๐คฃ๐๐คฃ๐๐๐คฃ๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐hii habari ya kuomba omba, mumeweka ndo kazi yenu,...munakera sana ๐ฎ๐ฎ
Matapeli wengi january hii, kumjua mwenye shida ya kweli ni ngumu.The same person with same problem but with different ID alinicheki Jana.. Just confused๐ฅบ
Dead seaLina itwaje hilo ziwe nikalichimbe vizuri kwa bwana Google
WAbongo ndio kazi mnayoiweza kuomba omba.. Jana Bar nmekutana na mtu kama ww anaomba omba kila mtu bia alafu mwanaume mtu mzimaAsante mkuu barikiwa Sana
Kama utaguswa nisapoti 10K usiku ili nipate nauli ya kuudhuria Usaili morogoro Leo mchana.
Inashangaza! Mtu anaomba vitu vingine havina hata umuhimu.WAbongo ndio kazi mnayoiweza kuomba omba.. Jana Bar nmekutana na mtu kama ww anaomba omba kila mtu bia alafu mwanaume mtu mzima
hii mijitu ni kero,...imekuwa kama popup ads..inaibuka kokote mpaka pm....imekuwa kero mno๐คฃ๐๐คฃ๐๐๐คฃ๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐
Thread Ya Sodoma Na Gomola Imemuibua Matonya Anataka Kwenda Morogoro
Watoto huomba bila kuchoka na husahau sana.Wapewe samaki na si nyoka.Kwa hilo jibu inaonesha kakubali ndio yeye New member wanaomba sana๐คฃ๐คฃ
Kuna MAKABILA hapa tz ni ya ajabu sana na huyu omba omba nna Hakka ni mmoja wapo wa ilo kabila la kupenda kupiga mizinga ,stupid kabsaa,,,Muwe mnajifunza mbinu mpya. Sasa unazungumzia jambo lilelile kwa ID tofauti huyo si upumbavu?
Au mpo wengi na kabla ya ku strike mnakaa kikao na kukubaliana leo mtembee na kauli mbiu gani?
Na hivyo mmoja wenu amesha fika kwa mshana kwa swala kama la kwako?
Nmechekaa kinyamaaa na huyu matonya wa new generation ,,, wa kauli ya " kama utaguswa"๐คฃ๐๐คฃ๐๐๐คฃ๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐
Thread Ya Sodoma Na Gomola Imemuibua Matonya Anataka Kwenda Morogoro
ni kweli kama mtu alikuwa tayari kutembea Dodoma mpaka Morogoro na alikuwa amedhamilia kwa dhati itakuwa Dar MoroJikaze mtoto wa kiume. Dsm - Moro unaweza tembea kabisa.
Ndo maana mashoga waneongezeka sana na hiz tabia za kuomba omba,,, na akienda morogoro sjui atarud na nn??WAbongo ndio kazi mnayoiweza kuomba omba.. Jana Bar nmekutana na mtu kama ww anaomba omba kila mtu bia alafu mwanaume mtu mzima
aisee, ๐ ๐Sijakuelewa nadhani
Usijibu pm kama kichwa cha habari kinajieleza ivyohii mijitu ni kero,...imekuwa kama popup ads..inaibuka kokote mpaka pm....imekuwa kero mno
Wagogo ๐Kuna MAKABILA hapa tz ni ya ajabu sana na huyu omba omba nna Hakka ni mmoja wapo wa ilo kabila la kupenda kupiga mizinga ,stupid kabsaa,,,
Ukubwa wake ukoje kivipimo ili tupate kukadiria ukubwa wa hiyo miji kwa vimipo visivyo rasmiDead sea
Na kuishia maana palipigwa moto kwanza pakateketea kabisa kisha pakamwagiwa chumvi ya kutosha๐Ndo kusema Hapo U pidi ulianzia