min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
ephen_ mkali wa hizi kazi ft Vincenzo Jr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Benpol,Steve rnb,rama Dee na zaidi ya wote Ibrahnation
It’s Rama Dee or Ben PaulDamian Soul
Damian Soul I the best of allIt’s Rama Dee or Ben Paul
Sababu uliimbwa kwa R&B format ambapo wabongo walikuwa hawaipi uzito au kuikubali. Yaani walioimba R&B wote wali-switch sababu ulikua ni muziki usiokubalika au ambao media havikuupaisha. Wengi wakaimba zouk ambayo ndio ilikubalika sanaHiyo ngoma ya TID ina balaa kuanzia productuon ina quality na melody zimeenda shule. Sijajua kwa nini huo wimbo uko underrated sana
Kabisa brotherephen_ mkali wa hizi kazi ft Vincenzo Jr
Ahahah sema kweliAlisikika mlevi mmoja akiota ndoto za mchana
Marioo hapanaSteve rnb,mario,Jux,Ben pol
Sio rnbMbona haujamuweka Konde Boy mzee wa bongoclat🤣
Huyu mtu ni noma sana anaimba ile pure RNBRAMA DEE
Kwani hauwezi kuimba RNB kwenye beat la mapiano?Damian sol, rama d, Steve rnb, Ben Paul na jux yule wa zamani sio huyu wa amapiano