Thamani ya bilioni 20, tena anatoa kwa masimango na uswahili mwiiingi na tena baada ya miaka minne, ndo nimeamini leo ni mbumbumbu fc
Sawa mbumbumbu fcBaada ya maumivu ya Kigoma,leo mmeongezewa dose nyingine tena.Pole pole mtazoea tu Utopolo
We jamaa tangu Mo aweke 20B umekua na hasira sana [emoji23][emoji23] ..
Kwani wewe shida yako haswa ni nini ?? .. mbona umeshupaza sana mishipa ya shingo kwenye klabu yetu we [emoji205][emoji205] fc ..Matumizi ya Bilion 21 hahaha, Muda ni mwalimu mzuri sana, kwahiyo katika kipindi hicho cha matumizi yake, Simba haijawahi kuingiza pesa yeyote ile, mbumbumbu FC ebu legezeni misuli ya vichwa vyenu
Tajiri gani ana uswahili kama vile, ndo nimejua leo kwann Mo dewji baada ya kutekwa alivalishwa kanga
Sawa mbumbumbu fc
Sawa familia ya kiarabu ya bwana gharib said Mohammed (GSM)Sawa familia ya kihindi
Nawatakia mchakato mwema wa kuibadili simba Kuwa timu ya familia
Kila siku walikua wanambeza humu, mara ooh aweke B20! .. Sasa kaweka cha kushangaza wamekua na hasira mno [emoji23][emoji23] ..Leo anaweza kupigana kwa ajili ya hasira.Mishipa ya shingo imemkakamaa kisa 20bn imewekwa[emoji3][emoji3][emoji3]
Mm ni mjumbe tu katika wajumbeKwani wewe shida yako haswa ni nini ?? .. mbona umeshupaza sana mishipa ya shingo kwenye klabu yetu we [emoji205][emoji205] fc ..
Sawa mbumbumbu fcLeo hali yako si shwari,kunywa maji ya baridi upunguze jazba.Kama nakuona mishipa ya uso ilivyokutoka kwa hasira[emoji3][emoji3][emoji3]
Mashabiki wa Simba mna Raha sana.Kwani wewe shida yako haswa ni nini ?? .. mbona umeshupaza sana mishipa ya shingo kwenye klabu yetu we [emoji205][emoji205] fc ..
Hata wewe kama una mpunga lete tu uje uwekeze simba acha roho mbaya akatazwi mtu,,,, najua uto inawauma mo yupo sana simbaUkitaka kujua anafaidika sana na Simba kumbuka alivyoichukua African lyon kipindi kile ila akashindwa kupata faida pale, wakamwambia aende timu ya kwao Singida akagoma wakamwambia aanzishe timu yake kama Azam Bakhresa alichofanya akagoma, sasa kapata sehemu ya kuingiza pesa bila kupata shida na hiyo Bilion 20, utashangaa imejizungusha mulemule simba katika kipindi hiki kidogo, hakuna muhindi anayefanya biashara ya hasara
[emoji23][emoji23][emoji23]Mm ni mjumbe tu katika wajumbe
Sawa mbumbumbu FCNakuelewa Utopolo si rahisi maumivu unayoyapitia.
Wanateseka mno [emoji23][emoji23] ..Mashabiki wa Simba mna Raha sana.
Ila sasa Yanga ni majonzi tu
Wana kauli yao ile "Acha ituue"
[emoji23]
Simba katiba yenu ya mabadiliko ime limit kwenye mwekezaji mmoja tu na alifanya hivyo Mo kwa malengo yake binafsi ila hii tofauti na yanga wawekezaji wanaanza wawili na hawazidi wanne, can you see this?Hata wewe kama una mpunga lete tu uje uwekeze simba acha roho mbaya akatazwi mtu,,,, najua uto inawauma mo yupo sana simba
Anatangaza bure?Upo sawa kabisa. Anatangaza biashara zake kupitia Simba bure kabisa. Wahindi wanakuambia Tanzania njoo na akili tu,pesa utapatia hapa hapa Tanzania. Kaenda Simba na akili tu na pesa anapatia hapo hapo.
Akifirisika atakuwa amefirisika atakuja mwingine. Kipindi hayupo Simba yenyewe ilishawahi firisika..Siku akifilisika? Maana yake ndio utakuwa mwisho wa simba? Ndio maana wataalamu wa biashara wanashauri wamiliki wa hisa hizo 49 wawe angalau 2 mpaka 4
Hata mmoja akiyumba anauza hisa zake kwa mmiliki mwenzie kirahisi.
We kweli juha sio muhindi tu hata wewe hutakiwi kufanya biashara ya hasara, mo yupo simba kupata faida na mashabiki wapo simba kupata furaha sasa jiulize wewe upo yanga kupata nini ikiwa simba inachukua makombe mara nne mfululizo na GSM wapo hapohapo wanatumbua mimacho tuUkitaka kujua anafaidika sana na Simba kumbuka alivyoichukua African lyon kipindi kile ila akashindwa kupata faida pale, wakamwambia aende timu ya kwao Singida akagoma wakamwambia aanzishe timu yake kama Azam Bakhresa alichofanya akagoma, sasa kapata sehemu ya kuingiza pesa bila kupata shida na hiyo Bilion 20, utashangaa imejizungusha mulemule simba katika kipindi hiki kidogo, hakuna muhindi anayefanya biashara ya hasara