Thecoder
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,590
- 4,244
Sawa mkuuSina zaidi ya hukohuko mitandaoni.. Nikipata muda nitajaribu kudadisi zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuSina zaidi ya hukohuko mitandaoni.. Nikipata muda nitajaribu kudadisi zaidi
haya majitu ya hovyo sanandugu yangu....kaa chonjoBasi juzi kati mimi na bi huruma vyangu kuna mdau kaja pm kuomba msaada , nikajikamua kijua mwanaume mwenzangu yuko kwenye changamoto kumbe yaweza kuwa niliingizwa king!!
Nitachukua tahadhari mkuuhaya majitu ya hovyo sanandugu yangu....kaa chonjo
Kwa hiyo barua wanatumia kunguru eeenhhHahaha .. Kagera kuna posta??
Saibaba.Kwa hiyo barua wanatumia kung-fu eeenhh
Uwakute Msalato Kule Mnadani SasaWagogo 😂
Wakikusikia ukipigwa simoUwakute Msalato Kule Mnadani Sasa
Tupe stori kamili km unapicha za kusindikiza itakaa vizuriHapo pemben Kuna madini ya sulfur ambayo yanawasha moto
Hiyo Bahari mfu ni uthibitisho kuwa Ushoga ni laana
Fikeni hapo mkajionee ,mm nimefika
we Mshana, mtoto anaomba nauli ya kuhudhuria interview morogoro hujaelewa nini?Sijakuelewa nadhani
Wamedaka.The same person with same problem but with different ID alinicheki Jana.. Just confusedí ¾íµº
Hahaha sema ukitongozwa na hao makamanda unajihisi kama una mkosi vile.Jumamosi moja nilikwenda club kutafuta papuchi hafla likatokea chura dume(gay) kalewa anajaribu kunisemesha. Nilimkamata kwenye koo nikamwabia potea kabla sijakupote
Watoto wa Kino hao. Tofauti na Dar hakuna anachofahamu.Kwa hiyo barua wanatumia kunguru eeenhh
Wewe ni Muislam, nduguzo (majini) hawamo humo?Bahari ya Chumvi, mojawapo ya maajabu mazuri zaidi ya dunia, ni ziwa la chumvi ambalo liko kwenye sehemu ya chini kabisa ya Dunia.
Mpaka wa Yordani kwa Mashariki, na Israeli na Ukingo wa Magharibi kuelekea Magharibi. Iko katika Bonde la Yordani, na kijito chake kikuu ni Mto Yordani.
Uso wa ziwa hilo upo mita 430.5 chini ya usawa wa bahari, na kulifanya kuwa ziwa la chini kabisa la chumvi duniani..
Wanaiita bahari mfu kwa sababu kimsingi haina uhai kwa asilimia 90. Sababu ya ukosefu huu wa Uhai ni kiasi Kikubwa na cha ajabu cha chumvi kilichomo.
Lakini, katika maji ya bahari hii kuna wanyama wanaishi kwa nguvu ya vijidudu vya halophilic, ambao wana uwezo wa kuishi katika mazingira ya chumvi
Pia protozoo ciliated, na baadhi ya mwani na kundi la bakteria wa Flavobacterium, Halococcus na Halobacterium, ni kati ya viumbe wengine wenye uwezo wa kuishi humo
Kulingana na Biblia, katika sehemu ya kina Cha chini kabisa cha Bahari ya Chumvi, ndipo majiji ya Sodoma na Gomora yamezamishwa hapo
View attachment 3217191
Alitka tutukanane nikaamua kumuhamisha njia ili amani itawale. Mjinga tuu anajua mjini ni Dar tuuu.Watoto wa Kino hao. Tofauti na Dar hakuna anachofahamu.
Nataka nije nitemvelee nchi za Israel na Jordan na haswa maeneo matajatifu.Bahari ya Chumvi, mojawapo ya maajabu mazuri zaidi ya dunia, ni ziwa la chumvi ambalo liko kwenye sehemu ya chini kabisa ya Dunia.
Mpaka wa Yordani kwa Mashariki, na Israeli na Ukingo wa Magharibi kuelekea Magharibi. Iko katika Bonde la Yordani, na kijito chake kikuu ni Mto Yordani.
Uso wa ziwa hilo upo mita 430.5 chini ya usawa wa bahari, na kulifanya kuwa ziwa la chini kabisa la chumvi duniani..
Wanaiita bahari mfu kwa sababu kimsingi haina uhai kwa asilimia 90. Sababu ya ukosefu huu wa Uhai ni kiasi Kikubwa na cha ajabu cha chumvi kilichomo.
Lakini, katika maji ya bahari hii kuna wanyama wanaishi kwa nguvu ya vijidudu vya halophilic, ambao wana uwezo wa kuishi katika mazingira ya chumvi
Pia protozoo ciliated, na baadhi ya mwani na kundi la bakteria wa Flavobacterium, Halococcus na Halobacterium, ni kati ya viumbe wengine wenye uwezo wa kuishi humo
Kulingana na Biblia, katika sehemu ya kina Cha chini kabisa cha Bahari ya Chumvi, ndipo majiji ya Sodoma na Gomora yamezamishwa hapo
View attachment 3217191
Ni hao tuma kwa namba hii, utapeli wa kitoto sana.Muwe mnajifunza mbinu mpya. Sasa unazungumzia jambo lilelile kwa ID tofauti huo si upumbavu?
Au mpo wengi na kabla ya ku strike mnakaa kikao na kukubaliana leo mtembee na kauli mbiu gani?
Na hivyo mmoja wenu amesha fika kwa mshana kwa swala kama la kwako?