Magna Carta
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 4,347
- 6,652
Wewe mwenye upeo unaishia kubaini walio na akili ilofinyu?? Jenga hoja ili uonyeshe utofauti wako na mimi, vinginevyo tupo kundi moja la wenye akili finyu.
Charity begins at home! Uzuri ni kuwa chato ipo Tanzania! Kama malalamiko yanayoelekezwa kwa Mkuu yanalenga kutuaminisha kuwa Chato hapana hadhi katika Tanzania, ama basi yaliyofanywa huko yalipaswa kufanyika kaskazini tu itakuwa ni kumuonea mkuu.
Kama ujenzi wako wa hoja unaishia hapa wewe ni zombi mwenzangu, kama unaibiwa kura na unaishia kupost chuki wewe ni zombi mkuu, kama huna uwezo wa kupinga analofanya JPM na unanuna tu wewe ni zaidi ya zombi, na utakuwa vampire kama una ndoto za kumtoa JPM madarakani 2020.Mazombi endeleeni kutetea uzombi
Kama wanaona jambo LA kipuuzi ulitaka wakubali tuu ndiyoooo?Chadema ndo huwa nawaona wajinga hapo tu, yaani nyie kila kitu ni kupinga tu...manyumbu nyie bhana ni shida sana..!
[emoji23][emoji23] Eti mtukufuUsimfananishe Mtukufu Rais na mambo yako yakipumbavu..
Hii ni Tanzania sio kongo wewe kilaza, kama unapapenda kongo hamia huko
Alijenga remote area. ..nani akakae huko. .kama Chattle tu..Muda utaongeaWakongo walishindwa kuyataifisha na kuyaendeleza haya makazi ? Nafikiri hata serikali za sasa nazo zina matatizo kichwani. Hiyo ni pesa ya walipa kodi inateketea !
KWa hiyo unataka kusema kuwa Gbadolite imebaki kama Mahame? Aisee, hao ndo viongozi wetu tuliopanga mistari siku nzima kuwapigia kura.Mobutu Sesseko Kuku ngendu Wazabanga baada ya kuingia madarakani kimabavu akaanza utawala wa kidikteta
Akajenga ikulu/kasri kubwa kijijini kwao Gbadolite ,akajenga uwanja mkubwa wa kutua ndege tena zilikua zile Concord ,uwanja huu alijenga kijijini kwao
Mobutu alipandisha hadhi kijiji cha kwao na kuwa jiji yani jiji la Gbadolite
Mobutu baada ya kufurumushwa madarakani kijiji kimebaki gofu malisho ya mbuzi na ng'ombe
Ikulu imabaki magofu na makazi ya popo
Uwanja wa ndege umebaki kutua ndege john na wengine walio umbwa na Mungu
Mobutu alikula sana hela za Nchi ya Zaire kujitajirisha na kujenga kwao
Leo hii kwao kumebaki magofu
Magufuli soma historia.
Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Gbadolite
IkuluView attachment 1147267View attachment 1147269View attachment 1147270View attachment 1147271View attachment 1147272
Charity begins at home! Uzuri ni kuwa chato ipo Tanzania! Kama malalamiko yanayoelekezwa kwa Mkuu yanalenga kutuaminisha kuwa Chato hapana hadhi katika Tanzania, ama basi yaliyofanywa huko yalipaswa kufanyika kaskazini tu itakuwa ni kumuonea mkuu.
Sawa tumeona ila nikujifariji tu kwamba chato napo patabadilika kuwa hivi, huyu alijenga kwao maporini huko, magufuli anajenga wilayani chato soon kuwa makao makuu ya mkoa mpya, sasa patabadilikaje kuwa hivi? πππMobutu Sesseko Kuku ngendu Wazabanga baada ya kuingia madarakani kimabavu akaanza utawala wa kidikteta
Akajenga ikulu/kasri kubwa kijijini kwao Gbadolite ,akajenga uwanja mkubwa wa kutua ndege tena zilikua zile Concord ,uwanja huu alijenga kijijini kwao
Mobutu alipandisha hadhi kijiji cha kwao na kuwa jiji yani jiji la Gbadolite
Mobutu baada ya kufurumushwa madarakani kijiji kimebaki gofu malisho ya mbuzi na ng'ombe
Ikulu imabaki magofu na makazi ya popo
Uwanja wa ndege umebaki kutua ndege john na wengine walio umbwa na Mungu
Mobutu alikula sana hela za Nchi ya Zaire kujitajirisha na kujenga kwao
Leo hii kwao kumebaki magofu
Magufuli soma historia.
Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Gbadolite
IkuluView attachment 1147267View attachment 1147269View attachment 1147270View attachment 1147271View attachment 1147272
Na manyumbu nao wakisema sisi ccm kila kitu Ni kushangilia tu Nani atakuwa nyumbu zaidi ya mwezake ??Chadema ndo huwa nawaona wajinga hapo tu, yaani nyie kila kitu ni kupinga tu...manyumbu nyie bhana ni shida sana..!
hata kambi ya jeshi inaweza kupafanya base,shida ya ngozi nyeusi, ni asili flani ya roho za kimasikini.Alijenga remote area. ..nani akakae huko. .kama Chattle tu..Muda utaongea
Ukweli ni kuwa Chato haikustahili uwanja wa ndege wa hadhi hiyo, ni matumizi mabaya ya raslimali na madaraka. Namuunga mkono JPM ktk mengine lkn si katika hili.Charity begins at home! Uzuri ni kuwa chato ipo Tanzania! Kama malalamiko yanayoelekezwa kwa Mkuu yanalenga kutuaminisha kuwa Chato hapana hadhi katika Tanzania, ama basi yaliyofanywa huko yalipaswa kufanyika kaskazini tu itakuwa ni kumuonea mkuu.
uliishawahi kukutana na mtu aliyekikatia tamaa kitu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].Sawa tumeona ila nikujifariji tu kwamba chato napo patabadilika kuwa hivi, huyu alijenga kwao maporini huko, magufuli anajenga wilayani chato soon kuwa makao makuu ya mkoa mpya, sasa patabadilikaje kuwa hivi? [emoji1][emoji1][emoji1]
Hizi wishful thinking bwana
Nyerere alijenga kwao uwanja wa ndege na traffic lights? ?magari yenyewe 100 hayafiki unaweka traffic lightshata kambi ya jeshi inaweza kupafanya base,shida ya ngozi nyeusi, ni asili flani ya roho za kimasikini.
kwahiyo hata ikatokea chato ingejengwa dar hapa,stori zingekuwa hizi hizi,as long as aliyejenga ni magufuli.mbona kila siku watu wanaponda ujenzi wa madaraja na ma reli???
Hata Gbadolite ipi Zaire . Tunachosema baada yake Chato itakuwa ya kazi gani ?!Charity begins at home! Uzuri ni kuwa chato ipo Tanzania! Kama malalamiko yanayoelekezwa kwa Mkuu yanalenga kutuaminisha kuwa Chato hapana hadhi katika Tanzania, ama basi yaliyofanywa huko yalipaswa kufanyika kaskazini tu itakuwa ni kumuonea mkuu.
Kwani kwa Pinda kukoje sasa ?!Chato haiwezi kuwa hivyo husimtishe
Mbna reli ya mkolon tunaitumia hadi leo, majengo ya wakoloni tumeyarithi, shule zao na mengineyo meeeeeeeeengi sembuse ChatoUnataka kutuambia kuwa Chato itakuja kuwa hivyo?
Astafulilahi wallai!