Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
- Thread starter
- #81
Mi huwa nauliza mimi baba ako.....Na walivyo wajinga jitu linauliza utaweza kunihudumia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi huwa nauliza mimi baba ako.....Na walivyo wajinga jitu linauliza utaweza kunihudumia?
Haijawahi tokea yaan huwezi kuwa na stress yaan hakuna haja ya kumfikisha juu ya mlima yaan ww ukifika tuu inatoshaNdio mitambo igome huku likiwa limekushikilia
------ 😀 😀 😀 😀 😀 😀 ----------1. Nianze mfukuzia demu
2. Nimtongoze nimshawishi mpaka anikubalie
3. Kisha nianze kuwa natatua shida zake
4. Ni maintain yeye kubaki au kuwa nipambane niendelee kubaki naye atumie pesa zangu?
WALLAH WACHA NIBAKI NA UPWIRU. NIKIZIDIWA NAJICHUKULIA SHERIA MKONONI. YEYE ABAKI NA KIPOCHI UNYEVU CHAKE NAMI NABAKI NA PESA ZANGU. NGOMA DRAW.
Una Hela kweli wewe1. Nianze mfukuzia demu
2. Nimtongoze nimshawishi mpaka anikubalie
3. Kisha nianze kuwa natatua shida zake
4. Ni maintain yeye kubaki au kuwa nipambane niendelee kubaki naye atumie pesa zangu?
WALLAH WACHA NIBAKI NA UPWIRU. NIKIZIDIWA NAJICHUKULIA SHERIA MKONONI. YEYE ABAKI NA KIPOCHI UNYEVU CHAKE NAMI NABAKI NA PESA ZANGU. NGOMA DRAW.
Nashangaa, yaan mimi nikimuangalia tu mtu tushaconektiana tuna kupeana utelezi, huitaji credits kuelewa hata uwe na F unaelewaBado kuna raia mnatongozana mpaka karne hii?
Haina maana kukufuata kuja kukutongoza moja kwa moja. Kuna ishara fulani ataonyesha za kulazimisha kingi keaiyo ni wewe kujiongeza unapiga mzigo. Lakini hii ya kuanza kutongoza unajiweka upande dhaifu, tena mademu wenyewe saiv mapenzi kwao ajira. Ukiomba namba tu ni kama umesaini mkataba wa ku-adopt mtoto kwenye kituo cha kulea watoto yatima.Hakuna kitu kinaitwa bustani munajipa moyo hata uwe na pesa unajaza jaba bado hio Route juu inakuhusu tu mwanaume. Hakuna wanawake watakufuata.
Wapo….!Hakuna kitu kinaitwa bustani munajipa moyo hata uwe na pesa unajaza jaba bado hio Route juu inakuhusu tu mwanaume. Hakuna wanawake watakufuata.
Unafanya kazi? Asubuhi mchana na usiku ?Mkuu endelea tu na msimamo wako nakuunga mkono kwenye ili apa nmejilipua asubuhi, mchana, bado usiku ni kujilipua mpaka una SIZI kwa kifupi acha kazi iendelee hamna namna
Nnazo za kunitosha mimi.Una Hela kweli wewe
Kwani lazima uweka kambi kabisa kama hijawa tayari? Mbona k disposable zipo nyingi tu?1. Nianze mfukuzia demu
2. Nimtongoze nimshawishi mpaka anikubalie
3. Kisha nianze kuwa natatua shida zake
4. Ni maintain yeye kubaki au kuwa nipambane niendelee kubaki naye atumie pesa zangu?
WALLAH WACHA NIBAKI NA UPWIRU. NIKIZIDIWA NAJICHUKULIA SHERIA MKONONI. YEYE ABAKI NA KIPOCHI UNYEVU CHAKE NAMI NABAKI NA PESA ZANGU. NGOMA DRAW.
kudanganya sana nimeachaa sekondari....huku mbele mambo wazi tu kiulainii safiiiKutongoza tongoza ni ishara ya umasikini
Kuna level fulani ya mafanikio ukifika hauhitaji kutongoza
Panda bustani yako iboreshe vipepeo watajileta wenyewe. Elewa neno bustani na vipepeo
Women are attracted to men lifestyle