Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,723
- 7,408
Jidu La Mabambasi, Utawaelewa ukishaoa? Ndio maana cheti cha Ndoa kinatoka, alafu ndio unaingia katika mtihani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa umeanza kuwatetea na polisi haya sasa hebu tuambie ya Akwilina yalikuwaje.Wewe unamawazo ya hovyo tu...
Sasa umeanza kuwatetea na polisi haya sasa hebu tuambie ya Akwilina yalikuwaje.
Mbona umepanic!We mtoa post unadharau sana. Yaani mimi sijui kusoma kweli? Ungefuta hayo maandishi ya chini hapo ili ubaki uongo wako.
Sasa umeanza kuwatetea na polisi haya sasa hebu tuambie ya Akwilina yalikuwaje.Wewe unamawazo ya hovyo tu...
vipi kamanda Mbowe keshahamia ccm ahahaa ahahaa✌Nimemuonya huyo mchangiaji kuhusisha picha ya Mkuu na mambo ya hovyo
Msiwe wanafiki.Mkuu nimeisoma zaidi ya mara tatu, nilichokiona labda tu makosa ya kiuandishi hapo anapomalizia maelezo ''Mkuu huyo wa mkoa alikuwa na ziara kwenye hicho''
Nilichoelewa ni kwamba mama alikuwa na ziara kwenye kijiji tajwa na ndio akakutana na hiyo changamoto na si kwamba alienda kwa lengo la kukagua mafuriko. Nina uhakika ingekuwa lengo la ziara n kukagua mafuriko hasingevaa hivyo.
Sasa umeanza kuwatetea na polisi haya sasa hebu tuambie ya Akwilina yalikuwaje.
vipi kamanda Mbowe keshahamia ccm ahahaa ahahaa[emoji111]
Kwa hiyo unataka nchi iwe ya chama kimoja cha ulajiNadhani hajakamilisha missions alizopewa
Kwa hiyo unataka nchi iwe ya chama kimoja cha ulaji
Yes na akitaka kudondoka tunawahi kushikilia msambwandaHahhhahaa mabaharia wamemshika huku na huku .!hwhahaah!...
Ile style ya kubembea eeh[emoji2][emoji2]Ila hao mabaharia nimewachunguza wana body fulani hv anakubeba hachoki[emoji1787][emoji1787]!
Huenda baba yako hajui biashara nyingine yeye ni siasa tu.Bado sioni mbadala wa Ccm kwa miaka mingi ijayo
Ila hao mabaharia nimewachunguza wana body fulani hv anakubeba hachoki[emoji1787][emoji1787]!
Aisee..Ila hao mabaharia nimewachunguza wana body fulani hv anakubeba hachoki🤣🤣!
Watu wana wish wadondokewe wacha michezo kabisa.....Mara paaahh kateleza sipati picha mabaharia watavolowana kisa tu malkia asidondoke...kazi hizii
Cc Smart911
Mane watu hupenda kukuchokoza kwa lengo zuri tu.