Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Thamani ya bilioni 20, tena anatoa kwa masimango na uswahili mwiiingi na tena baada ya miaka minne, ndo nimeamini leo ni mbumbumbu fc
Baada ya maumivu ya Kigoma,leo mmeongezewa dose nyingine tena.Pole pole mtazoea tu Utopolo