Hapa kwa mzungu tumepigwa.

Hapa kwa mzungu tumepigwa.

Kaka GENTAMYCINE una lolote la kuongezea, manake jezi tu zimetoka ulaya, striker katoka ulaya na ukizingatia jana watani zenu tumepigwa ndio kabisa,ila nyie msimu huu,mpo kiulaya ulaya tu.
 
Lunyasi wanna msebia huku Singida b.s wana wabrazil
 
NALIONA KOSA LINGINE KWENYE SAJILI ZINAZOENDELEA NDANI YA SIMBA.

Nimesikitishwa Sana na Usajili wa Simba uliofanyika siku ya Leo.

Watu wote tukiamini kwamba hii ndio sehemu uliyoigharimu Simba msimu wa 2021-22. Kutokana na washambuliaji wake watu Mugalu, Boko na kagere kutokufikisha hata idadi ya Magoli 10 katika michezo zaidi ya 46.

Nilitegemea uongozi utaanzia hapana kufanya marekebisho ndani ya kikosi kwa kuwaondo wote watu ama .

Baadaye kutafuta washambuliaji wawili wa Maana kama MAYELE.
YANI TULITEGEMEA MTU KAMA MANZOKI AKISHIRIKIANA NA PHILI.

Leo wanatuletea mserbia ambayeMazingira ya Afrika ni magumu sana.
..Hali ya hewa.
...utamaduni.
...Ushirikina
Na yote Mengineyo

HAKUNA MZUNGU ALIYEWAHI KUFANYA VIZURI KWENYE SOKA LA BONGO.
Watanzania hawaishiwi maneno daa!
Likiwa pendekezo la kocha mnacritisize mchezaji mzungu....wakisajili Simba wenyewe utaskia hao wachezani pendekezo la kocha au viongozi....
 
Acha watu wacheze ushasikia wapi mzungu analogeka
 
NALIONA KOSA LINGINE KWENYE SAJILI ZINAZOENDELEA NDANI YA SIMBA.

Nimesikitishwa Sana na Usajili wa Simba uliofanyika siku ya Leo.

Watu wote tukiamini kwamba hii ndio sehemu uliyoigharimu Simba msimu wa 2021-22. Kutokana na washambuliaji wake watu Mugalu, Boko na kagere kutokufikisha hata idadi ya Magoli 10 katika michezo zaidi ya 46.

Nilitegemea uongozi utaanzia hapana kufanya marekebisho ndani ya kikosi kwa kuwaondo wote watu ama .

Baadaye kutafuta washambuliaji wawili wa Maana kama MAYELE.
YANI TULITEGEMEA MTU KAMA MANZOKI AKISHIRIKIANA NA PHILI.

Leo wanatuletea mserbia ambayeMazingira ya Afrika ni magumu sana.
..Hali ya hewa.
...utamaduni.
...Ushirikina
Na yote Mengineyo

HAKUNA MZUNGU ALIYEWAHI KUFANYA VIZURI KWENYE SOKA LA BONGO.
ACHA UJUAJI BRAZA
 
NALIONA KOSA LINGINE KWENYE SAJILI ZINAZOENDELEA NDANI YA SIMBA.

Nimesikitishwa Sana na Usajili wa Simba uliofanyika siku ya Leo.

Watu wote tukiamini kwamba hii ndio sehemu uliyoigharimu Simba msimu wa 2021-22. Kutokana na washambuliaji wake watu Mugalu, Boko na kagere kutokufikisha hata idadi ya Magoli 10 katika michezo zaidi ya 46.

Nilitegemea uongozi utaanzia hapana kufanya marekebisho ndani ya kikosi kwa kuwaondo wote watu ama .

Baadaye kutafuta washambuliaji wawili wa Maana kama MAYELE.
YANI TULITEGEMEA MTU KAMA MANZOKI AKISHIRIKIANA NA PHILI.

Leo wanatuletea mserbia ambayeMazingira ya Afrika ni magumu sana.
..Hali ya hewa.
...utamaduni.
...Ushirikina
Na yote Mengineyo

HAKUNA MZUNGU ALIYEWAHI KUFANYA VIZURI KWENYE SOKA LA BONGO.
Sasa huyo mawele hizo goli 10 msimu huu itabidi mjumlishe na za pre season.
 
Endelea kukariri maisha,Nurcovic wa kaizer chief ulimwona shughuli yake?
Uko sahihi sana.Mfano Petro Atletico du Luanda wamefika nusu fainali ya CAFCL msimu huu wakiwa na wazungu/Wabrazil na Wareno.Jamaa walikuwa wanakichafua kweli kweli.Suala msingi tuombee asiwe majeruhi wa mara kwa mara.
 
Huyu mzungu akacheze eti Songea au Mbeya kisha a perform vizuri ni kudanganyana.
Hali ya viwanja vibovu ni kila seheme jana tu klop kadroo anasingizia uwanja ulikuwa mkavu
 
Back
Top Bottom