Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
- Thread starter
- #41
I am not talking too low, you are listening too slow.QUOTE
Naomba uongeze nyama kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I am not talking too low, you are listening too slow.QUOTE
Naomba uongeze nyama kidogo
Tunpoandika, tuzingatie kuandika vitu vinavyoweza kuthibitishika.
Hi mada ni quantum na sio ya heka heka kuweka hayo maneneo hapo sio kwamba sijui kitu hata robo ni kuongeza ufaham zaid izo maumbo zingine ziko safi zingine ziifaham ndo maana nikaanzisha uzi kama ivoTunpoandika, tuzingatie kuandika vitu vinavyoweza kuthibitishika.
Si kujazana uzushi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Quantum ni nini?Hi mada ni quantum na sio ya heka heka kuweka hayo maneneo hapo sio kwamba sijui kitu hata robo ni kuongeza ufaham zaid izo maumbo zingine ziko safi zingine ziifaham ndo maana nikaanzisha uzi kama ivo
Bro kiranga mm sio wa maongez mengi na soga kama utaki kutoa mchango wako bac
Kwani siwezi kuchangia kwa maswali?Bro kiranga mm sio wa maongez mengi na soga kama utaki kutoa mchango wako bac
ha! haaa!! kuchangia kwa maswali![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sina mbavu mkuu!Kwani siwezi kuchangia kwa maswali?
Umeandika kitu ambacho hukijui?
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika falsafa ya kutafuta ukweli kuna kitu kinaitwa "The Socratic Method".ha! haaa!! kuchangia kwa maswali![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sina mbavu mkuu!
Mkuu[emoji28]Kwani siwezi kuchangia kwa maswali?
Umeandika kitu ambacho hukijui?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, jamaa hajatokea kujibu hili swali kabisa
swali lipi mkuu??Hahahaha, jamaa hajatokea kujibu hili swali kabisa
Hahahaha, mkuu hoja ya maswali ipo ktk hii mada natumai umeisoma ,tusaidie mkuu majibu ya juu unachoelewaswali lipi mkuu??
Haswaa