Hapa ndipo utatupenda sisi watu weusi

Hapa ndipo utatupenda sisi watu weusi

Sikusoma username yako. Kumbe ni mdada. Samahani binti mzuri. Ngoja nikuweke sawa kwa jambo moja.

Nimekunukuu kwa sababu umeandika kauli yenye kudhihaki watumwa; kimsingi mababu na mabibi zetu. Hujui madhila makubwa waliyopitia na kuteseka. Tujadili upumbavu wetu kama waafrika bila kuwadhihaki watumwa ndugu zetu.

Una hoja kimsingi juu ya namna waafrika tulivyo wapuuzi mpaka sasa. Nami naudhika na kuchukizwa na ujingaunjinga unaoendelea kwenye jamiii zetu waafrika weusi. Usingetia neno juu ya kuwadhihaki watumwa (mababu zetu) wala nisingejisumbua kukunukuu. Nadhani sasa umeelewa vema!
Sikusoma username yako. Kumbe ni mdada. Samahani binti mzuri. Ngoja nikuweke sawa kwa jambo moja.

Nimekunukuu kwa sababu umeandika kauli yenye kudhihaki watumwa; kimsingi mababu na mabibi zetu. Hujui madhila makubwa waliyopitia na kuteseka. Tujadili upumbavu wetu kama waafrika bila kuwadhihaki watumwa ndugu zetu.

Una hoja kimsingi juu ya namna waafrika tulivyo wapuuzi mpaka sasa. Nami naudhika na kuchukizwa na ujingaunjinga unaoendelea kwenye jamiii zetu waafrika weusi. Usingetia neno juu ya kuwadhihaki watumwa (mababu zetu) wala nisingejisumbua kukunukuu. Nadhani sasa umeelewa vema!
Brother unajikanyaga....haya pita zako nenda kwenye mada ngumu za kupeleleza space.asante
 
Sioni faida. Miaka 200 baadaye bado tunawategemea wazungu. Hata ukigundua Yesu alikuwa black haitakusidia. Mzungu tushindane naye kwa maendeleo. Siyo kujipa moyo

Wanataka kuwekwa Mambo sawa kwa maana wametukanwa kwa century nyingi Sana wakiambiwa Kila kitu Chao ni Cha kishenzi na hao mazeluzelu 😂 😂 😂 😂!
Hiyo iliwafanya wasijiamini! Wazungu walitumia Vita hiyo ya kisaikologia na wakashindwa kwa hiyo ili kurudisha status ya mwafrica lazima kurudi kwa mzingi wa yote!
 
Huoni kuwa sasa unathibitisha kuwa tatizo ni miafrika yenyewe haipendani... Huoni baadaue waafrika wote wakaja kutawaliwa wale weak nd strong pia?

Hapa kwenye la utumwa wengi hamjui vema au hamjui kabisa. Kwanza kabisa ufahamu utumwa ulifanikiwa vema kwa sababu ya ushiriki thabiti wa mtu mweusi dhidi ya weusi wenzake. Jamii zenye nguvu zilikamata mateka kutoka jamii dhaifu na kuwauza kwa waarabu(mawakala) wa utumwa. Na kumbuka silaha zilitumika pia.

Jambo lingine, jinsi walivyokua wanatekwa hata ungekua wewe usingeweza. Na ile minyororo ni mizito sana na namna walivyokua wanafungwa no way unaweza kujinasua. Jaribuni kujifunza. Awali nami nilikua mpumbavu kuwaza kama wewe.
 
Watu weusi tuna tatizo kubwa la inferiority complex. Tukifuatiwa na waarabu.wazungu wanajijenga au kujengwa na hali ya kujiamini sana.

Weusi tumebaki kuanzisha nyuzi na kuandika vitabu mafarao walikuwa weusi.haya walikuwa weusi.so what?

Hebu niambie na maisha yako hayo mazuri au ya kuunga unga ukiamka kesho unakuja kuhakikishiwa kabisa.YESU ALIKUWA NI MJOMBA WAKO.YAANI NI UKOO WENU KABISA.

INAKUSAIDIA NINI? sasa hayo ya kuhangaika kusema Yesu alikuwa mweusi mitume na manabii walikuwa weusi.SO WHAT?

AFRIKA ilikuwa na teknolojia ya juu n.m so what? Kwa nini leo hatuhangaiki kupambana na maisha tunahangaika kutafuta asili miaka mingi mbele?

Kama ukigundua waisraeli walikuwa weusi na wamisri walikuwa weusi.then? Lets say ni kweli walikuwa weusi na pua hizi bapa na lips za midomo nene. Na adamu na eva pia walikuwa weusi. Haya sasa tunafanyeje?

Tuhangaikeni kuboresha maisha yetu ndugu zanguni mambo ya kijinga yasitupotezee muda.hayana maana kabisan
Mtuacheni wayahudi original turinge, Israel ndiyo kwetu haswa. so what? Haikuhusu.
Hkn mtu mweusi Duniani labda kwenu. Ni kweli nyie weusi Mesopotamia siyo kweenu! Wazungu walitaka tuwe kundi moja na nyinyi weusi tukapinga, sasa mnatu mind.
Wayahudi sisi ni dark brown melanin.east africans mtuheshimu. Au people of colour. Ukitaka watu warefu wa rangirangi. Wateule wa Mungu na sisi ndiyo wazuri Duniani kote.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka sana
ndio maana mimi sifatiliagi mada za ooh wakina fulani ni weusi! Sasa kama walikua weusi tufanyaje? nawashangaaga sana watu wanaumiza vichwa wanaandika ma-paragraph na ma-evidence kuthibitisha kwamba watu/mtu fulani maarufu alikua mweusi.
Badala upambane na maisha yako tu , mpaka najiuliza au ndo kwakua hatuna ela muda wote tunawaza kupambana tu[emoji23] tunakosa hata muda wa kujilisha upepo
 
Huu ni ukweli mchungu, tunalialia sana tuonewe huruma. Eti wazungu wameficha historia tuliumbwa wa kwanza, so what.?
Tumeingia uchumi wa kati, hata kama nyumbani kwenu unalala njaa unakenua na kushangilia... so what..?

😀😀😀😀😀
 
Mtuacheni wayahudi original turinge, Israel ndiyo kwetu haswa. so what? Haikuhusu.
Hkn mtu mweusi Duniani labda kwenu. Ni kweli nyie weusi Mesopotamia siyo kweenu! Wazungu walitaka tuwe kundi moja na nyinyi weusi tukapinga, sasa mnatu mind.
Wayahudi sisi ni dark brown melanin.east africans mtuheshimu. Au people of colour. Ukitaka watu warefu wa rangirangi. Wateule wa Mungu na sisi ndiyo wazuri Duniani kote.
unajikataa???...
 
Mtuacheni wayahudi original turinge, Israel ndiyo kwetu haswa. so what? Haikuhusu.
Hkn mtu mweusi Duniani labda kwenu. Ni kweli nyie weusi Mesopotamia siyo kweenu! Wazungu walitaka tuwe kundi moja na nyinyi weusi tukapinga, sasa mnatu mind.
Wayahudi sisi ni dark brown melanin.east africans mtuheshimu. Au people of colour. Ukitaka watu warefu wa rangirangi. Wateule wa Mungu na sisi ndiyo wazuri Duniani kote.

Ninyi wazuri mnaliwa kama kitimoto!
 
Mtu mweusi akiitwa ‘mweusi’ anaanza kulialia eti kabaguliwa, anataka aitwe mzungu... pumbavu kabisa!

Masikini wa akili na kipato, tunapenda sana faraja ambazo hata kama hazipo... ndiyo maana tunajifariji na hizi dini uchwara kuwa mbinguni masikini tutatimba asubuhi tu!
 
English ni tatizo au! Nini maana ya people of colour? Unaniimbisha wimbo usiokuwa na chorus?
Huo weusi sababu kakupachika mzungu unafurahia ka zuzu!
hujajibu swali...

Unajikataa??
 
Mtu mweusi akiitwa ‘mweusi’ anaanza kulialia eti kabaguliwa, anataka aitwe mzungu... pumbavu kabisa!

Masikini wa akili na kipato, tunapenda sana faraja ambazo hata kama hazipo... ndiyo maana tunajifariji na hizi dini uchwara kuwa mbinguni masikini tutatimba asubuhi tu!
Umaskini wa kwenu siyo wetu sote. Migari, mighorofa yoote hii, mabarabara, ardhi yooote hii bado unalia wewe ni maskini?
Sema Mungu kakupiga kofi tu.
Wazungu ndo maskini wanaishi upweke kwenye viota eti wanaita gorofa..wanakula vya makopo vilvyosindikwa miaka km mbwa. Angalia sisi vya leoleo twala.mbuzi, sato, kuku kienyeji. Mpaka wanatuonea gere wanatupiganisha.
Wazungu Wanatunzwa na matajiri wa mafuta miaka nenda rudi. Masai anafurahia uumbaji serengeti raha mstarehe hana shida, anywa ziwa la asili kutoka ardhini. Hata ukeshe uchi hawatakupenda. wanatuogopa sana. Ndo maana wanatumia silaha kutukabili waje mkono kwa mkono waone.watu wanajenga kwa mchicha wa msimbazi wee unalialia tu.makopo. Kubeba taka
 
Huu ni ukweli mchungu, tunalialia sana tuonewe huruma. Eti wazungu wameficha historia tuliumbwa wa kwanza, so what.?
Tumeingia uchumi wa kati, hata kama nyumbani kwenu unalala njaa unakenua na kushangilia... so what..?

😀😀😀😀😀
Hatujawahi kulialia sisi, wao wanatutamani. adui akuhurumie? tuliwatimua Africa bila huruma. Miaka 59 ilopita angalia tulipo! Na Nyerere akaanza na ujamaa tukakata misaada maksudi tukakomaa na magwanji. Wao ndo wanajipendekeza na vimisaada. Mara jumuia ya madola Watuache miaka 50 tu uone moto. Ona libya, somalia,zimbabwe wameharibu wao. Njaa nikilala niko kwangu burudani tu kwanza ni afya bora mwili unapumua Siyo kula maharage tuu 24hrs.
 
Sasa kama tulikaririshwa kuwa hao watu walikuwa ni wazungu kumbe ukweli ni weusi. Hapo Unafunguliwa akili na tahadhari ya Uongo wa mzungu. Lkn kuna watu hawataki !!! wanachukia elimu hii. Sidhani km walikaa drsn wakaelewa historiA!!! Km uliogopa umande huwezi elewa kitu. Kwanza hao weupe wanaopingwa huwajui! Ramani ya Dunia tu ilisha hama kichwani!tulipotoka na tulipo hujui! Hapo Htn msaada na wewe chapa rapa tu.
 
Sasa kama tulikaririshwa kuwa hao watu walikuwa ni wazungu kumbe ukweli ni weusi. Hapo Unafunguliwa akili na tahadhari ya Uongo wa mzungu. Lkn kuna watu hawataki !!! wanachukia elimu hii. Sidhani km walikaa drsn wakaelewa historiA!!! Km uliogopa umande huwezi elewa kitu. Kwanza hao weupe wanaopingwa huwajui! Ramani ya Dunia tu ilisha hama kichwani!tulipotoka na tulipo hujui! Hapo Htn msaada na wewe chapa rapa tu.
historia uliyosoma darasani chimbuko lake ni wapi???...
 
historia uliyosoma darasani chimbuko lake ni wapi???...
Matani kwa matani ya historia yalitoka na yanatoka mpaka sasa Africa---- Mesopotamia -Summerian tablets, Maktaba kubwa za kifalme Alexandria Royal libraries huko Misri ya kale, Sudani yote ni sehemu ya misri ya kale, Babylony, na Cush land ambayo mnaiita Ethiopia ya leo, kabla ya mkutano wa Berlin cush land ilitambaa toka yemen mpaka zimbabwe.. Na bado wanaendelea kuchimba historia hiyo hapo Misri siyo mbali na Bukoba, ukivuka Uganda tu, umefika! Maji wanakunywa ya ziwa nyanza mwanza -musoma
 
Matani kwa matani ya historia yalitoka na yanatoka mpaka sasa Africa---- Mesopotamia -Summerian tablets, Maktaba kubwa za kifalme Alexandria Royal libraries huko Misri ya kale, Sudani yote ni sehemu ya misri ya kale, Babylony, na Cush land ambayo mnaiita Ethiopia ya leo, kabla ya mkutano wa Berlin cush land ilitambaa toka yemen mpaka zimbabwe.. Na bado wanaendelea kuchimba historia hiyo hapo Misri siyo mbali na Bukoba, ukivuka Uganda tu, umefika! Maji wanakunywa ya ziwa nyanza mwanza -musoma
ulienda kuchimba Google....sawa mzee stay blessed...
 
Back
Top Bottom