu zao za mashambani, mashuleni, mahospitalini, mimi yeyote anayeinenea mema Tanzania ni rafiki yangu na tutashirikiana naye
Mbona Zitto aliweza? Mwache ajaribu"hapa kazi tu" ni slogan .. tafuta jina sahihi la chama.
pili kama chama kinajengwa arround magufuli.. basi hakifai. maana taasis ndio inatakiwa kuwa imara si mtu fulani.
pili una uwezo wa ku survive nje ya ccm ww? wapo waliojaribu sana lakin hawakudumu muda mrefu.
utaweza survive nje ya ccm?
Nimependa sana approach yako ndugu! Unauwezo mkubwa sana kuwatuliza hao wenye hasira na JPMHapana sisi hatuna ajenda ya kuwateka mama inabidi amateur nguvu ya nje ya watu wanaopush constructively kwa hiyo ondoa wasiwas