Hapa lazima Marioo kaona utupu wa mkwe

Hapa lazima Marioo kaona utupu wa mkwe

Huyo mzazi kazi yake ni nini ?

Sio mtu anakuwa model anatangaza Lingerie unataka avae baibui !!!!

To each their own....

View attachment 2693373

Hata leo hapa wakija watu wa Imani nitawapinga kwa kuwauliza kwenye maandiko yao kama Adam; Hawa; Eva; Chausiku (no matter you wanna call them kama walivaa nguo)

By the way nguo zingekuwa part ya binadamu basi binadamu wangezaliwa na suti / shuka
Kwahyo ndgu ungependa dunia itembee uchi labda au?
 
Hivi Marioo na Paula mwenyewe hujiskiaje wanapokuwa wakiona utupu wa mzazi (mkwe)?

[emoji116]Hii ni picha mpya aliyochapisha muigizaji Kajala Masanja au mama mzazi wa Paula,Nadhani ifike muda watu hususani maarufu wafikiri kuhusu maisha ya kesho na vizazi vijavyo+teknolojia.

Upakiaji wa picha au picha mjongeo zenye maudhui dharimu zaweza kuathiri watoto wetu,ndugu na jamaa kama hatutazingatia maudhui sahihi ya kuchapisha.

Mfano,Crish mtoto wa Irene Uwoya na watoto wa Tessy,Lulu Diva,Umberruty nk.Wanajiskiaje wanapoona tupu zao tena wakiingiliwa mtandaoni?View attachment 2693351
Mwanamke body
 
Huyo mzazi kazi yake ni nini ?

Sio mtu anakuwa model anatangaza Lingerie unataka avae baibui !!!!

To each their own....

View attachment 2693373

Hata leo hapa wakija watu wa Imani nitawapinga kwa kuwauliza kwenye maandiko yao kama Adam; Hawa; Eva; Chausiku (no matter you wanna call them kama walivaa nguo)

By the way nguo zingekuwa part ya binadamu basi binadamu wangezaliwa na suti / shuka
Umeongea vizuri sana
 
Kwahyo ndgu ungependa dunia itembee uchi labda au?
Nope mimi sipo huko ndio maana siwezi kwenda kwenye nudity beaches n.k. I am a private person who keep things private (but that is me) hata nikiona watu wanafanya mambo nawashauri wa-get a room - Ila siwezi kuperuzi sehemu ambapo; models wanafanya modelling au beach watu wamevaa bikini au watu wanafanya sun bathing wapo kifua wazi alafu nikalaumu....

Hayo mambo ya kuzaliwa uchi nawapinga wale wanaotumia kigezo cha dini watu kutokuvaa nguo..., Pia wale wanaotumia maadili ya kiafrika ninawashauri warudi nyuma kidogo tu watakuta bibi zao wanatembea kivua wazi....

Its all in perspective akitembea hivyo mtaani tutashangaa ila sio kwenye album yake au kajipiga picha kwenye simu wewe unakwenda kuifukunyua alafu unaleta lawama....
 
Hivi Marioo na Paula mwenyewe hujiskiaje wanapokuwa wakiona utupu wa mzazi (mkwe)?

[emoji116]Hii ni picha mpya aliyochapisha muigizaji Kajala Masanja au mama mzazi wa Paula,Nadhani ifike muda watu hususani maarufu wafikiri kuhusu maisha ya kesho na vizazi vijavyo+teknolojia.

Upakiaji wa picha au picha mjongeo zenye maudhui dharimu zaweza kuathiri watoto wetu,ndugu na jamaa kama hatutazingatia maudhui sahihi ya kuchapisha.

Mfano,Crish mtoto wa Irene Uwoya na watoto wa Tessy,Lulu Diva,Umberruty nk.Wanajiskiaje wanapoona tupu zao tena wakiingiliwa mtandaoni?View attachment 2693351
Kwa sasa bongo si bahati mbaya
 
We unamsikilizq huyo kenge?. Ina mana nishindwe kujichua kisa nimekosa video jf?. Nahitaj pruv kuwa hizo video zipo kweli mana hapa sio sehem ya kwNza kusikia habar za hiz video kuwepo
Eee zipo mdogo wangu ata mi nmeziona bila chenga hata ya yule mtumishi aliyekula kondoo pia[emoji16][emoji120]
 
Nope mimi sipo huko ndio maana siwezi kwenda kwenye nudity beaches n.k. I am a private person who keep things private (but that is me) hata nikiona watu wanafanya mambo nawashauri wa-get a room - Ila siwezi kuperuzi sehemu ambapo; models wanafanya modelling au beach watu wamevaa bikini au watu wanafanya sun bathing wapo kifua wazi alafu nikalaumu....

Hayo mambo ya kuzaliwa uchi nawapinga wale wanaotumia kigezo cha dini watu kutokuvaa nguo..., Pia wale wanaotumia maadili ya kiafrika ninawashauri warudi nyuma kidogo tu watakuta bibi zao wanatembea kivua wazi....

Its all in perspective akitembea hivyo mtaani tutashangaa ila sio kwenye album yake au kajipiga picha kwenye simu wewe unakwenda kuifukunyua alafu unaleta lawama....
Mkuu umeongea vzur maana umegusa pande zote ila mhusika kaweka sehemu ya hadhara kiasi kwamba ukiwasha mtandao tu unakutana nayo[emoji120]
 
Nope mimi sipo huko ndio maana siwezi kwenda kwenye nudity beaches n.k. I am a private person who keep things private (but that is me) hata nikiona watu wanafanya mambo nawashauri wa-get a room - Ila siwezi kuperuzi sehemu ambapo; models wanafanya modelling au beach watu wamevaa bikini au watu wanafanya sun bathing wapo kifua wazi alafu nikalaumu....

Hayo mambo ya kuzaliwa uchi nawapinga wale wanaotumia kigezo cha dini watu kutokuvaa nguo..., Pia wale wanaotumia maadili ya kiafrika ninawashauri warudi nyuma kidogo tu watakuta bibi zao wanatembea kivua wazi....

Its all in perspective akitembea hivyo mtaani tutashangaa ila sio kwenye album yake au kajipiga picha kwenye simu wewe unakwenda kuifukunyua alafu unaleta lawama....
Hao bibi waliishi Gizani matamanio hayakuwepo Wala ngono haikutumika Kama burudani bali hitaji la kuzaa watoto.
 
Hao bibi waliishi Gizani matamanio hayakuwepo Wala ngono haikutumika Kama burudani bali hitaji la kuzaa watoto.
Aisee !!! Kwamba kutamani na burudani ya ngono ime-evolve kwenye kizazi hiki hapo zamani ilikuwa haipo ? Kwa taarifa yako kitu kikiwa open / wazi kikazoeleka mwisho wa siku kinakuwa cha kawaida na wala watu hawashangai tena ndio maana kuna vitu vinaitwa fetish (hata nguo inaweza ikawa sexy zaidi kuliko mtu aliye uchi); tena huenda mwingine ndio akatisha

Kwahio kwa argument yako ukienda nudity beaches ni kwamba watu wanabakana mwanzo mwisho ?
 
Back
Top Bottom