asiyekubali kushindwa si mshindani....historia yetu ipo ambayo inasema ukweli ila hatuutaki ukweli huo. tena hata ukiangalia hiyo historia inavyosema na tulivyo sasa vyote vinashabihiana......tukubali mababu zetu walikuwa hawajiwezi wala kujitambua basi sisi tubadilishe hiyo na mpaka kufikia hapo ni kujitambua tayari na tuendelee zaidi...
Utasemaje babu kajenga pyramid alafu mjukuu hata kujenga ikulu umuite mchina??....
Nasema wazi kabisa bila kumung'unya Maneno weye ni Myahudi haswaaa original haina chenga!!....wala isikupe tabu jua kabisaa huyu Mleta Mada ni Masalia ya jamii ya Esau!! ukichanganya na wengi walio jibu hapa utawajua kabisa ni uzao wa Esau!! hawajifichi!
Amini nakwambia kwamba humu Duniani tuko watu wa aina mbili tu, na hii haina ubishi!! na hao watu ni km ifuatavyo;
1) Kizazi cha Yakobo na.
2) kizazi cha Esau.
Sasa kizazi cha Esau siku zote wana kinyongo na kizazi cha Yakobo, na hayataisha milele!...Kizazi cha Esau wao siku zote wako kinyume!! na hawa hawata enda Mbinguni kwa kuwa ni asili ya kizazi cha nyoka.....Lkn hwa wa Yakobo Mungu alishawatolea dhambi zao kitambo!
wao wan free ticket ya kwenda paradiso kula raha!! na hawa watapigwa mihuri ktk vita ya Almagedonia!! haita wadhuru!! na hawa wa Esau wao watapigwa kiberiti pamoja na shetani! sasa hii spritually inawaumiza sana miaka miingi ila wao hawajui kuwa wako ivo!!
Hawa kizazi cha Esau ndo hao hao waliuza sana watumwa!! tunao humu! hawa hata Neno la Mungu hawalielewi kabisa/somo halipandi /wabishi kuwa Mungu hayupo hata uwapige nyundo! na
hawa hawa ndo wanazalisha wachungaji Matapeli!/ wazinzi/wachawi na kila aina ya wachungaji wachafu na wabaya, wanatoka kundi hili Lengo likiwa ni kuyumbisha ukweli!! Tunajua NEni la Mungu lina vita kali sana popote pale Duniani! kwa nini iwe ivo??
ukijua ukweli huu!! na likikuingia hili neno Moyoni inatosha kujua kuwa Mungu yupo tena hatari kuliko hatari yenyewe!!...wanahangaika sana na Watu wanao mjua Mungu wa kweli Why??....
Mungu wa watu amejikalia zake Paradiso anakula bata, Maserafi na makerubi wana mwimbia hana hili wala lile lkn wanapiga kelele miingi ooh! mara ni uongo!!! mara Wayahudi wanajidai kuwa wao ni wakipekee sana!! mweee!
Wayahudi kuchukiwa hawajaanza leo na Mleta Mada, Tangu zama walichukiwa mnooo!! mpaka sasa chuki ni hizohizo!! hakuna kiumbe anae itwa Mwanadamu ana chukiwa mbaya humu Duniani km Mtu Yahudi mweusiii! Nenda USA,UK,China, nk mtu mweusi hapendwiiii!!
Alichokosea hakijulikani kwanza ni mtumwa wao anawafanyia kazi wao!! kwa Malipo Duni kabisaa!...na asikudanganye Mtu alipotumikishwa mtu mweusi km Mtumwa popote pale Duniani ndo hapo pana Maendeleo!
yaani hao! hao ndo super power country wa leo! km USA,UK Nk!!...lkn kosa wanalolifanya ni kuwaua na kuwanyanyasa hao wenye upako!! kwanza kosa walilofanya ni kuwarudisha Africa na kuwanyanyasa hovyo!! UK ikapoteza, sasa USA itapoteza subiri uone !!
Na Mateso ya wayahudi Duniani yalikuwepo tangu zama na zama!! pale tu walipo muudhi Mungu! na hili Mungu aliwaambia jicho kavuuu!! hakuwaficha!! soma kumbukumbu la torati loote uone!! hiyo ilikuwa Hotuba ya MUsa akiwaonya wayahudi!
Kifupi Biblia ni Katiba na mwongozo wa wayahudi! na si vinginevyo!...hata wakupige madongo vipi uyahudi wako uko pale pale!! alicho kifanya shetani ni kuchanganya kizazi cha nyoka yaani shetani mwenyewe na wayahudi, lkn sasa chuma na udongo havishikamani!
yaani wa shetani utawajua na wa Mungu utawajua tena kirahisi sana km Mleta Mada! amesha julikana yeye ni kizazi kipi!! naya sema haya ndugu zangu ili kuwatia Moyo .....SIKIENI BANA ISRAEL ORIGINAL..
MSIOGOPE MUNGU WENU YUPO PAMOJA NANYI! HATAWAACHA MPAKA UKAMILIFU WA DAHALI! AMENITUMA NIWAELEZEE HAYA!