Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mods wangeweka utaratibu,Matapeli wengi january hii, kumjua mwenye shida ya kweli ni ngumu.
Okay, but nilitaka uweke hapa ili mjadala unoge kwa maana hisia zangu zinaniambia ni ngumu kwa ukubwa wa 605km za mraba kubeba miji miwili... Tusaidie historia yake zaidi tujue limepungua ukubwa kwa kiasi gani pamoja na rate yake ya kupungua Kila mwaka ikoje (if possible)Hiyo unaweza tu kuingia Google ukapata kila kitu
Una identities ngapi????Asante mkuu barikiwa Sana
Kama utaguswa nisapoti 10K usiku ili nipate nauli ya kuudhuria Usaili morogoro Leo mchana.
Si ndio hapo,sisi watu wa kale tumetembea sana Moro to Dar tena na virobaa vya mihogo kichwani,enzi hizo hata Abood hazikuwepoJikaze mtoto wa kiume. Dsm - Moro unaweza tembea kabisa.
Kama unajua ID nyingine itaje.Una identities ngapi????
Ikusaidie nini wewe mshamba???Kama unajua ID nyingine itaje.
Basi juzi kati mimi na bi huruma vyangu kuna mdau kaja pm kuomba msaada , nikajikamua kijua mwanaume mwenzangu yuko kwenye changamoto kumbe yaweza kuwa niliingizwa king!!hii mijitu ni kero,...imekuwa kama popup ads..inaibuka kokote mpaka pm....imekuwa kero mno
Tafsiri ya mjini ni sehemu walipokusanyika washamba. Siyo mbayaIkusaidie nini wewe mshamba???
Ukiona hivyo ujue unatoa hovyoHalafu kwani mimi sasa nimewakosea nini..🙇🏿♂
Watu wa monde / Vyoombo hamna roho mbaya ndiyo maana wanafunga kwako.Halafu kwani mimi sasa nimewakosea nini..🙇🏿♂
Mjini Kagera au kigoma...... Huko Nako ni mjini?????Tafsiri ya mjini ni sehemu walipokusanyika washamba. Siyo mbaya
Hata huko kuna majengo ya posta ndiyo mjini kwenyewe. Au hujui Posta zooote zipo town jamaa yangu.Mjini Kagera au kigoma...... Huko Nako ni mjini?????
Tena Huyo Anakuwa Anatembea Na Speaker La Mahubiri Akiwakamua Wapita Njia Kwa Sadaka Za Kulazimisha. Toa Injili Iende MbeleNmechekaa kinyamaaa na huyu matonya wa new generation ,,, wa kauli ya " kama utaguswa"
Sina zaidi ya hukohuko mitandaoni.. Nikipata muda nitajaribu kudadisi zaidiOkay, but nilitaka uweke hapa ili mjadala unoge kwa maana hisia zangu zinaniambia ni ngumu kwa ukubwa wa 605km za mraba kubeba miji miwili... Tusaidie historia yake zaidi tujue limepungua ukubwa kwa kiasi gani pamoja na rate yake ya kupungua Kila mwaka ikoje (if possible)
Hahaha .. Kagera kuna posta??Hata huko kuna majengo ya posta ndiyo mjini kwenyewe. Au hujui Posta zooote zipo town jamaa yangu.