Hapa ni Gbadolite, Kijijini kwa dikiteta Mobutu Sesseko Kuku Wazabanga, nyumba zimegeuka Magofu na mahame

Hapa ni Gbadolite, Kijijini kwa dikiteta Mobutu Sesseko Kuku Wazabanga, nyumba zimegeuka Magofu na mahame

Ni mbinafsi sana pia si uzalendo zaidi ya majukwaani
 
Kodi zetu si Salama sana kipindi hiki.

Timiza,
Ngoja Jiwe aendeleze kwao Chato ili iwe kama Gbadolite huku Ma-Zombie ya CCM wakiendelea kuimbishwa mapambio ya eti.."KODI ZAO ZIKO SALAMA SANA KIPINDI HIKI...!!! Tunajua kuna 1.5 Trilioni mpaka leo hazijulikani zilichotwa na nani..!!!
 
Mzee baba mimi ni mtetezi wake ila kwa haya ya airport na mataa na mabenki yasiyo jengwa kwa kuangalia wingi wa wateja na fursa halisi simuungi mkono hata kidogo.

Hii ni 'precedent' mbaya sana kwa viongozi watakaomfuatia.
Mkuu ni kweli kwamba lile tawi la CRDB Chato lilishafungwa?
 
Mobutu Sesseko Kuku ngendu Wazabanga baada ya kuingia madarakani kimabavu akaanza utawala wa kidikteta

Akajenga ikulu/kasri kubwa kijijini kwao Gbadolite ,akajenga uwanja mkubwa wa kutua ndege tena zilikua zile Concord ,uwanja huu alijenga kijijini kwao

Mobutu alipandisha hadhi kijiji cha kwao na kuwa jiji yani jiji la Gbadolite

Mobutu baada ya kufurumushwa madarakani kijiji kimebaki gofu malisho ya mbuzi na ng'ombe

Ikulu imabaki magofu na makazi ya popo

Uwanja wa ndege umebaki kutua ndege john na wengine walio umbwa na Mungu

Mobutu alikula sana hela za Nchi ya Zaire kujitajirisha na kujenga kwao

Leo hii kwao kumebaki magofu

Magufuli soma historia.

Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Gbadolite
IkuluView attachment 1147267View attachment 1147269View attachment 1147270View attachment 1147271View attachment 1147272

Wakti Baba wa Taifa anang'atuka hakuwa amejenga chochote pale Butiama.
Kwa vile alirudi kuishi kijijini na kukawa na Trip za mara kwa mara za Viongozi wa Kitaifa na kimataifa.....Mzee Ruksa akatumia Busara kwa kuliagiza Jeshi likamjengee nyumba angalao yenye hadhi ya mtu aliyewahi kuwa Rais wa nji hii.
Haya ndo yalikuwa maneno ya Mwalimu kwa JWTZ:'
'....MUNANI JENGEA NYUMBA KUBWA SANA KWANI MIMI TEMBO...??''

1148125

1148126


Lakini hapa Gbadolite ndani ya Kongo tunashuhudia mtu mmoja Dikteta Mobutu alijijengea Majumba (siyo jumba) makubwa wanpoweza kulala hata tembo kadhaa huku Wakongoman wengi wakiogelea kwene lindi la umaskini.
Hii ndiyo hasa akili ya Magufuli....no differences.
 
Kwa nini ajengewe hizo chuki binafsi!!!? Inawezekana kabisa ni kwa sababu anafanya maamuzi ya matumizi ya fedha za umma kibinafsi zaidi. Nani aliyefanya feasibility study kujua iwapo Chato ilifaa kuwa na International Airport!!?
Mtu akilaumiwa kwa matendo yake yasiyo shirikishi si chuki.
Fizibiliti study bongo hii!! Rejea lile bwawa la DART jangwani, kulihitajika PhD kujua pale hapafai! Nachokuhakikishia hapa bongo wanaopinga progress za JPM nao wakipata nafasi watakuwa na madudu Yale yale tu! Sisi ni wabinafsi kwa hulka tu, lakini pia yeye sio mtakatifu hadi tuseme hautendei wema utakatifu huo. Hujawasikia wabunge pamoja na vipato vilivyonona bado walishindwa kutoa pesa binafsi kwenda kushangilia Taifa Stars, wakaomba pesa za umma!! Mpumzisheni Mkuu asee.
 
Charity begins at home! Uzuri ni kuwa chato ipo Tanzania! Kama malalamiko yanayoelekezwa kwa Mkuu yanalenga kutuaminisha kuwa Chato hapana hadhi katika Tanzania, ama basi yaliyofanywa huko yalipaswa kufanyika kaskazini tu itakuwa ni kumuonea mkuu.
Huu ndio ujinga na upumbavu uliopitiliza
Kuna nini chato cha kuweza kuimarisha uchumi
Kwa hivi akija Rais mwingine toka Peramiho naye akajenga airport au mabenki huko kwao nayo itakuwa sawa?
Chazo cha mapato kiko wapi? Hawalimi hawafugi ardhi mbovu watu wenyewe ni primitive baiskeli tu hawana halafu unawapelekea ndege like seriously!
Angekarabati uwanja wa Mwanza uwe wa kimataifa
Time will tell
 
Wewe ndo hopeful?! Unapoongelea nationalhood taswira yako inaitenga chato?! Kupinga tu hakusaidii. wakati analeta midege mikubwa watu wakaponda sana, ungedhani labda hakuna atakayepanda hizo ndege, sasa zinajaa na safari za nje zinazidi kuibuliwa! Jf ikekuwa sehemu ya kupumulia na ku-release tension za maisha. Acheni hizo.
Unepaniki
 
Demokrasia ni mchakato. Hapa Hakuna anayelalama. Tunajadiliana. Mleta mada anasema Mobutu kwa udikteta wake alifanya vitu ambavyo kama vingeamuliwa kwenye vyombo vya kidemokrasia isingewezekana kufanyika jinsi vilivyofanyika.
Sasa je, hawa wa kwetu wakifanya kwa udikteta tu watu wasiseme kwa sababu haibadili chochote!!?
Lazima isemwe, maana mwisho wa yote watu wakichoka kusema hushtaki kwa
Mungu!!!
Nashukuru kwa kuwa umekuwa mkarimu, namna hii tunaweza kujadiliana na kuafikiana. Nikwambie Mkuu demokrasia si jambo jepesi kivile kama ambavyo uongozi si kila mmoja anauweza. Hata huko Marekani kuliibuka tuhuma za Trump kusaidiwa na Urusi katika kuupata urais, hapa Afrika demokrasia ni ndoto kabisaa. Lakini pia yapo mazingira ambayo udikteta ni bora kuliko demokrasia, sisi tumekaririshwa tu na mifumo yetu ya elimu.

Watu wakiona mambo hayako sawa waseme, na wapaze sauti! Ila wajenge hoja za msingi, kama hawasikilizwi wachukue hatua zinazoeleweka. Sio kujibanza kwenye keyboard na kulilia ndani. Afrika demokrasia bado sana.
 
Hehehe amepandisha hadhi kale ka pori kua hifadhi kamili ya wanyamapori ili apate sababu justification ya uwanja Wa ndege...yaaan watalii wawee wanaenda Burigi National Park..hehehe.. Very weird!Absurd!
Hata akija mtawala wa CCM baada yake, bado Chato kama ilivyo hii ya Seseseko! Mpaka sasa sijaona faida yoyote ya kiuchumi kwa huu mradi.
 
Charity begins at home! Uzuri ni kuwa chato ipo Tanzania! Kama malalamiko yanayoelekezwa kwa Mkuu yanalenga kutuaminisha kuwa Chato hapana hadhi katika Tanzania, ama basi yaliyofanywa huko yalipaswa kufanyika kaskazini tu itakuwa ni kumuonea mkuu.
Kilimilire nawe umezongwa na upori.
Sehemu zingine za Tanzania zina mahitaji kama ya Chato. Toeni meno hadi ya mwisho ila siku itafika tu ambayo wahusila watatakiwa kuwapa watanzania ya matumizi mabaya ya madaraka na rasilimali kwa chaguzi ndogo, Chato, nk.
 
Time will tell wapi bhana! Kwani pale KIA wenyeji wanaozunguka ule uwanja ndo wanapanda ndege!? Mbona kuna umasikini tu wa kutupa!! Ama pale DIA wapanda ndege wanatokea Gongo la Mboto na Pugu!! Na sehemu nyinginezo za nchi miundombinu ya usafirishaji haifanyiki!! Tembelea DIA, Ubungo-Kibaha highway, au ni Chato pale!!? Ni mkoa upi haujaboreshewa miundombinu yake.
Huu ndio ujinga na upumbavu uliopitiliza
Kuna nini chato cha kuweza kuimarisha uchumi
Kwa hivi akija Rais mwingine toka Peramiho naye akajenga airport au mabenki huko kwao nayo itakuwa sawa?
Chazo cha mapato kiko wapi? Hawalimi hawafugi ardhi mbovu watu wenyewe ni primitive baiskeli tu hawana halafu unawapelekea ndege like seriously!
Angekarabati uwanja wa Mwanza uwe wa kimataifa
Time will tell
 
Charity begins at home! Uzuri ni kuwa chato ipo Tanzania! Kama malalamiko yanayoelekezwa kwa Mkuu yanalenga kutuaminisha kuwa Chato hapana hadhi katika Tanzania, ama basi yaliyofanywa huko yalipaswa kufanyika kaskazini tu itakuwa ni kumuonea mkuu.
Wewe utakua unatokea JALALANI si kwa UHAROO HUU
Niulize kwa nini nikujibu
 
Acha ujinga tena, kama unakumbuka Mh Deo filikunjombe aliwahi kumwuliza Mh Pinda faida ya kujenga uwanja wa ndege huko sumbawanga kijijini, tena alimkaripia kweli, akamwambia huo uwanja amejenga kwa ajili yake tu maana kwa uchumi wa wana sumbawanga hakuna atakayeweza kusafiri kwa ndege, tena akamuuliza kama aliwauliza wana Sumbawanga ni nini mahitaji yao ya msingi na wakamwambia wanataka kiwanja cha ndege? Mwisho akamalizia! "Hizo ndege zitaenda kubeba nini huko?Migebuka? Kumbuka Deo alikuwa mwana ccm aliye kwiva hasa!! Lakini pale palipostahiki kuhoji alihoji!! Huo uwanja wa chato una faida gani hususa kwa sasa? Si ni sawa tu na kujenga bandari singida?
Charity begins at home! Uzuri ni kuwa chato ipo Tanzania! Kama malalamiko yanayoelekezwa kwa Mkuu yanalenga kutuaminisha kuwa Chato hapana hadhi katika Tanzania, ama basi yaliyofanywa huko yalipaswa kufanyika kaskazini tu itakuwa ni kumuonea mkuu.
 
Atakachokifanya Magufuli ni kuunda Mkoa wa Chato. Lakini hilo halitasaidia Chato isiwe kama Gbadolite kwa sababu watu wa kupanda ndege kwenda Chato hawapo na watumishi wa serikali watakaokuwa huko kipato chao ni kidogo sana kumudu nauli ya ndege.

Ushauri wangu kwake ni yeye aufanye huo uwanja uwe mali ya JWTZ ili wawe wanafanyia mazoezi yao huko
UMEONA MBALI! KWAKUWA CHATO NI KARIBU NA MIPAKANI, PANAFAA SANA KUWA NA BASE YA JESHI LA ANGA NA, NINAJUA NI SEHEMU YA MPANGO MZIMA!
 
Back
Top Bottom