Yani Mkuu... binafsi nimekuelewa sana na kwa maelezo yako.... kosa lako ni moja, ukipenda mambo straight kama hivi nenda kwenye maeneo standard.
Hawa mafundi wa mtaani wengi ni magumashi... hata wale wanaojua kazi bado wanafanya kwa uswahili sanaaaa...
kuna mmoja nlimkimbiza baada ya kukuta anachomelea Geti langu bila miwani... akitaka kuchomelea anaangalia pembeni....
nkamuuliza hivyo unaonaje unachofanya? akaniambia "we tulia uone"..., nkamuomba aache kazi muda huo huo maana angeharibu hasingenilipa.. hivyo hasara ingekua kwangu
Sent using
Jamii Forums mobile app