Atakupa miaka 100 uthibishe kama kweli yeye ni mmatumbi_na anajua huwezi mpaka kiama kinasimama [emoji16][emoji16][emoji16]N'nani huyo?...
ama ni Yule mmtaumbi anae act kuijua dini vizuri kuliko wakaazi MAKA & MADINA? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Atakupa miaka 100 uthibishe kama kweli yeye ni mmatumbi_na anajua huwezi mpaka kiama kinasimama [emoji16][emoji16][emoji16]
Sio yeye Ila kuna kaka yake anayemtwanga KO bila huruma me naiitaga library inayoishi ndio mwenye udamvudamvu kama huu
YHiki ulicholeta mleta Mada niliwahi kumuuliza lifecoded lkn hakunijibu
Naomba nimuite kaka yangu huyu huenda anaweza kutusaidia kdg kaka Eiyer popote ulipo karibu
Kaka zitto junior hebu weka neno kdg usiogope wafia DINI
daaaah
Mkuu ,zakupotea ,karibu tena jukwaani, Hebu tuweke sawa hapo mkuudaaaah
Mkuu umepotea sana au kuna madini unaandaa? tumemiss sana mada zako.daaaah
[emoji23] [emoji23] Nadhani ni yule jamaa mwenye asili ya kimatumbi ile ni mjuvi wa Ilimu ya watu Maka na madina kuliko wenye nayo[emoji41][emoji23][emoji23]kuna jamaa anapenda kutumia tenzi kama hizi humu [emoji16][emoji16][emoji16]
Duh kumbe conspiracy theories a.k.a ujinga wa wazungu umekuwa mpana kiasi hiki sikuizi??!! Last time I checked vilikuwa vichache tu kumbe kila leo wajinga wanazaliwa na kuongeza nyama kwenye syllabus ya ujinga...eti walimuua Nikola Tesla?? hahaha nasisi wabongo tunaamini kila kitu tunachokisoma kutoka kwa wazungu hata kama ni clip ya YouTube ya dogo mpiga puli miaka 16 akiwa ghetto anakuambia kufungua jicho la tatu akuingizie unakubali tu
I am not talking too low, you are listening too slow.