Hapa kwa mzungu tumepigwa.

Hapa kwa mzungu tumepigwa.

Ondoka kwenye dimbwi la primitive minds. Tupo kwenye modern football. Mambo ya uchawi na ushirikina peleka UTOPOLO.
Umesahau mapema hivi
20220528_171102.jpg
 
NALIONA KOSA LINGINE KWENYE SAJILI ZINAZOENDELEA NDANI YA SIMBA.

Nimesikitishwa Sana na Usajili wa Simba uliofanyika siku ya Leo.

Watu wote tukiamini kwamba hii ndio sehemu uliyoigharimu Simba msimu wa 2021-22. Kutokana na washambuliaji wake watu Mugalu, Boko na kagere kutokufikisha hata idadi ya Magoli 10 katika michezo zaidi ya 46.

Nilitegemea uongozi utaanzia hapana kufanya marekebisho ndani ya kikosi kwa kuwaondo wote watu ama .

Baadaye kutafuta washambuliaji wawili wa Maana kama MAYELE.
YANI TULITEGEMEA MTU KAMA MANZOKI AKISHIRIKIANA NA PHILI.

Leo wanatuletea mserbia ambayeMazingira ya Afrika ni magumu sana.
..Hali ya hewa.
...utamaduni.
...Ushirikina
Na yote Mengineyo

HAKUNA MZUNGU ALIYEWAHI KUFANYA VIZURI KWENYE SOKA LA BONGO.
Endelea kusikitika brother, ila ngoja tuone mwisho wake badala ya kuhukumu mapema.
 
mleta mada kasema ukweli najua wametegesha manzoki wamchukue hadi december dirisha dogo , lakini dah nilidhani wangeenda nchi ya kiafrika kuleta striker linalojua uchawi ni nini, atalogwa sna huyu mzungu, sijafurahi
Je wale wa Brazil wa timu fulani kwanini msiwashauri na wao?
 
Back
Top Bottom