Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina macho, sioni chochote...Au unaonaje
Hujaolewa umeanza vita pengine yupo kukuchunguza unajimilikisha kweny mipaka ya mtu wew mwenyewe una viben10 kama wote bodaboda,wazee wa posho mlima .acha kujimilikisha pengine florina alikutangulia🕺🕺🕺🕺Huyu mkaka mbona ananichezea akili. Leo kaniita nikaenda kwake kwa madai ya kunimiss. Kuna kazi nilimkuta anafanya kwenye PC ila baadae alichomoka nje mara moja Ile PC ikadisplay WhatsApp.
Mimi ni mbea nikataka kujua tupo wangapi nikachokonoa chats nikakuta ananicheat na Florina.
Baadae aliporudi akaniuliza mbona mnyonge nikavunga hakujua nimechokonoa. Akaanza kuniambia ananipenda mimi tu na sio mwingine na mimi nimemteka moyo wake.
Muda hanipi anapewa Florina, kubembelezwa yeye, simu kama zote kupigiwa yeye, tena anamuita mke.
Nipasue hii PC au niondoke nayo nikauze?
Samahani kwa mliochelewa hii post nliweka evidence ila nmefuta🙏
I'm clean kwa KweliMTOA BANDIKO JIULIZE YAFUATAYO
1.je wewe unaye huyo huyo?
2. je wewe ni mkamilifu?
HIYO NI KARMA, UNACHOMFANYIA KWA KIFICHO, NDICHO MUNGU/SHETANI AMEAMUA KUKUONYESHA KUWA HATA YEYE ANA UWEZO WA KUKUFANYIA.
MLICHOTOFAUTIANA NI KUWJ MMOJA KAWA BWEGE KAKAMATWA, NA MWINGINE NI MJANJA WA MUDA HAJAKAMATWA BADO.
Weka picha yako kwa faida ya members...Achana na Mahandow amezeeka
😹😹
Siyo lazima uwakubalie...Watajaa PM yangu na sitKi
Kila la kheri...Eh nalinda privacy