Hapa ndio wanawake siwaelewagi:Mkuu wa Mkoa ana kagua mafuriko kavaa kama anaenda harusini

Castr,
Mkuu akiletewa taarifa ya uongo na wapigaji?
Unaweza kuambiwa nyumba 100, madaraja 50 vimeharibika kumbe nyumba 20 madaraja 3 tu ndio vimeharibika.
Unaambiwa kaya 200 zinahitaji msaada wa chakula tani 40, fedha, na makazi kumbe kaya 60 tu na haziitaji kiwango kilichotajwa cha chakula.

Unaweza kuingizwa chaka kama Mama Anne Kilango sakata la ukaguzi wafanyakazi hewa kule Shinyanga akatambuliwa.
 
Msiwe wanafiki.
Kwani huyo ndo kiongozi wa kwanza toka uhuru kupita njia hiyo yenye mafuriko?
Ina maana hata advance party kwa mkuu hawajui huko njia ikoje, ili mkuu ajiendae kimavazi inavyo stahili?
Siwaelewi kama nisivyowaelewa baadhi ya wanawake.
 
Nadhani hajakamilisha missions alizopewa
Sasa umeanza kuwatetea na polisi haya sasa hebu tuambie ya Akwilina yalikuwaje.

vipi kamanda Mbowe keshahamia ccm ahahaa ahahaa[emoji111]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…