Hapa Mo yupo sahihi ama la!?

Siku akifilisika? Maana yake ndio utakuwa mwisho wa simba? Ndio maana wataalamu wa biashara wanashauri wamiliki wa hisa hizo 49 wawe angalau 2 mpaka 4

Hata mmoja akiyumba anauza hisa zake kwa mmiliki mwenzie kirahisi.
Mbona mna akili fupi sana? Mo anaposema kuanzia sasa hata kubali simba ipewe pesa sawa za udhamini na klabu nyingine unaelewa nini? Kwa style wanayoenda nayo simba baada ya ten years hawatamtegemea mtu tena
 
Hiyo bilioni 20 haijatokea kwenye mifuko yake kabisa Mo dewji Alichokifanya kachukua zile bonuses za CAF na ligi yetu ya ndani na viingilio vya getini kwa muda huu alipokuwa anawapa uswahili ndo ikapatikana hiyo bilioni 2.
Kama ni rahisi hivo na utopolo wafanye miaka 4 yana zuga zuga tu
 
Sawa mbumbumbu fc
 
Yaani maudhui yauzwe kwa bei kubwa kuliko hisa 49% za club. Hii kweli Mbumbumbu Fc.

Nimeamini Forbes wanatudanganya, mambo kwa ground yanajionesha Azam hana kelele nyingi ni vitendo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…