Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Makamua na qjay hatuwaoniBinafsi kete naitupa kwa TID na Marioo hapo ni upande wa wasanii wakiume kwa wakike nafikiri maunda zorro na Vumi.
TID
View attachment 3134327
Mario
View attachment 3134332
Maunda
View attachment 3134340
Vumi
View attachment 3134345
Steve RnB 👐👐Binafsi kete naitupa kwa TID na Marioo hapo ni upande wa wasanii wakiume kwa wakike nafikiri maunda zorro na Vumi.
TID
View attachment 3134327
Mario
View attachment 3134332
Maunda
View attachment 3134340
Vumi
View attachment 3134345
Mrisho mpotoBinafsi kete naitupa kwa TID na Marioo hapo ni upande wa wasanii wakiume kwa wakike nafikiri maunda zorro na Vumi.
TID
View attachment 3134327
Mario
View attachment 3134332
Maunda
View attachment 3134340
Vumi
View attachment 3134345
Mkuu umekuja kwa speed ya ngiriMoyo wangu mzimaaa haujameguka
Hicho sikitambui
Ashakubali mkuu ni wewe tuuh kuendeleza harakatiAhahah sema kweli
Naona umekuwa dalaliMkuu umekuja kwa speed ya ngiri
Usimfanyie ivo jamaa😂e3
Huna bayaAshakubali mkuu ni wewe tuuh kuendeleza harakati
Tunawajua hao
ukisha upload file lako kuna sehemu utaona pameandikwa "insert" unaclick hapo hilo file litatokea kwenye kiboma chakuandikia komenti then unapost ni hivyo tuMkuu naomba unielekeze namna ya ku-upload audio files ili ziwe kwa muonekano kama wako na sio kama normal attachment