Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
napenda huu wimbo wake..Damian Soul I the best of all
Unaweza kula samaki na chai ya baridi 🤔Kwani hauwezi kuimba RNB kwenye beat la mapiano?
Ulistahiliulichukua tuzo huo wimbo
ipo YouTube sina kwenye simu link hii hapaKENZY naomba uitume humu ngoma ya Q Jay ft Joslin-Sifai
Iko poa pia jamaa alikuwa anajua sana R&Bya q jay ambayo ninayo ni lonely
View attachment 3134775
ukisoma kichwa cha uzi nimeandika "unafikiri" hivyo ni maoni binafsi! hatutafuti number one hapa,kama huyo kwa upande wako ndio top one hakuna matata!Hakukuwa na haja ya kuanzisha uzi wa kuuliza swali juu ya hilo, kwa maana hakuna mkali wa R&B bongo hii zaidi ya Ben Paul.
Tunamkosea sana, hatumpi heshima stahiki.
Kwenye ngoma R&B Ni Moja tu Watasema ya TID zingine hizo n kitu kingine kabisaBinafsi kete naitupa kwa TID na Marioo hapo ni upande wa wasanii wakiume kwa wakike nafikiri maunda zorro na Vumi.
TID
View attachment 3134327
Mario
View attachment 3134332
Maunda
View attachment 3134340
Vumi
View attachment 3134345
Nilisikia hilo, bado yuko na mkewe Besta?yeah hivi ndo sasahivi kaokoka..?
Ok ni sawa nimechanganya ni mke wa Marlawbesta ni wa marlow ama kuna besta mwengine
Rama dee kaimba RNB kwenye beat la singeli ngoma inaitwa Mazoea iwe pianoUnaweza kula samaki na chai ya baridi 🤔
Hebu ficha ujinga wako na wewe bwana sio lazima utuoneshe bwanaRama dee kaimba RNB kwenye beat la singeli ngoma inaitwa Mazoea iwe piano