Hapa ndipo utatupenda sisi watu weusi

Hapa ndipo utatupenda sisi watu weusi

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Watu weusi tuna tatizo kubwa la inferiority complex. Tukifuatiwa na waarabu.wazungu wanajijenga au kujengwa na hali ya kujiamini sana.

Weusi tumebaki kuanzisha nyuzi na kuandika vitabu mafarao walikuwa weusi.haya walikuwa weusi.so what?

Hebu niambie na maisha yako hayo mazuri au ya kuunga unga ukiamka kesho unakuja kuhakikishiwa kabisa.YESU ALIKUWA NI MJOMBA WAKO.YAANI NI UKOO WENU KABISA.

INAKUSAIDIA NINI? sasa hayo ya kuhangaika kusema Yesu alikuwa mweusi mitume na manabii walikuwa weusi.SO WHAT?

AFRIKA ilikuwa na teknolojia ya juu zamani. so what? Kwa nini leo hatuhangaiki kupambana na maisha tunahangaika kutafuta asili miaka mingi mbele?

Kama ukigundua Waisraeli Original walikuwa weusi na Wamisri Original walikuwa weusi.HALAFU? Lets say ni kweli walikuwa weusi na pua hizi hizi bapa na lips za midomo nene. Na adamu na eva pia walikuwa weusi. Haya sasa tunafanyeje?

Tuhangaikeni kuboresha maisha yetu ndugu zanguni mambo ya kijinga yasitupotezee muda.hayana maana kabisa.hayajatusaidia mpaka sasa. Tugundue mambo ya kuleta ahueni katika maisha ya waafrika. Kusema Yesu alikuwa mweusi hakutusaidii.

Mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa mweusi....then kwa sasa ndo mtu wa mwisho kwa maendeleo duniani.imetusaidia nini?waafrika mpaka tunatafuta sifa za kijinga.kuwa tuna Uume mkubwa kuliko wazungu.na papuchi za wanawake wetu ni tamu kuliko za wazungu. Haya ni hivyo.imetusaidia nini?😂😂😂😂 Tutafute namna ya kujikwamua kiuchumi,kijamii na kisiasa.

Inaudhi miaka na miaka tunalalamika umaskini wetu ulisababishwa na Ukoloni. Sasa si tuseme mataifa dhaifu yalikuwa colonized?so sisi ni dhaifu. Wazungu waliokuja kututawala na waarabu hawakufika hata asilimia 30 ya idadi yetu.

Miaka zaidi ya 60 baadaye tunatumia vitu vile vile vya mzungu au mtu nweupe. Sisi mahodari wa kulalamika na kuchawiana tu. Tunauzana na kuuza mali zetu kwa hao hao weupe. Miaka zaidi ya 60 baadaye. Tunaomba misaada kwao.

Ila ni mahodari kusema pyramids zilijengwa na watu weusi. Binadamu wa kale alikuwa mweusi,Yesu alikuwa mweusi,sijui pharaos walikuwa weusi. Haya leo hii Dunia nzima ikubaliane kuwa hata Mungu mwenyewe ni mweusi. Tunafaidika na nini?

Yaani tunaacha kupambana kiuchumi,kisayansi n.k kujitambua kimatendo na si kwa dhana ili tusonge mbele tunakaza na mambo madogo madogo sana. Bado tutabaki kuwalaumu weupe...wao wanasonga mbele sisi tunasonga Ugali.
 
Ndio kuna siku nikasema kama kweli tulikua na uwezo huo wanavyodai kisha tukawekwa sawa na kupigwa gepu tuna tatizo kubwa sana.

Nafikiri msisitizo uwe tunafanyaje kuanzia hapa tulipo kujikwamua.

Ndio maana wanaweza kutwambia tupo uchumi wa kati au wa juu kabisa tukafurahia hata kama wananchi wana hali mbaya.
 
Tunajifariji then tufarijika kwa muda, nikufumbua macho no changes tupo palepale au saaana tumerudi nyuma, hila foward never.
 
Hapo ndo unagundua sisi waafrika tuna tatizo sana. Wazungu hao wakitwambia now tupo vizuri kiuchumi tunafurahia kana kwamba sisi wenyewe hatujijui....tunaweza kuwa na hali mbaya ila wakitwambia tupo vizuri tunaanza cheka na kucheza ngoma kuwa unaona...?wanasema tu matajiri.safi sana.

Ni sawa na kuvaa nguo ukajiangalia kwenye kioo halafu ukatoka nje unataka mtu ndo akuamlie kuwa umependeza au hujapendeza.


Ndio kuna siku nikasema kama kweli tulikua na uwezo huo wanavyodai kisha tukawekwa sawa na kupigwa gepu tuna tatizo kubwa sana.

Nafikiri msisitizo uwe tunafanyaje kuanzia hapa tulipo kujikwamua.

Ndio maana wanaweza kutwambia tupo uchumi wa kati au wa juu kabisa tukafurahia hata kama wananchi wana hali mbaya.
 
Hivi waafrika (wachawi) tulishindwa nini kuruka na ungo mpaka ulaya enzi zile kuchungulia maendeleo yao ili na sisi tuje tuendeleze miji yetu na kusonga mbele tusiachwe nyuma. Japo nasikia tuna mji wetu mzuri huko Gamboshi, Brussels haioni ndani.
 
Hivi waafrika (wachawi) tulishindwa nini kuruka na ungo mpaka ulaya enzi zile kuchungulia maendeleo yao ili na sisi tuje tuendeleze miji yetu na kusonga mbele tusiachwe nyuma. Japo nasikia tuna mji wetu mzuri huko Gamboshi, Brussels haioni ndani.
Panafikikaje huko mkuu?
 
Mimi huwa nasemaga kama tulikua na maendeleo, akili na tech kuliko wao, waliwezaje kutoka huko kwao na kuja huku na kututawala na kutunyang`anya kila kitu.

na kama ni kweli, basi tatizo letu ni kubwa kuliko tunavyodhani
 
Mimi huwa nasemaga kama tulikua na maendeleo, akili na tech kuliko wao, waliwezaje kutoka huko kwao na kuja huku na kututawala na kutunyang`anya kila kitu.

na kama ni kweli, basi tatizo letu ni kubwa kuliko tunavyodhani
Tena hapa ndio huwa wananifikirisha Sana nikiangalia picha za misafara ya watumwa,yaani Babu zetu mashababi kabisa Kama thelathini wamekamatwa na waarabu wawil legelege,Sasa najiuliza hivi walikuwa sawa kweli?
 
ni historia.historiabya ukweli ya mtu mweusi imepindishwa ndo maana wanaharakati wengi wanajitahidi kuweka wazi hilo.tukija kwenye hali ya sas ni kweli Afrika tumekosa viongozi.tatizo kubwa la Africa ni uongozi
historia iliyopita haina faida tena bali sasa tunapaswa kutengeneza historia mpya na sio kupinga historia ambayo inashabihiana na hali zetu zilivyo sasa...
 
ni historia.historiabya ukweli ya mtu mweusi imepindishwa ndo maana wanaharakati wengi wanajitahidi kuweka wazi hilo.tukija kwenye hali ya sas ni kweli Afrika tumekosa viongozi.tatizo kubwa la Africa ni uongozi
Tatizo sio viongozi ni waafrica wenyewe......kwasababu hao viongozi hawatoki nje ya africa ni wenzetu......na hata wewe ukawa leo kiongozi sitoshangaa ukafanya kama hao wengine.....

Shida kubwa ni mindset ya waafrica!
 
huwezi kusonga mbela bila kuijua historia yako.ni sawa na mti kukua bila ya mizizi
asiyekubali kushindwa si mshindani....historia yetu ipo ambayo inasema ukweli ila hatuutaki ukweli huo. tena hata ukiangalia hiyo historia inavyosema na tulivyo sasa vyote vinashabihiana......tukubali mababu zetu walikuwa hawajiwezi wala kujitambua basi sisi tubadilishe hiyo na mpaka kufikia hapo ni kujitambua tayari na tuendelee zaidi...
Utasemaje babu kajenga pyramid alafu mjukuu hata kujenga ikulu umuite mchina??....
 
asiyekubali kushindwa si mshindani....historia yetu ipo ambayo inasema ukweli ila hatuutaki ukweli huo. tena hata ukiangalia hiyo historia inavyosema na tulivyo sasa vyote vinashabihiana......tukubali mababu zetu walikuwa hawajiwezi wala kujitambua basi sisi tubadilishe hiyo na mpaka kufikia hapo ni kujitambua tayari na tuendelee zaidi...
Utasemaje babu kajenga pyramid alafu mjukuu hata kujenga ikulu umuite mchina??....
Achana na ikulu hata daraja tu
 
Tatizo sio viongozi ni waafrica wenyewe......kwasababu hao viongozi hawatoki nje ya africa ni wenzetu......na hata wewe ukawa leo kiongozi sitoshangaa ukafanya kama hao wengine.....

Shida kubwa ni mindset ya waafrica!
People with Power have no ideas.People with ideas have no Power
 
asiyekubali kushindwa si mshindani....historia yetu ipo ambayo inasema ukweli ila hatuutaki ukweli huo. tena hata ukiangalia hiyo historia inavyosema na tulivyo sasa vyote vinashabihiana......tukubali mababu zetu walikuwa hawajiwezi wala kujitambua basi sisi tubadilishe hiyo na mpaka kufikia hapo ni kujitambua tayari na tuendelee zaidi...
Utasemaje babu kajenga pyramid alafu mjukuu hata kujenga ikulu umuite mchina??....
People with Power have no ideas.People with ideas have no Power
 
Kuna watu hupenda hayo mambo wajuvi wa mambo ya kale ambayo hayana matokeo chanya.
 
Mifumo ya maisha iliyowekwa na wazungu ndio inatuathiri mpaka sasa.
 
Faida za kuifahamu historia yako no kuweza kukupa mwanganza juu ya NGUVU, na MADHAIFU uliyonayo.

NGUVU hukupa uwezo wa kujiamini na MADHAIFU hukupa uwezo wa kujikosoa.

Sisi Waafrika mahitaji yetu ni kujua tulipoteleza na sababu za kuteleza ambazo hakuna njia nyingine ya kuyajua hayo isipokua kwa kuijua historia yetu.
 
Back
Top Bottom