Hapa nilipofika nimechoka, nisije pata ugonjwa unaokosa dawa. Wanawake mnataka nini?

Hapa nilipofika nimechoka, nisije pata ugonjwa unaokosa dawa. Wanawake mnataka nini?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Unampata mwanaume mchekeshaji ana pesa. Unaenda kutoka tena na mwanaume mkimya hana pesa. Ukimpata mwanaume MKIMYA unaenda kutoka na mwanaume MCHEKESHAJI.

Ukimpata mwanaume hana PESA unaenda kutoka na ASIYE NA PESA. Ukimpata ASIYE NA PESA unaenda kutoka na MWENYE PESA.

DADA ZANGU MNATAKA NINI? Jamaa yangu toka juzi anakaa tu anatokwa machozi kila akiangalia simu yake haamini. Mchumba wake kaenda liwa na jamaa mwingine kifala sana.

Ananionesha video anasema "Tena jamaa mwenyewe ana kamashine kadogo sana na wakati yeye ana mashine kubwa. Yaani hapo ndiyo panamchanganya sana"!

Amekuwa very frustrated baada ya kuzipata hizo clips ambazo mchumba aliomba kwa jamaa amtumie aziangalie amezimiss. Jamaa akamtembelea ghafla na kwa bahati mbaya akashika simu ya mchumba, ndiyo kukutana na maswahibu hayo.
 
[emoji23][emoji23] alijuaje ana kauboo kdogo ?
Hata nyie mpo hivyo hivyo mnapenda wanawake wenye mahips makubwa ,wanene wembamba,wenye chura wasio na chura
Siku zote mtu anataman kitu ambacho hana [emoji23]
Mimi nikipata mwenye hips kubwa huwa sibanduki. Ndo ugonjwa wangu huo.
 
Unampata mwanaume mchekeshaji ana pesa. Unaenda kutoka tena na mwanaume mkimya hana pesa. Ukimpata mwanaume MKIMYA unaenda kutoka na mwanaume MCHEKESHAJI.

Ukimpata mwanaume hana PESA unaenda kutoka na ASIYE NA PESA. Ukimpata ASIYE NA PESA unaenda kutoka na MWENYE PESA.

DADA ZANGU MNATAKA NINI? Jamaa yangu toka juzi anakaa tu anatokwa machozi kila akiangalia simu yake haamini. Mchumba wake kaenda liwa na jamaa mwingine kifala sana.

Ananionesha video anasema "Tena jamaa mwenyewe ana kamashine kadogo sana na wakati yeye ana mashine kubwa. Yaani hapo ndiyo panamchanganya sana"!

Amekuwa very frustrated baada ya kuzipata hizo clips ambazo mchumba aliomba kwa jamaa amtumie aziangalie amezimiss. Jamaa akamtembelea ghafla na kwa bahati mbaya akashika simu ya mchumba, ndiyo kukutana na maswahibu hayo.
Ukitaka kumjua mwanamke bc mtumie mwanamke
 
Ananionesha video anasema "Tena jamaa mwenyewe ana kamashine kadogo sana na wakati yeye ana mashine kubwa. Yaani hapo ndiyo panamchanganya sana"!
Unaweza ukawa na libolo lizuri na usijue kulitumia.
😅😅😅😅😅😅 aione shosti wangu mmoja humu.
 
Aah wee kesho unabambwa na mwanamke ana shepu bapa kama nyoka. Hii tabia tunayo jinsia zote.
Huyo wa hivyo ukinikuta naye hata usihangaike na lolote. Jua tu sija au sitamfanya kitu. Situmii hao. NATAKA HIPS SANA hata kama hana matako makubwa. AWE NA HIPS ,awe msafi nitampenda.
 
Huyo wa hivyo ukinikuta naye hata usihangaike na lolote. Jua tu sija au sitamfanya kitu. Situmii hao. NATAKA HIPS SANA hata kama hana matako makubwa. AWE NA HIPS ,awe msafi nitampenda.
Sawa sawa
 
Back
Top Bottom