moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,151
- 2,979
- Thread starter
-
- #41
Hakuna fala hapahii kiboko ya Matapeli
Mantiki ya kuchanga ni kwa ajili ya maandalizi ikiwemo kutoa order mapema ili kupata vitu vitakavyohitajika.Tutachanga pale pale
Bajeti ya million na nusu inahitaji miezi mitatu kupangwa?Kwanini sasa usilipe mapema ili bajeti ikapangwa??
Mkuu vitu vinauzwa pale pale sio hadi order ifanyike mapemaMantiki ya kuchanga ni kwa ajili ya maandalizi ikiwemo kutoa order mapema ili kupata vitu vitakavyohitajika.
Sasa kama hamna order mchango wa nini tena
Sawa mkuuMkuu vitu vinauzwa pale pale sio hadi order ifanyike mapema
Huku apigwi mtu sababu wanakuja na pesa zaoWajinga watapigwa huko kipigo cha mbwa coco.
Huku apigwi mtu sababu wanakuja na pesa zaoWajinga watapigwa huko kipigo cha mbwa coco.
Usijali mkuu mi ntakuja helicopternaomba wahusika waandae car parking ya capacity ya wahudhuriaji, mana tunajua members ote wa JF wana miliki mikoko tena ya maana. Msije mkatuandalia parking ya VITS na Passo wakati watu wanakuja na magari ya maana! Kutoka huku Kibaigwa, nitakuja na tractor bila trailer!
Hizo pesa za kuchanga mapema hapanaBajeti ya million na nusu inahitaji miezi mitatu kupangwa?
Watu 50 walio serious wangeweza kutoa hizo pesa mwanzoni mwa December na party yao ikafanyika. Kuchangishana pesa mwezi wa 9 na party ni December hapo katikati mweka hazina anaweza kuingiwa na tamaa alafu mwisho wa siku ikawa lawama..
Mkuu wewe ni Gwajima?Usijali mkuu mi ntakuja helicopter
hahahaaaa...ukitokea tu nakujuaMjini hapa! Ebo!
Tutakutana siku hiyo walahi!
Hamna kuulizana ID YA JF walahi
Hahahahahahahaaaa...ukitokea tu nakujua
WHY?Wajinga watapigwa huko kipigo cha mbwa coco.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ambao hawatakuwa na pesa waje niwaone pale pale naweza nikawalipia ila wasizidi 18, waje na sababu za msingi kwanini walipiwe hapo hapo
Kwenye fungulia dog tutakuwa wote mkuu [emoji38][emoji38][emoji38]Ambao hatuna pesa kabisa fungulia mbwa IPO??
Mkuu nakushauri fanyia kazi ingine hizo pesa zako.ambao hawatakuwa na pesa waje niwaone pale pale naweza nikawalipia ila wasizidi 18, waje na sababu za msingi kwanini walipiwe hapo hapo