Hapa nachanganyikiwa. Walikuwa weusi, weupe au Aliens waliojenga hizi Pyramids?

Hapa nachanganyikiwa. Walikuwa weusi, weupe au Aliens waliojenga hizi Pyramids?

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Tumekuwa tukisema walijenga waafrika weusi zile pyramids. Na tunasema zamani waafrika walikuwa wana akili sana (wazungu wakaiba akili bila shaka) tukabaki mabumunda tu. Au sivyo?

Sawa weusi ndo walijenga na kutawala Egypt na Waafrika ndo walikuwa na ustaarabu mkubwa miaka hiyo.

Swali. Baada ya kujenga hizo pyramids. Ikawaje wakachora michoro ya watu wenye pua mchongoko? Maana ile sanamu moja pyramids ambayo pua imemeguka tunasema ilikuwa ni pua ya kiafrika wazungu eti wakabomoa. Je lips zetu si zina fahamika? Haya na michoro ya mle ndani nayo mbona haiakisi uhalisia? Michoro ya sehemu nyingine za Egypt ya kale mbona haiakisi uhalisia?

images (12).jpeg
images (11).jpeg
images (8).jpeg
images (10).jpeg
firstgodaeon_1.jpg
100310-pharaoh-vmed-926a.jpg
ancient-sumerian-stone-carving-with-cuneiform-scripting-F3D826 (1).jpg
 
Tumekuwa tukisema walijenga waafrika weusi zile pyramids. Na tunasema zamani waafrika walikuwa wana akili sana (wazungu wakaiba akili bila shaka) tukabaki mabumunda tu. Au sivyo?

Sawa weusi ndo walijenga na kutawala Egypt na Waafrika ndo walikuwa na ustaarabu mkubwa miaka hiyo.

Swali. Baada ya kujenga hizo pyramids. Ikawaje wakachora michoro ya watu wenye pua mchongoko? Maana ile sanamu moja pyramids ambayo pua imemeguka tunasema ilikuwa ni pua ya kiafrika wazungu eti wakabomoa. Je lips zetu si zina fahamika? Haya na michoro ya mle ndani nayo mbona haiakisi uhalisia? Michoro ya sehemu nyingine za Egypt ya kale mbona haiakisi uhalisia?

View attachment 3195533View attachment 3195534View attachment 3195535View attachment 3195536View attachment 3195537View attachment 3195538View attachment 3195539
Mkuu ni vizuri kujiuliza maswali ila haya maswala ya pyramids hata nikijua nani aliyeyajenga sidhani kama itanisaidia popote .
 
You're mixing facts. At first Egypt was not a unified kingdom. There was Upper Egypt and Lower Egypt, each having it's own king.

Upper Egypt was ruled by Nubians, who later came to be known as Sudanese people. And for this reason we also find miniature pyramids in Sudan and Ethiopia.​
 
Pyramids walijenga wana Israel wakiwa utumwani Misri. Waliteseka sana hadi Mungu kuamua kuingilia kati sio mchezo! Watu walipata mateso sio poa!
 
Pyramids walijenga wana Israel wakiwa utumwani Misri. Waliteseka sana hadi Mungu kuamua kuingilia kati sio mchezo! Watu walipata mateso sio poa!
Ajabu ni kwamba huyo mungu ameacha waafrika wawe watumwa kwa miaka nenda rudi tena wanaotutawala wanatutawala kwa jina la miungu y Israel
 
Pyramids walijenga wana Israel wakiwa utumwani Misri. Waliteseka sana hadi Mungu kuamua kuingilia kati sio mchezo! Watu walipata mateso sio poa!
Uongoo tuuuuu
 
Back
Top Bottom