Hapa mkuu Lifecode alikuwa anamaanisha nini?

Hapa mkuu Lifecode alikuwa anamaanisha nini?

Ushawahi kujifunza elimu ya mifano au adabu za mijadala ? Miongoni mwa masharti ya mifano ni lazima kuwepo na uhusiano kati ya mfano na kile kinachotolewa mfano. Kwa munasaba wa swali lako na huu mfano, hauingii katika katika namna ya maswali yangu,kwani maswali yangu yamebeba msingi wa jambo husika yaani kushindwa kujibu maswali yangu kunavunja jengo zima. Mathakani leo hii huwezi kutuambia ya kuwa Dunia inatembea au inazunguka kwa mujibu wa Sayansi bila kutuonyesha jaribio la Kisayansi lililo pelekea wewe kufikia hitimisho, halafu tukikuuliza iekuwaje umefikia hitimishk hilo, useme hio ni swali sawa na kuuliza "Dunia".ni nini ?.Aisee huku ni kuihujumu Elimu na watu wake.


Sasa kaka, mbona unapoteza muda mzee, wakati kama ushaona mimi sijui, ulitakiwa unisaidie tu ili tuokoe muda. Fanya kujibu swai hilo kaka.


Safi kabisa, yawezekana sifuatilii, ila wewe ambae unafatilia na majibu unayo huu muda ungetakiwa uyajibu maswali yangu, embu nijibie hayo maswali mawili ili nipate faida.

Nipo ....
Narudia tena mkuu hii mada na muendelezo wa mada ambazo anazitoa lifecode.

Elimu ni gharama na gharama yake inaweza kuwa muda au pesa.

Kama lengo ni kujifunza kweli kama ambavyo umeniamisha basi take your time ukitulia pitia mada za muhusika ambazo amekuwa akizitoa kipindi cha nyuma nazani itakuwa ni njia rahisi zaidi na unaweza kuja na hoja za kuendelea kujengana.

Lakini hili la kutaka mimi nikuandikie paragrafu zaidi ya mia wakati unaweza ukapitia wewe mwenyewe binafsi sili afiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Narudia tena mkuu hii mada na muendelezo wa mada ambazo anazitoa lifecode.

Elimu ni gharama na gharama yake inaweza kuwa muda au pesa.

Kama lengo ni kujifunza kweli kama ambavyo umeniamisha basi take your time ukitulia pitia mada za muhusika ambazo amekuwa akizitoa kipindi cha nyuma nazani itakuwa ni njia rahisi zaidi na unaweza kuja na hoja za kuendelea kujengana.

Lakini hili la kutaka mimi nikuandikie paragrafu zaidi ya mia wakati unaweza ukapitia wewe mwenyewe binafsi sili afiki

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa mfano mimi nikiwa na jibu juu ya swali fulani lililo elezwa sehemu fulani, huwa najibu hapo hapo kisha natoa rejea kwa maelezo zaidi.

Sasa unaposema nimejibiwa na huonyeshi wapi nimejibiwa na ili kuokoa muda unashindwa kufanya hivyo, hii inaonyesha huna jibu la maswali haya. Hii ndio tofsuti yangu na nyinyi. Elimu ni kile ambacho kipo kifuani mwako na unaweza kukitoa popote unapo kuwepo.

Jambo ambalo hulijui ni kuwa huyu nimeshajadiliana nae sana, na mara ya nwisho nilipo mbana, akadai ya kuwa mimi natafuta umaarufu na amenipa air time ya kutosha kulingana na mjadala ule. Yaani namjua kwa ufupi, na nia yangu ni yeye aeleze mambo katika uhalisia wake sio nadharia, tatizo lenu mnapenda sana story za Wanasayansi na si kuhoji, ila kitu ambacho nilimwambia, haya yote anayo yaandika hawezi kuyathibitisha ukweli wake mpaka anakufa, na hakuweza kufanya hivyo na hatoweza.

Sasa mtu una muuliza kitu chepesi sana, anakimbilia kwamba mimi nataka "battle" sasa huu ni uoga na hataki kuhojiwa, elimu haitaki huu ujinga.
 
Narudia tena mkuu hii mada na muendelezo wa mada ambazo anazitoa lifecode.

Elimu ni gharama na gharama yake inaweza kuwa muda au pesa.

Kama lengo ni kujifunza kweli kama ambavyo umeniamisha basi take your time ukitulia pitia mada za muhusika ambazo amekuwa akizitoa kipindi cha nyuma nazani itakuwa ni njia rahisi zaidi na unaweza kuja na hoja za kuendelea kujengana.

Lakini hili la kutaka mimi nikuandikie paragrafu zaidi ya mia wakati unaweza ukapitia wewe mwenyewe binafsi sili afiki

Sent using Jamii Forums mobile app

Au tuokoe muda mzee, majibu ya maswali yangu nayapata wapi katika mada ambazo amewahi kuzitoa. Nitajie hiyo mada nikaisome.
 
Kwa mfano mimi nikiwa na jibu juu ya swali fulani lililo elezwa sehemu fulani, huwa najibu hapo hapo kisha natoa rejea kwa maelezo zaidi.

Sasa unaposema nimejibiwa na huonyeshi wapi nimejibiwa na ili kuokoa muda unashindwa kufanya hivyo, hii inaonyesha huna jibu la maswali haya. Hii ndio tofsuti yangu na nyinyi. Elimu ni kile ambacho kipo kifuani mwako na unaweza kukitoa popote unapo kuwepo.

Jambo ambalo hulijui ni kuwa huyu nimeshajadiliana nae sana, na mara ya nwisho nilipo mbana, akadai ya kuwa mimi natafuta umaarufu na amenipa air time ya kutosha kulingana na mjadala ule. Yaani namjua kwa ufupi, na nia yangu ni yeye aeleze mambo katika uhalisia wake sio nadharia, tatizo lenu mnapenda sana story za Wanasayansi na si kuhoji, ila kitu ambacho nilimwambia, haya yote anayo yaandika hawezi kuyathibitisha ukweli wake mpaka anakufa, na hakuweza kufanya hivyo na hatoweza.

Sasa mtu una muuliza kitu chepesi sana, anakimbilia kwamba mimi nataka "battle" sasa huu ni uoga na hataki kuhojiwa, elimu haitaki huu ujinga.
Kwanza ni seme sijashindwa kujibu ila nimejibu kwa njia ambayo wewe haujaridhika nayo.

Kuhusiana na haya mabishano yenu sio kwamba mimi siyajui.! La hasha nimekuwa nayasoma miaka takribani miwili sasa hivi ila kilicho nifanya nitoe cimment za aina hii ni ile hali ya wewe kuvaa kitambaa cha ugeni kwenye mada kama hizi ili ulete usumbufu watu waanzie mbaliiii wakati ungeweza kuendelea sehemu mlipo ishia ili kuokoa muda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Au tuokoe muda mzee, majibu ya maswali yangu nayapata wapi katika mada ambazo amewahi kuzitoa. Nitajie hiyo mada nikaisome.
Sawa hapo ndio pazuri na ndio lengo la kujifunza linalo weza kutuletea mabadiliko kwenye akili zetu.

Naomba uyaulize tena hayo maswali mkuu tafadhari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza ni seme sijashindwa kujibu ila nimejibu kwa njia ambayo wewe haujaridhika nayo.

Kuhusiana na haya mabishano yenu sio kwamba mimi siyajui.! La hasha nimekuwa nayasoma miaka takribani miwili sasa hivi ila kilicho nifanya nitoe cimment za aina hii ni ile hali ya wewe kuvaa kitambaa cha ugeni kwenye mada kama hizi ili ulete usumbufu watu waanzie mbaliiii wakati ungeweza kuendelea sehemu mlipo ishia ili kuokoa muda

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ukiambiwa swali a msingi unajua linataka nini ? Linataka kujua imefikiaje au wamepitia wapi mpaka kufikia hitimisho. Tatizo kubwa linalo ikumba Sayansi yote kwa ujumla leo hii na halitaisha tatizo hili kulingana na misingi kwayo Sayansi imefikia ni namna ya utoaji "HITIMISHO", leo watahitimisha hivi,kesho watahitimisha vile.
 
Narudia tena mkuu hii mada na muendelezo wa mada ambazo anazitoa lifecode.

Elimu ni gharama na gharama yake inaweza kuwa muda au pesa.

Kama lengo ni kujifunza kweli kama ambavyo umeniamisha basi take your time ukitulia pitia mada za muhusika ambazo amekuwa akizitoa kipindi cha nyuma nazani itakuwa ni njia rahisi zaidi na unaweza kuja na hoja za kuendelea kujengana.

Lakini hili la kutaka mimi nikuandikie paragrafu zaidi ya mia wakati unaweza ukapitia wewe mwenyewe binafsi sili afiki

Sent using Jamii Forums mobile app
Zurri huwa hayupo tayari kujifunza

Anachoamini ndicho

Ni aina ya watu wasumbufu duniani

Wasikuchanganye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mfano mimi nikiwa na jibu juu ya swali fulani lililo elezwa sehemu fulani, huwa najibu hapo hapo kisha natoa rejea kwa maelezo zaidi.

Sasa unaposema nimejibiwa na huonyeshi wapi nimejibiwa na ili kuokoa muda unashindwa kufanya hivyo, hii inaonyesha huna jibu la maswali haya. Hii ndio tofsuti yangu na nyinyi. Elimu ni kile ambacho kipo kifuani mwako na unaweza kukitoa popote unapo kuwepo.

Jambo ambalo hulijui ni kuwa huyu nimeshajadiliana nae sana, na mara ya nwisho nilipo mbana, akadai ya kuwa mimi natafuta umaarufu na amenipa air time ya kutosha kulingana na mjadala ule. Yaani namjua kwa ufupi, na nia yangu ni yeye aeleze mambo katika uhalisia wake sio nadharia, tatizo lenu mnapenda sana story za Wanasayansi na si kuhoji, ila kitu ambacho nilimwambia, haya yote anayo yaandika hawezi kuyathibitisha ukweli wake mpaka anakufa, na hakuweza kufanya hivyo na hatoweza.

Sasa mtu una muuliza kitu chepesi sana, anakimbilia kwamba mimi nataka "battle" sasa huu ni uoga na hataki kuhojiwa, elimu haitaki huu ujinga.
Nimefuatilia aina ya uchangiaji wako na uulizaji wako wa maswali nimegundua kitu kimoja kikubwa kwako!

Huulizi maswali kwa lengo la kutaka kuelewa mada husika, ila unauliza maswali ili kutafuta point of weakness ya unayemuuliza

Na kitu kingine cha ziada, maswali yako unayouliza tayari unakuwa umeshayatengenezea majibu yako unayoyaamini

Nikushauri kitu kimoja! Kama unahisi muhusika anaeleza uongo katika jambo analolieleza, tenga muda wako tumwangie ukweli kwa kutoa facts zinazopingana na alichokieleza vinginevyo utabaki kutoeleweka siku zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefuatilia aina ya uchangiaji wako na uulizaji wako wa maswali nimegundua kitu kimoja kikubwa kwako!

Huulizi maswali kwa lengo la kutaka kuelewa mada husika, ila unauliza maswali ili kutafuta point of weakness ya unayemuuliza

Na kitu kingine cha ziada, maswali yako unayouliza tayari unakuwa umeshayatengenezea majibu yako unayoyaamini

Nikushauri kitu kimoja! Kama unahisi muhusika anaeleza uongo katika jambo analolieleza, tenga muda wako tumwangie ukweli kwa kutoa facts zinazopingana na alichokieleza vinginevyo utabaki kutoeleweka siku zote

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna njia nyingi sana za kuujua ukweli, moja wapo ni kuuliza yanayo endana na uhalisia.

Leo hii naweza nisijue kwanini tunaambiwa Virusi vinatengenezwa, ila naweza kujua ukweli kwa kuuliza kwa yule anae sema Virusi vinatengenezwa. Huu ni mfano tu.

Kwahiyo kuona au utufikishie ujumbe unatakiwa pia utuambie na utujibie maswali yanayo gusa msingi au misingi ya kile unacho tuelezea.

Pili, mimi sina majibu ila mimi nina uhalisia wa mambo jinsi yalivyo na tunavyo yadiriki mambo ya nadharia na kuhakiki vitu kwenye makaratasi ndio ambayo hatuyataki na yameshapitwa na wakati sababu hayaakisi uhalisia wa mambo zaidi ya dhana na kubahatisha. Hakuna nadharia ambayo inaweza kuthibitisha ukweli wa nadharia nyingine mzee. Leo huwezi kutuambia "Dark Energy " ndio imeshikilia uhai wetu, bila kutuambia imetoka wapi na inafanya vipi kazi na ipo wapi na ni nani wakwanza kusema hivyo na ilikuwaje mpaka akahitimisha hilo ?Akili salama inakataa hizi porojo.

Tatu, suala la mtu kutokueleweka lina sababu nyingi sana, miongoni mwa sababu hizo nji watu kuukataa ukweli kwa makusudi, na wengine kupeleka mapenzi mbele pasi na kuhoji, hata huyo anae elezea mambo hayo laiti angeamua kuhoji asingeendelea kuandika haya.

Nne, kadhalika lengo langu sio wewe unielewe au wengine wanielewe au wale wanielewe, bali lengo langu ni kuufikisha ukweli basi na ukweli unafika kwa njia hii pia.

Ahsante.
 
Nimefuatilia aina ya uchangiaji wako na uulizaji wako wa maswali nimegundua kitu kimoja kikubwa kwako!

Huulizi maswali kwa lengo la kutaka kuelewa mada husika, ila unauliza maswali ili kutafuta point of weakness ya unayemuuliza

Na kitu kingine cha ziada, maswali yako unayouliza tayari unakuwa umeshayatengenezea majibu yako unayoyaamini

Nikushauri kitu kimoja! Kama unahisi muhusika anaeleza uongo katika jambo analolieleza, tenga muda wako tumwangie ukweli kwa kutoa facts zinazopingana na alichokieleza vinginevyo utabaki kutoeleweka siku zote

Sent using Jamii Forums mobile app


Nikikuuliza swali ni kitu gani ulicho kielewa katika mada za mdau, na ushawahi kumuhoji juu ya kile alichokiandiia unaweza kuniambia ? Kisha nikuulize swali kwa kile ulicho kielewa.

Humu watu hawahoji zaidi ya kuvutiwa na story za kisayansi na masaiati, na ukihoji unaitwa mbishi au unatafuta Battle, huwa nacheka sana. Kuhoji ndio kumetufikisha hapa.

Ahsante.
 
Sawa hapo ndio pazuri na ndio lengo la kujifunza linalo weza kutuletea mabadiliko kwenye akili zetu.

Naomba uyaulize tena hayo maswali mkuu tafadhari

Sent using Jamii Forums mobile app

Maswali yako mengi, ngoja nianzie na haya aliyo taka mtoa apewe ufafanuzi.

Naanza kuchambua nukta moja baada ya nyingine katika haya aliyo nukuu mtoa mada kisha najenga hoja, na wewe unipe ufafanuzi yaani majibu.

Nanukuu toka kwa mtoa mada, akimnukuu aliye sema : Anasema :

Language that the universe speaks is through symbols asigned into numbers.

Swali,je hizo maana za hizo alama zimetolewa na nani ? Bila shaka ni watu, sababu kwa vyo vyote vile umbo, alama au namba halina uwezo wa kujielezea lenyewe kwa dhati yake isipokuwa watu ndio wanaweza kufanya hivyo na huo ndio ukweli. Swali ni je kipi kinacho fanya hizo maana zitolewazo na hao watu ziwe za kweli wakati wameziweka wenyewe kwa malengo yao na kuwasilisha jambo lao ? Hili hata wewe unaweza kufanya yaani kupatia maana kitu fulani unacho taka wewe na hii ni aina ya uongo sababu huwezi kuthibitisha ukweli wa maana hiyo na uhusiano uliopo kati ya maana ya alama na alama yenyewe. Mathalani, ukisoma Falsafa za Pythagorasi, yeye aliamua kuelezea mambo kupitia maumbo na namba, na kila namba akaipa maana yake, na kwake yeye aliona namba kumi huwasilisha "Ukamilifu",lakini swali ni upi uhusiaono kati ya ukamilifu na hiyo namba ? Jibhu sahihi hakuna,lakini Aristotle yeye aliamua kucheza na lugha yaani "Kiima/Subject/Mubtadaa" na "Kiarifu/Predicate/Khabar" kuelezea mambo na ukamilifu wake ndio akaja na hitimisho ya kwa yupo "Unmoved mover" na zile Ten Categories zake, sawa hii ni mitazamo tu. Lakini hawa wa leo wanataka kutulazimisha ya kuwa mitazamo yao iwe ndio "Facts/Evicence" wakati hawawezi kuthibitisha ukweli wa mitazamo hiyo. Huku ni kufikiri kitoto.

Sasa kwanini kisicho dhuru kisichokuwa na uwezo wa kujielezea chenyewe tuambjwe kina siri hali ya kuwa si kweli ?

Naendelea ...
 
Narudia tena mkuu hii mada na muendelezo wa mada ambazo anazitoa lifecode.

Elimu ni gharama na gharama yake inaweza kuwa muda au pesa.

Kama lengo ni kujifunza kweli kama ambavyo umeniamisha basi take your time ukitulia pitia mada za muhusika ambazo amekuwa akizitoa kipindi cha nyuma nazani itakuwa ni njia rahisi zaidi na unaweza kuja na hoja za kuendelea kujengana.

Lakini hili la kutaka mimi nikuandikie paragrafu zaidi ya mia wakati unaweza ukapitia wewe mwenyewe binafsi sili afiki

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usitumie energy kubwa sanaa hana nia hiyo unayodhani, Mara nyingi huwa tunatafuta pa kukosoa badala ya kufuatilia kwanza kujua kisha kufahamu uhalisia ndiyo uje na makosa uliyoyatambua ila hapo mtakesha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ukiambiwa swali a msingi unajua linataka nini ? Linataka kujua imefikiaje au wamepitia wapi mpaka kufikia hitimisho. Tatizo kubwa linalo ikumba Sayansi yote kwa ujumla leo hii na halitaisha tatizo hili kulingana na misingi kwayo Sayansi imefikia ni namna ya utoaji "HITIMISHO", leo watahitimisha hivi,kesho watahitimisha vile.
Nimepitia CV yako mkuu na mara zote umekuwa ukiegemea zaidi upande wa kupinga na unauliza maswali ilhali umeshaandaa majibu kichwani mwako ambayo kwa namna yoyote ile yanasimamia misingi ya imani yako.

Sio mada hii pekee ila ni mada nyingi watu mbali mbali wamekuwa wakikosoa aina ya maswali yako.

Kama nia yako ingekuwa kujifunza vitu vipya hakika ungekuwa umeshabadilika lakini kwa namna hiyo hakuna ambae utaweza kukidhi haja ya moyo wako upande wa maswali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maswali yako mengi, ngoja nianzie na haya aliyo taka mtoa apewe ufafanuzi.

Naanza kuchambua nukta moja baada ya nyingine katika haya aliyo nukuu mtoa mada kisha najenga hoja, na wewe unipe ufafanuzi yaani majibu.

Nanukuu toka kwa mtoa mada, akimnukuu aliye sema : Anasema :

Language that the universe speaks is through symbols asigned into numbers.

Swali,je hizo maana za hizo alama zimetolewa na nani ? Bila shaka ni watu, sababu kwa vyo vyote vile umbo, alama au namba halina uwezo wa kujielezea lenyewe kwa dhati yake isipokuwa watu ndio wanaweza kufanya hivyo na huo ndio ukweli. Swali ni je kipi kinacho fanya hizo maana zitolewazo na hao watu ziwe za kweli wakati wameziweka wenyewe kwa malengo yao na kuwasilisha jambo lao ? Hili hata wewe unaweza kufanya yaani kupatia maana kitu fulani unacho taka wewe na hii ni aina ya uongo sababu huwezi kuthibitisha ukweli wa maana hiyo na uhusiano uliopo kati ya maana ya alama na alama yenyewe. Mathalani, ukisoma Falsafa za Pythagorasi, yeye aliamua kuelezea mambo kupitia maumbo na namba, na kila namba akaipa maana yake, na kwake yeye aliona namba kumi huwasilisha "Ukamilifu",lakini swali ni upi uhusiaono kati ya ukamilifu na hiyo namba ? Jibhu sahihi hakuna,lakini Aristotle yeye aliamua kucheza na lugha yaani "Kiima/Subject/Mubtadaa" na "Kiarifu/Predicate/Khabar" kuelezea mambo na ukamilifu wake ndio akaja na hitimisho ya kwa yupo "Unmoved mover" na zile Ten Categories zake, sawa hii ni mitazamo tu. Lakini hawa wa leo wanataka kutulazimisha ya kuwa mitazamo yao iwe ndio "Facts/Evicence" wakati hawawezi kuthibitisha ukweli wa mitazamo hiyo. Huku ni kufikiri kitoto.

Sasa kwanini kisicho dhuru kisichokuwa na uwezo wa kujielezea chenyewe tuambjwe kina siri hali ya kuwa si kweli ?

Naendelea ...
Mkuu hiyo janja yako ya kutafuta ushindi sio njia sahihi legeza kichwa ili elimu mpya iingie sio unaweka dhamira ya kutaka kuonyesha upande wako ndio upo sahihi kuliko upande mwingine.

Yani unauliza swali halafu unalijibu hapo hapo ili utengeneze mtego mtu anase unyanyue makwapa kwa kutwaa ubingwa

Ona mfano:-
Swali,je hizo maana za hizo alama zimetolewa na nani ? Bila shaka ni watu, sababu kwa vyo vyote vile umbo, alama au namba halina uwezo wa kujielezea lenyewe kwa dhati yake isipokuwa watu ndio wanaweza kufanya hivyo na huo ndio ukweli.

Hii njia sio sahihi yani unatengeneza dailojia wewe mwenyewe ili mwishoni uje ummalize mtu kirahisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu usitumie energy kubwa sanaa hana nia hiyo unayodhani, Mara nyingi huwa tunatafuta pa kukosoa badala ya kufuatilia kwanza kujua kisha kufahamu uhalisia ndiyo uje na makosa uliyoyatambua ila hapo mtakesha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni mtu kujifanya anataka kujifunza wakati anajua alicho kishika kichwani hataki kuiachia ndio mana katika mada yoyote anatafuta weak point amuingie mtu halafu atangaze ushindi.

Ikumbukwe tu KUKOSOA NI RAHISI KULIKO KUTENGENEZA HOJA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zurri huwa hayupo tayari kujifunza

Anachoamini ndicho

Ni aina ya watu wasumbufu duniani

Wasikuchanganye

Sent using Jamii Forums mobile app

Kaka maana ya kujifunza, inaenda sambamba na kuhoji ili uoate kuelewa jambo kama lilivyo. Sasa tatizo langu ni kuhoji au ninacho kihoji hakina maana.
Nimepitia CV yako mkuu na mara zote umekuwa ukiegemea zaidi upande wa kupinga na unauliza maswali ilhali umeshaandaa majibu kichwani mwako ambayo kwa namna yoyote ile yanasimamia misingi ya imani yako.

Sio mada hii pekee ila ni mada nyingi watu mbali mbali wamekuwa wakikosoa aina ya maswali yako.

Kama nia yako ingekuwa kujifunza vitu vipya hakika ungekuwa umeshabadilika lakini kwa namna hiyo hakuna ambae utaweza kukidhi haja ya moyo wako upande wa maswali

Sent using Jamii Forums mobile app

Nakuelewa vizuri. Twende taratibu, mpaka muda huu sijaenda katia upande wa imani yangu, sababu nina hoja za kiakili pia na ndio nazo zitumia katika mada hii.

Lakini, kuchagua upande sio jambo baya ndio maana sisi hatuwalaumu nyinyi kuwa katika upande huo ambao mpo, ila unachotakiwa kujua ni kuwa UKWELI una mea popote.

Tatu, kupinga sio jambo baya kadhalika, swali napinga nini na je nina hoja juu ya kile ninacho kipinga ?
 
Mkuu hiyo janja yako ya kutafuta ushindi sio njia sahihi legeza kichwa ili elimu mpya iingie sio unaweka dhamira ya kutaka kuonyesha upande wako ndio upo sahihi kuliko upande mwingine.

Kaka nakupata vizuri sana. Ila sidhani kama umeelewa nilichokiandika. Nimetumia lugha nyepesi kuelezea uhalisia wa mambo jinsi ulivyo, mimi sitafuti ushindi ndio maana kitu kufikia muafaka katika mjadala huwa sio lengo langu, bali lengo langu ni kufikisha hoja Kisha naenda zangu.

Lakini unasahau hata au mtoa mada au mwingine hasa tunae mzungumzia anapofikisha jambo lake anajua ya kuwa jambo lake ni KWELI tupu, sasa kwanini tuhuma hii iwe kwangu tu na isiwe kwa watu wengine ? Sisi waswahili tuna msemo wetu husemwa hivi "Kunya anye kuku, akinya bata amehara", hili ni tatizo linalosababishwa na MAPENZI/MAHABA juu ya jambo fulani, na huwa linafifisha nuru ya akili na kuuona ukweli.
Yani unauliza swali halafu unalijibu hapo hapo ili utengeneze mtego mtu anase unyanyue makwapa kwa kutwaa ubingwa

Sitengenezi maswali na huku nikiwa na majibu, na kama hali iko hivyo, basi inaonyesha ukweli wangu na si kinyume chake.

Nacho fanya mimi nikuonyesha watu ya kuwa haya mambo ni mepesi sana na hakuna siri kama wanavyo dai bali ni sanaa, za wao kufanya mitazamo yao ndio iwe sheria, huu ujinga haupo na ni wa kukemewa.
Ona mfano:-
Swali,je hizo maana za hizo alama zimetolewa na nani ? Bila shaka ni watu, sababu kwa vyo vyote vile umbo, alama au namba halina uwezo wa kujielezea lenyewe kwa dhati yake isipokuwa watu ndio wanaweza kufanya hivyo na huo ndio ukweli.

Hii njia sio sahihi yani unatengeneza dailojia wewe mwenyewe ili mwishoni uje ummalize mtu kirahisi

Mtindo huu labda uwe mgeni kwako,ila huu ndio mtindo wa kujadili mambo kwa dhati yake na kwa uhalisia wa mambo. Jambo unalo litengeneza wewe kwanini ulazimishe sisi tulione la kweli wakati ukweli uko wazi na tukikupa muda uonyeshe ukweli wake huwezi kufanya hivyo ?

Mathalani tuna ambiwa kuhusu "Dark Energy" hii ni nadharia ambayo huaminiwa na watu kwamba inashikilia uhai wetu, lakini swali, kwa mujibu wa Sayansi walitumia njia gani kujua hilo ? Kwanini wahitimishe jambo juu ya wazo ambalo halithibitishiki ?
 
Tatizo ni mtu kujifanya anataka kujifunza wakati anajua alicho kishika kichwani hataki kuiachia ndio mana katika mada yoyote anatafuta weak point amuingie mtu halafu atangaze ushindi.

Ikumbukwe tu KUKOSOA NI RAHISI KULIKO KUTENGENEZA HOJA

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kukosoa katika duru ya kielimu kama huna hoja ya msingi ya kufanya hivyo.

Chuku muda ufikirie, pembe au sanamu lina athari gani au lina kupa nini au linakusaidia nini katika kuujua ulinwengu au mambo yaliyofichikana au linakuunganisha vipi na uhalisia ?

Tatizo, narudia tena tunavutiwa sana na ngano za Wanasayansi. Ila siku mkiamka na mkaanza kuyapima mambo katika uhalisia mtajiona mmechelewa

Uzuri ni kuwa Uhalisia ulianza kuwepo hata kabla ya hizi ngano za kisayansi, na kurudi katika asili ni jambo jepesi mno.

Ahsante.
 
Back
Top Bottom