Nunua panga jipya linoe af tafuta na maji mengi yatie chumvi mfuko mmoja kwa kadri ya iman yako ukitaka kuanza biashara unasali ukishamalza unachukua yale maji yenye chumvi unanyunyuzia kwenye lile panga unasema kiumbe yeyote atakaeingia humu kwa njia isiyo ya kibinadamu namchinja yan hapo overrrr