moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,151
- 2,979
- Thread starter
-
- #21
Beba hilo mkuuNitabeba na yakwako..
Fungulia mbwa itakuwepo baada ya 'female evacuation'... Yani wakati watoto wakare kama Mzigua90 'wameshaondolewa' eneo la tukio na wabebishaji maarufu kama Nichumu Nibebike, wengine ndio mtaruhusiwa sasa kuingia!Ambao hatuna pesa kabisa fungulia mbwa IPO??
Nitakulipia mkuuAmbao hatuna pesa kabisa fungulia mbwa IPO??
HahahaFungulia mbwa itakuwepo baada ya 'female evacuation'... Yani wakati watoto wakare kama Mzigua90 'wameshaondolewa' eneo la tukio na wabebishaji maarufu kama Nichumu Nibebike, wengine ndio mtaruhusiwa sasa kuingia!
Tutajumuika ila tutakua tunajinunulia wenyewe mazaga zaga tofautiKwa hiyo mtaungana kwenye ku party au kila kundi (pre-payers na post-payers) litafurahia kivyake na kwa utaratibu wake?
Kwa hiyo hamtachanga. Kila mtu atakuwa anatumia kwa kadiri ya mfuko wake? Any way ni wazo zuri pia.Tutajumuika ila tutakua tunajinunulia wenyewe mazaga zaga tofauti
Mjini hapa! Ebo!Kwanini sasa usilipe mapema ili bajeti ikapangwa??
Mjini hapa! Ebo!
Tutakutana siku hiyo walahi!
Hamna kuulizana ID YA JF walahi
Sijui kwanini ila nahisi mimi nitakujua.... utaona tu nitakavyokugusa bega na kukwambia "ISIS mambo vipi".... lolMjini hapa! Ebo!
Tutakutana siku hiyo walahi!
Hamna kuulizana ID YA JF walahi
POINT,tujue venue tu itatosha.Kila mutu akuye na mufuko wake ATOMBOKE KWA RAHA ZAKE.Na iwe marufuku kuulizana vitu visivyokuwa vya msingi mwenzako akilewa.Umeuliza swali zuri sana, mfumo uko ivi party ya kwenye mitandao haswa yenye fake ID's hakuna anamuamini mwenzie kwahiyo inabidi tukusanye pesa kwenye vibubu vyetu halafu tutaonana siku yenyewe
Kwan mzigua90 ni mkare, mi nlijua ni mbibi, ila mnajipa promo safi, km ile tangazo la Jambo Kubwa, Jambo ndogo na Jambo Katikati, promo muhimu ili victims wajae [emoji28][emoji28][emoji28]Fungulia mbwa itakuwepo baada ya 'female evacuation'... Yani wakati watoto wakare kama Mzigua90 'wameshaondolewa' eneo la tukio na wabebishaji maarufu kama Nichumu Nibebike, wengine ndio mtaruhusiwa sasa kuingia!
Tutajumuika ila tutakua tunajinunulia wenyewe mazaga zaga tofauti
Mjini hapa! Ebo!
Tutakutana siku hiyo walahi!
Hamna kuulizana ID YA JF walahi
Tutachanga pale paleKwa hiyo hamtachanga. Kila mtu atakuwa anatumia kwa kadiri ya mfuko wake? Any way ni wazo zuri pia.