Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Huyu ni mtaalam kupiga rangi. Watu kadhaa walinielekeza kwake.gari ambayo inatakiwa kupigwa rangi ni kubwa. Actually ni katika tu kubadilisha rangi iendane na gari nyingine ilizozikuta.
Gari alinambia siku 4 itakuwa tayari.maandilizi n.k.haikuwa na pa kunyooshwa.akanambia atakuja kupigia hapa hapa gari ilipo.
Ameiandaa kwa kutumia vijana wake mara kadhaa. leo ni siku ya 6 ndo kaanza kupiga rangi.tuliandikishana 4 days.akataka nimpe advance. Nlimkatalia sana.maana ni sawa na mtu kutaka fungua duka atuuzie vitu but before sisi wateja tumpe pesa ya kuanzia mtaji.
Wife akatumia busara akasema basi angalau katika tsh 1,800,000. Nimpe hata 800,000. Nikampa 200,000 anunue materials n.k but aongezee za kwake.mimi nlitaka anikabidhi gari nimkabidhi pesa.
Leo siku ya 6 nmerud ameanza kupulizia rangi.kilichonikatisha tamaa ni ktk uchanganyaji wake. Sioni kama anazingatia vipimo vya thinner na kimiminika kingine sikifahamu na rangi yenyewe.anamimina tu kuchanganya anapuliza.
Namuuliza anajuaje ratio yake.anajibu kirahisi."tulia tu boss utaona mwenyewe kitu kinatoka kama ndo kimetoka leo kwa mwingereza"
Nimemwambia aachane na gari yangu aondoke maana naona anafanya masikhara.nlitegemea angekuwa na mchanganyiko unaofuata vipimo.
Lets say.
Rangi Lita moja
Thinner nusu lita
Na xxxxx robo au nusu lita.
Haipo hivyo.anachukua tu anamimina na kule anachukua anamimina anaweka kwenye kopo anapuliza.
WASIWASI WANGU.
inawezekana kusiwe na uwiano sahihi wa rangi au uimara wa rangi sababu mchanganyaji anachanganya kwa macho tu.
Pia alishavunja makubaliano /mkataba.nimemwambia aache gari abebe vyake tuagane kwa amani.hajaamini mpaka nlipoonesha sitanii.
Jambo hili ni tatizo kwa aina nyingi za mafundi tz.hawajali kabisa profession yao.ujanja ujanja tu mwingi wakituibia in kind.binafsi napinga sana jambo hilo.
Natafuta garage nzuri ambayo wanapiga rangi kitaalamu na bei zao ni nzuri standard siyo za kuanza kuimbishana.ila la muhimu wakisema gari uje kuchukue jumatano saa tano nikienda nikalipe nikague gari nichukue.
Hbr za msiba na ugonjwa mimi hazinihusu.
Gari alinambia siku 4 itakuwa tayari.maandilizi n.k.haikuwa na pa kunyooshwa.akanambia atakuja kupigia hapa hapa gari ilipo.
Ameiandaa kwa kutumia vijana wake mara kadhaa. leo ni siku ya 6 ndo kaanza kupiga rangi.tuliandikishana 4 days.akataka nimpe advance. Nlimkatalia sana.maana ni sawa na mtu kutaka fungua duka atuuzie vitu but before sisi wateja tumpe pesa ya kuanzia mtaji.
Wife akatumia busara akasema basi angalau katika tsh 1,800,000. Nimpe hata 800,000. Nikampa 200,000 anunue materials n.k but aongezee za kwake.mimi nlitaka anikabidhi gari nimkabidhi pesa.
Leo siku ya 6 nmerud ameanza kupulizia rangi.kilichonikatisha tamaa ni ktk uchanganyaji wake. Sioni kama anazingatia vipimo vya thinner na kimiminika kingine sikifahamu na rangi yenyewe.anamimina tu kuchanganya anapuliza.
Namuuliza anajuaje ratio yake.anajibu kirahisi."tulia tu boss utaona mwenyewe kitu kinatoka kama ndo kimetoka leo kwa mwingereza"
Nimemwambia aachane na gari yangu aondoke maana naona anafanya masikhara.nlitegemea angekuwa na mchanganyiko unaofuata vipimo.
Lets say.
Rangi Lita moja
Thinner nusu lita
Na xxxxx robo au nusu lita.
Haipo hivyo.anachukua tu anamimina na kule anachukua anamimina anaweka kwenye kopo anapuliza.
WASIWASI WANGU.
inawezekana kusiwe na uwiano sahihi wa rangi au uimara wa rangi sababu mchanganyaji anachanganya kwa macho tu.
Pia alishavunja makubaliano /mkataba.nimemwambia aache gari abebe vyake tuagane kwa amani.hajaamini mpaka nlipoonesha sitanii.
Jambo hili ni tatizo kwa aina nyingi za mafundi tz.hawajali kabisa profession yao.ujanja ujanja tu mwingi wakituibia in kind.binafsi napinga sana jambo hilo.
Natafuta garage nzuri ambayo wanapiga rangi kitaalamu na bei zao ni nzuri standard siyo za kuanza kuimbishana.ila la muhimu wakisema gari uje kuchukue jumatano saa tano nikienda nikalipe nikague gari nichukue.
Hbr za msiba na ugonjwa mimi hazinihusu.