Hapa Moze Iyobo umezingua kwa kumuita binadamu mwenzio nyani

Hapa Moze Iyobo umezingua kwa kumuita binadamu mwenzio nyani

Hahaa sijui utaupatia wapi maana kila dakika wanaomtetea wanaharibu zaidi
Hahaha
Hata mimi napata shida nimsaidie vipi hapa.
Kumbe si mimi.

Halafu mi nahisi jamaa alikuwa anataka tu kuchek watu mta react vip
 
mi nimeona kama utani tu jamani,labda wanajuana.
 
Endeleeni kuchambana tu, ila muwe makini maana hilo bundle lenu la Tsh 2000 linaweza kusababisha ukalipa Millioni 7!
 
Tatizo wasanii wa hapa nchini wana kiki mbaya kuna saa wanaweza jikuta wameboa na kuumiza mashabiki wao bila kujua.
Hahaha
Hata mimi napata shida nimsaidie vipi hapa.
Kumbe si mimi.

Halafu mi nahisi jamaa alikuwa anataka tu kuchek watu mta react vip
 
Angekuwa mzungu katoa hayo maneno kungechimbika....


Watu weusi sisi ni wanafiki sana
 
ukisikia mtu kajamba alaf anakimbia ushuzi wake ndo huyu mose iyobo..tena ngoja nkuchambe uchambike kiuno bila mfupa wewe!...cha kwenda kumuita mwenzio nyani we ndo ulimuotesha mkia?hiv kabla yakuandika ule upumbavu kumtusi mwenzio ulijichungulia kwanza kwenye kioo huo uso wako kama unang'ong'a?...mbona umekosa utu na kifua cha kiume weye kunyamazia mambo!..hamorapa anakuuma kama ww ndo mkurungenzi wa wcb wakat kidampa tu...kila mtu na njia zake za kujitaftia rizk babu wee kama hana nyota wala kipaji anatumia jina la mwenziwe ili ajulikane hatochukua mda mrefu atafulia tu ndo maana hata hao viongoz wako wa wcb wako kimya buzy hawana habar nae..ila wew mcheza samba mshipa wa chuki umekusimama dede mpaka umeshindwa kujizuia waenda mtukana mwenzio wamuita nyani!..wewe uloumbwa binadam mpaka sasahv una tuzo gani ya u handsome hapa mjini..muachee babu wee walikuja watu kibao wanawaoimba kwa kiki ya kufanana na wasanii wengn ila hawakuw na vpaji wako wap sasahv..wamefulia kwaio muache mtoto wa mwanaume mwenzio ajikune anakofikia upo ziwa?..kama ni kiki hata ww unaitafta maana wakuongea angekuwa hermonize wew cjui inakuhusu nini..!.huo muda unaokaa kumtukana mwenzio ungeenda kumfumua cookie zile rasta mlizomsokota ugekuwa umefanya la maana!.mwanaume mzima hovyoo una roho nyeusi kama ngozi yako!kukaa kote wcb na kwenda kote ulaya huna mabadiliko yyote ngozi kavuu ka shuka za wakoloni..huna nuru mwanaume mda wote uso mzitoo umekutuama ka dimbwi la kambale..huo weusi sasa!weusi hauleweki na kichwa chako hiko ka yai la chemli yaan ww ndo wa ajabu na maajabu yake kama ni vizazi ya nyani bac ww ni homohabilis nyani mtembelea mikono!ila ushawah sikia mtu anakutusi hivyo?au watuona kimya hatukutoi kasoro ndo ukajiona wafanana na pesa!?na mashavu yako hayo ka bundi wakutumwa...!mtizame hapo vimacho juujuu havitulii..ka kajamba ukweni! CREDIT TO: MALKIA WA KUCHAMBA INSTA
[emoji2] angekua mzuriii nyau yulee....!!!

kachwambwa leo
 
Ila wanawake bana(bora asingemtaja cookie)
16229223_1811707542425651_6114241590622945280_n.jpg
 
Back
Top Bottom