Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Aisee..
una uzoefu na hizo body inaonekana.
Vibaya mno mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee..
una uzoefu na hizo body inaonekana.
Duh! wivu nimeona mimi!Vibaya mno mkuu!
Mimi na kitambi changu lazima ni mind!Duh! wivu nimeona mimi!
Tayari umeloana?Ila hao mabaharia nimewachunguza wana body fulani hv anakubeba hachoki🤣🤣!
Sijaloana wala sijanyeshewa mvua!Tayari umeloana?
View attachment 1286214
Mtanzania, pg 11, 9/12/2019
Huu sasa tuite ni mfumo jike au nini.
Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro "anakagua" mafuriko mkoani kwake hana Safety Clothing hata moja.
Utafikiri bi harusi anaenda kitchen party.
Kuna tatizo gani wanawake wajameni, mbona siwaelewi?
Nyie si mnasemaga mna lami mpaka choon [emoji23]Kijiji cha Mshiri na ndipo lango kuu la kuingia mlango wa kuukwea Mlima, kipo juu kabisa Mlimani katika Kata ya Marangu, huko huwa hakuna mafuriko na ni kawaida watu kupita juu ya mawe kwenda upande wa pili. km maji ya mfereji au mto yamevunja kingo ndipo huingia barabarani,
CHANGAMOTO maeneo haya hayana barabara za uhakika hata Mbunge wa Jimbo Mh Mbatia alipochangisha kwa ajili ya matengenezo Mkuu wa Mkoa alikwamisha
Hapana ni waoNyie si mnasemaga mna lami mpaka choon [emoji23]
View attachment 1286214
Mtanzania, pg 11, 9/12/2019
Huu sasa tuite ni mfumo jike au nini.
Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro "anakagua" mafuriko mkoani kwake hana Safety Clothing hata moja.
Utafikiri bi harusi anaenda kitchen party.
Kuna tatizo gani wanawake wajameni, mbona siwaelewi?
Wanawake hawakuumbwa kuwa viongozi. Sasa hapo hali ikiwa mbaya si anakufa huyu?View attachment 1286214
Mtanzania, pg 11, 9/12/2019
Huu sasa tuite ni mfumo jike au nini.
Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro "anakagua" mafuriko mkoani kwake hana Safety Clothing hata moja.
Utafikiri bi harusi anaenda kitchen party.
Kuna tatizo gani wanawake wajameni, mbona siwaelewi?
Halafu weweeeeee[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]Ila hao mabaharia nimewachunguza wana body fulani hv anakubeba hachoki[emoji1787][emoji1787]!
Halafu weweeeeee[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio uk*wa**m*$+ hao fisi?[emoji28][emoji28]!ujue siku hyo nilikua loose!lol